Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi vyumba vitatu kupaua tu na blandaring bati geji 30 migongo mipana imenipiga 12M
Ni kubwa kiasi, Sebule peke yake ni mita 5 kwa 5, master ni 4 kwa 5, kitu ambacho nilikibana ni jiko peke yake napo ni kwasababu nilifanya mabadiliko ya ramani baada ya kuwa nimeshajenga msingiHongera,nyumba yako inaukubwa gani ?
Kama ilihusisha hadi mfumo wa kusafirisha majitaka hadi kwenye Shimo basi hiyo gharama ni sawa tu hasa ukizingatia kujumlisha na gharama za kuunganisha mfumo wa maji kutoka kwenye tank hadi ndaniMkuu nilipofanya plumbing nilikua nishanunua tenk na kujenga mnara hivyo ghrama zilihusisha pia vifaa vya tenk kama nilivyosema, ni nyumba ya kwanza, vifaa vingi nilikua sivijui, hivyo yawezekana upigaji pia umehusika katika hilo, si unajua mafundi
Sioni kama ni gharama kubwa kama wamekujengea vizuriChemba walijenga kila moja 40,000, zilikua 8, nimepigwa ?
Kuna nyumba ina vyumba vinne(viwili master), dinning , sebule kubwa store, nk. Ilikuwa imekamilika kila kitu hadi kupauliwa na grill zilikuwepo tayari ila nikawa nimepangisha familia kama tatu hivi wakati naendelea na mengine maana nyumba ipo Mwanza na mimi shughuli zangu nyimgi ni Dar.Kunakauli inakatisha tamaa, gharama za kupaua/za bati, zinanitoa damu...ila hapa naona kuwa ukipaua ndio unaanza ujenzi...wtf!!!si bora niache
Nimefanya finishing mwaka huu January, tile hazishikiki sokoni yaani zimepanda ghafla sana.Ni kweli. Hata floor mwingine anaweka tiles mwingine sakafu ya kawaida.
Hii ni Logde? Ramani ya vyumba ni kama lodge.[emoji16][emoji16] ujenzi mtamu askwambie mtu View attachment 2112975
Ukisave 250K kwa mwaka mzima haifiki hata 3M ambayo ni hela ya Cement tu, kujenga nyumba kubwa mpaka finishing kwa income ya 500K tena ukiwa na familia eti kwa miaka mitatu ni ngumu sana. Labda uijenge kuanzia kijana uje kuimaliza ukikaribia kustaafu na hala uwe na displine kubwa sana.Ndani ya miaka 3 unaweza Jenga hadi kupaua.Hizo pesa nyingi Sana tena unajibana unasevu 250,000 kwa mwezi,hapo una familia .
Halafu eti ujenge nyumba kwa mshahara wa 300K kwa mwezi? Hell no...!!!!Mimi vyumba vitatu kupaua tu na blandaring bati geji 30 migongo mipana imenipiga 12M
Ulitumia bati za kampuni gani?Ni kubwa kiasi, Sebule peke yake ni mita 5 kwa 5, master ni 4 kwa 5, kitu ambacho nilikibana ni jiko peke yake napo ni kwasababu nilifanya mabadiliko ya ramani baada ya kuwa nimeshajenga msingi
Unamaanisha muda wa kupaua ni lazima uwe na hela yote ya mbao na mabati hapo hapo? Kwamba huwez nunua kidogo kidogo vikikamilika ndio upaue?Sio inauma mkuu, bali ni ngumu kupata pesa nyingi kwa mkupuo kwa tulio wengi. Shida ndipo inapoanzia na ndio maana kwa tulio wengi sehemu ngumu kuliko zote kwenye ujenzi ni kupaua, the rest is easy hata kama total cost itakuja kuwa kubwa
Kampuni inaitwa WAJA MABATI. Bati Lao la geji 30 lina upana wa cm80Ulitumia bati za kampuni gani?
Ni hivi kupaua hata ukiamua kununua mwaka mzima huwezi kufanya nusu,itabidi uwe na vifaa vyote ndio upaue, wakati finsihing nyingine kama tile unaweza kufanya chumba kwa chumba au nusu chumba, madirisha unaweza ukaweka aluminium chumba kimoja baada ya kingine,gypsum unaweza usiweke ukakaa tu hadi utakapoamua etc.Unamaanisha muda wa kupaua ni lazima uwe na hela yote ya mbao na mabati hapo hapo? Kwamba huwez nunua kidogo kidogo vikikamilika ndio upaue?
Namaanisha siku ya kufanya hiyo kazi lazima ifanyike kwa wakati mmoja, kuanzia kupiga mbao hadi Bati. Huwezi piga mbao ukasubiri miezi sita ndio upige Bati. Hata materials huwezi wekeza dukani zikakaa mwaka mzima, risk yake ni kubwa lazima kuwe na timeframe ambayo ni reasonable. Sasa hapo ndio panapoleta shida, hata fundi lazima uwe na hela yao yote maana watafanya kazi zote ndani ya wiki moja itakuwa imekamilika kabisa. Factors zote hizo ndio zinazoleta ugumu katika hatua ya kupauaUnamaanisha muda wa kupaua ni lazima uwe na hela yote ya mbao na mabati hapo hapo? Kwamba huwez nunua kidogo kidogo vikikamilika ndio upaue?
Kama huna pato jingine itakuwa mziki, utajenga kasehemu kakujjihifadhi tu sio nyumba ambayo wewe mwenyewe umeridhika nayoHalafu eti ujenge nyumba kwa mshahara wa 300K kwa mwezi? Hell no...!!!!
sio lodge,, kila chumba kina choo ndani . chumba cha watoto wakiume, chumba cha watoto wakike, chumba cha wageni, na chumba cha baba na mama basi.Hii ni Logde? Ramani ya vyumba ni kama lodge.
Baati ulinunua shilling ngapi?Mimi vyumba vitatu kupaua tu na blandaring bati geji 30 migongo mipana imenipiga 12M
Exactly, hii ndio point kuu, ndio maana tunasema ukipaua tayari una nyumbaNi hivi kupaua hata ukiamua kununua mwaka mzima huwezi kufanya nusu,itabidi uwe na vifaa vyote ndio upaue, wakati finsihing nyingine kama tile unaweza kufanya chumba kwa chumba au nusu chumba, madirisha unaweza ukaweka aluminium chumba kimoja baada ya kingine,gypsum unaweza usiweke ukakaa tu hadi utakapoamua etc.