Niliwatukana sana wanaotelekeza watoto na wake zao. Mnisamehe

Niliwatukana sana wanaotelekeza watoto na wake zao. Mnisamehe

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Kuanzia mtani kwangu, masela wangu na hapa na pale. Nilikuwa sipendi kusikia mtu katelekeza watoto au mke wake.

Braza wangu yamemkuta. Aisee usiombe.

Jana tulikuwa kwenye kikao cha kugawana watoto tuanze kuwasomesha na kuwalisha.

Hakuna namna sasa, hawa wanawake wanabadilika sana.

Braza amebaki kama yatima. Mke wake baada ya kupata kazi na kuingiza kipato kumzidi Kaka nyumba imekuwa ya moto.
 
Wanawake ndio walivyo, wakat akiwa na shida atakuwa ni mkeo lakin akishajipata bas mwanamke huyo haoni umuhimu wa kuwa na mume tena!

Wanawake wengi ni waigizaj mno ktk mahusiano na ndoa kiujumla, huwez kugundua kirahis.

Maombi kwa Mungu yanahitajika sana kabla ya ndoa ili uweze kumpata wakuwa na ww milele had kifo kitakapo watenganisha!
 
Mpenzi wangu alinambia kabla sijamuoa nimfungulie biashara Ila tofauti na hapo hapana
Ukitazama kwa Postive way unaona kama ni Jambo zuri alipendekeza, lakini nyuma ya pazia huenga angekubwaga kabla hata hiyo ndoa haijafungwa na akaolewa na mwingine.
 
Cha msingi hapa ni kuoa mwenye kipato tayari maana hatazuzuka na atakuwa amekupenda ulivyo
Sidhani....akiwa na kipato hakikiwha unamzidi. Na kwa kuwa cycle yako ni ya watu wenye pesa, basi atakutana na wanaokuzidi.

Bakhresa alipigwa za uso na Mke wake wa Kenya Mombasa.
Je Bakhresa sio Tajiri?
 
Kuanzia mtani kwangu, masela wangu na hapa na pale. Nilikuwa sipendi kusikia mtu katelekeza watoto au mke wake.

Braza wangu yamemkuta. Aisee usiombe.

Jana tulikuwa kwenye kikao cha kugawana watoto tuanze kuwasomesha na kuwalisha.

Hakuna namna sasa, hawa wanawake wanabadilika sana.

Braza amebaki kama yatima. Mke wake baada ya kupata kazi na kuingiza kipato kumzidi Kaka nyumba imekuwa ya moto.
Yaani mimi ndo mana sitaki mwanamke mwenye Kipato na ata huyu niliyenae sitaki ashike Hela ni bora apokee rambo tu kuliko kumpa michongo ya Hela
 
Back
Top Bottom