DOKEZO Niliyoyabaini baada ya kuhudhuria kikao cha wazazi Shule ya Sekondari Nyiendo wilayani Bunda Mkoani Mara. Serikali iingilie kati kwa baadhi ya mambo

DOKEZO Niliyoyabaini baada ya kuhudhuria kikao cha wazazi Shule ya Sekondari Nyiendo wilayani Bunda Mkoani Mara. Serikali iingilie kati kwa baadhi ya mambo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Haya unatueleza humu sio what?.. nyinyi mbuzi wenye tamaa za madaraka na akili finyu ndo mnafanya Taaluma ya Elimu,, idharaulike,,, NB huyo Edward Mayala yupo kila shule? Mbona shule zingine hazijafa?..
 
nyie ndio mnafanya mpwayungu awaponde, kutakiana mabaya tu, unadhan ukipewa wewe ukuu hapo itakusaidia nini? Heb nambie wakuu wa shule unawajua wenye nyumba nzuri na Gari, kama wapo wachunguze kama hawana chanzo kingine cha mapato. Hiyo posho ya 250,000 Kwa mwez ni ya kawaida Sana, haiwez kukupeleka sehem Zaid ya kubana muda wako wa kufanya mengine.

Fanya mambo yako ndugu yangu, kama mwenzio anafanya mambo yake na kazini anakuja mara chache, hiyo ni fursa sio Jambo la kulalamika, tumia na wewe fursa. Mwisho wa yote wakat unastaafu hujajenga kila mtu atakucheka hakuna atakayekumbuka juhudi zako. Fanya kazi Kwa kadri na ujipe muda wa kufanya mambo mengine. Kuna hela nyingi nje ya ualimu na hakuna kaz nzur kama ualimu Kwa mtu anayejitambua maana ni kazi inayokupa muda wa kufanya mambo yako ilimradi usijifanye unajua kaz ukapewa cheo, itakuchelewesha sana
Hii yenyewe
 
Back
Top Bottom