Bati nimenunua Sh. 4,800,000 zote na hakuna baki hata moja. Hizo ni Bati pamoja na kofia na valley. Bati nilinunua elfu 31 kwa bati moja sawa na 10333 kwa Mita moja ya bati la geji 30. Hiyo ni bei ya Septemba au Oktoba 2021Baati ulinunua shilling ngapi?
Tiles za robo nusu chumba zinaweza kutegua mguuπ . All in all kila mtu na mtizamo wake maana hata ukifanya wiring lazima uweke ceiling unless uwe umeshahamia au una mlinzi. Muhimu kama unadunduliza uwe na targetNi hivi kupaua hata ukiamua kununua mwaka mzima huwezi kufanya nusu,itabidi uwe na vifaa vyote ndio upaue, wakati finsihing nyingine kama tile unaweza kufanya chumba kwa chumba au nusu chumba, madirisha unaweza ukaweka aluminium chumba kimoja baada ya kingine,gypsum unaweza usiweke ukakaa tu hadi utakapoamua etc.
Labda kama huna pakuweka lakini kama unapo unajikongoja tu. Mwingine anaweka msingi anakimbia. Kila hatua duaNamaanisha siku ya kufanya hiyo kazi lazima ifanyike kwa wakati mmoja, kuanzia kupiga mbao hadi Bati. Huwezi piga mbao ukasubiri miezi sita ndio upige Bati. Hata materials huwezi wekeza dukani zikakaa mwaka mzima, risk yake ni kubwa lazima kuwe na timeframe ambayo ni reasonable. Sasa hapo ndio panapoleta shida, hata fundi lazima uwe na hela yao yote maana watafanya kazi zote ndani ya wiki moja itakuwa imekamilika kabisa. Factors zote hizo ndio zinazoleta ugumu katika hatua ya kupaua
Grill Mlango wa mbele na nyuma,kwa wakati husika Mlango utakua maPaziatia kashata madirishani mengine unafanya ukiwa humo ndani
hiyo kodi ya miezi sita tayari umeshapiga bonge la hatua. alafu bwana uzuri wa ujenzi kadri unavyomaliza chumba kimoja ndio unapata stimu na una pambana zaidi ili na vyumba vingine vipendeze. dawa ni kuhamia tuu alafu mengine humo humoGrill Mlango wa mbele na nyuma,kwa wakati husika Mlango utakua maPazia
kuna boya mmoja napga nalo story kila siku lishamaliza kupaua,lishatia grill madrisha yote
ila linalalamika kila siku halina hela linatafuta hela ndio lihamie kwake, mi imefika wakati namwambia
mwanangu usiniletee mastory yako ya huna hela,shida unazitaka mwenyewe,lipo tunaendelea nalo umia
kwenye ma kodi yale unampa mwenye nyumba hela huku roho inakuuma,una nena kwa lugha zote kimoyo moyo,ila halikomi wala halijifunzi.
Tumeshakaririshwa kuwa JF hautakiwi kujulikana,nahisi watu wanatambaa na hiyo imaniwakukujua watakufanyaje mbona watanzania tunaishi kama digidigi...
hutajenga kamwe kwa hesab hizo.chchot kidg peleka site uone maajabuUkisevu 250K kwa mwezi, kwa miaka 3 ni only 9 Million. Haitoshi hata msingi wa nyumba ya vyumba 3 na makolombwezo mengine. Labda uwe na chanzo kingine cha pesa. Ila kwa laki tano na nusu kwa mwezi, ukitoa matumizi ya mwezi. Hata miaka 9 bado utakuwa unajenga. Mimi naona kujenga kutegemea mshahara pekee ni ngumu sana, labda mshahara uwe mamilioni kwa mwezi
uwe na moyo wa uvumiliv.kwa maana kuweza kutoudhika kwa zile vumb vumb mchanga ila finishnig ukiw ndan easy kila basd ya mda unasogez kitu fulanBinafsi naamini finishing kwangu itakuwa rahisi sana kwasababu naweza kufanya kidogo kidogo kwa kila kitu
sio.mbaya si elf 5 kwa chemba mzeeChemba walijenga kila moja 40,000, zilikua 8, nimepigwa ?
Nani kasema finishing kwa miaka 3? Nimekwambia kujenga BOMA na kuezeka inawezekana kwa miaka 3@2*5m=7.5m.Ukisave 250K kwa mwaka mzima haifiki hata 3M ambayo ni hela ya Cement tu, kujenga nyumba kubwa mpaka finishing kwa income ya 500K tena ukiwa na familia eti kwa miaka mitatu ni ngumu sana. Labda uijenge kuanzia kijana uje kuimaliza ukikaribia kustaafu na hala uwe na displine kubwa sana.
Narudia tena ni ngumu sana, unless uwe unafugwa sehemu na hauna familia.
Itakuwa umejenga chanika bila shakaaa maana kule kuna mafundi wabishi na wajuajiNimejenga dar es salaam mkuu
Mdanganye aingie na 7.5m sasahivi aone, labda kama anajenga ilmradi, hebu pigia Nondo tu za mm12 zitakazohitajika kwenye beam ya lenta kwa bei ya sasahivi, ukitoka hapo njoo kwenye bei ya cement (mifuko itakayotimika katika ratio ambayo ni standard), akianza msingi tu kwanza ni lazima ajikune kichwa.Nani kasema finishing kwa miaka 3? Nimekwambia kujenga BOMA na kuezeka inawezekana kwa miaka 3@2*5m=7.5m.
Sio kila nyumba ya vyumba 3 basi ni kubwa,,kuna nyumba za vyumba 3 hazizidi 90sqm so inategemea na ramani na upatikanaji wa materials za ujenzi.
Pole Sana naweza kumpa ramani ya vyumba 3 na kama yuko mkoani ambako atatumia tofari za kuchoma na udongo wa mfinyanzi kujenga atatoboa vizuri tuu..Mdanganye aingie na 7.5m sasahivi aone, labda kama anajenga ilmradi, hebu pigia Nondo tu za mm12 zitakazohitajika kwenye beam ya lenta kwa bei ya sasahivi, ukitoka hapo njoo kwenye bei ya cement (mifuko itakayotimika katika ratio ambayo ni standard), akianza msingi tu kwanza ni lazima ajikune kichwa.
Hatoboi kwa 7M hiyo nyumba unayosema ndani ya miaka mitatu, labda mitano na hapo itategemeana kama vifaa vya ujenzi havitaendelea kupaa.
Uko sahihi kabisa, kwa Mkoani hiyo hela unaweza maliza boma ambalo halijaezekwa, hasa kwa Mkoa na Iringa Ujenzi rahisi sana. Msingi unatumia mawe, unaweza weka beam au usiweke wala haina shida, na binafsi huwa sioni watu wa Iringa wakiweka beam.Pole Sana naweza kumpa ramani ya vyumba 3 na kama yuko mkoani ambako atatumia tofari za kuchoma na udongo wa mfinyanzi kujenga atatoboa vizuri tuu..
Mbao bei itategemea mkoa uliko na aina ya mbao unazotaka kutumia,mikoani kuna options nyingi sio lazima za Njombe/Mafinga.
Kuhusu nondo usikariri hujengi ghorofa unatumia 8mm unafunga 3 Kwa ringi hapo haizidi 50,000 badala ya kununua 12 mm mbili kwa 52,000..Mwisho unaweka beam ukuta wa nje hakuna haja ya Kuta za ndani hazibebi mzigo ..
Kama uko mkoani nipe 7.5m nikujengee hadi kupaua.
Hapo sasa nadhani tutakuwa tumeelewana, ni kwamba kwa hiyo 7.5M atatakiwa kuminimize cost kwa kuchagua option ya chini kabisa katika kila stage ya ujengaji wake.Pole Sana naweza kumpa ramani ya vyumba 3 na kama yuko mkoani ambako atatumia tofari za kuchoma na udongo wa mfinyanzi kujenga atatoboa vizuri tuu..
Mbao bei itategemea mkoa uliko na aina ya mbao unazotaka kutumia,mikoani kuna options nyingi sio lazima za Njombe/Mafinga.
Kuhusu nondo usikariri hujengi ghorofa unatumia 8mm unafunga 3 Kwa ringi hapo haizidi 50,000 badala ya kununua 12 mm mbili kwa 52,000..Mwisho unaweka beam ukuta wa nje hakuna haja ya Kuta za ndani hazibebi mzigo ..
Kama uko mkoani nipe 7.5m nikujengee hadi kupaua.
Unaezaka,BOMA gani unajenga kwa mil.7.5 πππUko sahihi kabisa, kwa Mkoani hiyo hela unaweza maliza boma ambalo halijaezekwa, hasa kwa Mkoa na Iringa Ujenzi rahisi sana. Msingi unatumia mawe, unaweza weka beam au usiweke wala haina shida, na binafsi huwa sioni watu wa Iringa wakiweka beam.
Ila hiyo hela kwa eneo kama Chalinze, inaishia kwenye msingi tu na inaweza isitoshe, maana pale mahali sijui pana udongo gani, nyumba zinapasuka vibaya sana.
Mmmh we jamaa umezidi sasa, nyumba ya vyumba vitatu uijenge hadi kupaua kwa 7.5 M??πUnaezaka,BOMA gani unajenga kwa mil.7.5 πππ