kijanamimi
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 245
- 174
Mmmh we jamaa umezidi sasa, nyumba ya vyumba vitatu uijenge hadi kupaua kwa 7.5 M??[emoji28]
Sio nyumba ni kajumba , nimavyojua mimi, msingi tu wa maana utachukua zaidi ya 2.5M endapo akijenga kwa kujibana sana.
Kabisa ni kajumba hako [emoji3]