Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #341
Kuogelea siwezi sasa huko nitafikajeooh huku baharini kuna bikira mrembo sana,,tulipanga next month tuje duniani kumtaftia mume,, kwakua umejileta na tumekuzoom unafaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuogelea siwezi sasa huko nitafikajeooh huku baharini kuna bikira mrembo sana,,tulipanga next month tuje duniani kumtaftia mume,, kwakua umejileta na tumekuzoom unafaa
Hakuna njia iliyo salama kwa 100%, kwasababu sio jambo rasmi kuita au kuzungumza na roho za gizaZipo njia nyingi za kufunguka kiroho, Kila bara au jamii ina njia zake...ubaya ni kwamba Kuna njia nyingi pia zisizo sahihi ambazo huleta balaa tu, choose wisely.
we sema kama upo tayar,, kuhusu kuogelea usijaliKuogelea siwezi sasa huko nitafikaje
1000km/s. Hapo lazima kiumane bila roho ngumu, kojo linaweza shuka kimtindo.Mkuu hivyo viumbe vizito vinatoka mbali sio sawa na hivi vibwengo mkuu.
Vinakuja kwa nguvu ambayo haipimiki.
Hiyo saikolojia ya kujiandaa ya nyoko!?
$14, ila nilinunua muda kidgoNahitaji kufanya hiyo game hilo dubwana linauzwa shngap
Nipo tayari ila nahofia wakwe wasije kutaka mahari ya damuwe sema kama upo tayar,, kuhusu kuogelea usijali
Ok 50 hiyo$14, ila nilinunua muda kidgo
Ebwana ndugu yangu me nataka niite jini la kina wasafi linipe michongo ya hela mingimingi.Mkuu hii slogan yako ya hallelujah inanivunja mbavu😂😂😂😂
njia salama ipo.. ongeza your spirit capacity, hata shetani akija anakuheshimu.. strength ya roho ina matter sana katika kuingia kwenye ulimwengu wa rohoHakuna njia iliyo salama kwa 100%, kwasababu sio jambo rasmi kuita au kuzungumza na roho za giza
mahari ni kilemba cha bibi wa bibi yake bibi yakoNipo tayari ila nahofia wakwe wasije kutaka mahari ya damu
Hao viumbe hawatabiriki, unaweza kudhani ni mzuri ila ghafla akakugeukanjia salama ipo.. ongeza your spirit capacity, hata shetani akija anakuheshimu.. strength ya roho ina matter sana katika kuingia kwenye ulimwengu wa roho
Kwa sisi waislam njia salama ipo.Hakuna njia iliyo salama kwa 100%, kwasababu sio jambo rasmi kuita au kuzungumza na roho za giza
YahOk 50 hiyo
Kwa waislamu Allah amekataza kuongea au kujihusisha na hao viumbeKwa sisi waislam njia salama ipo.
Soma kisomo cha kujilinda cha tahsin au saifir Umar kesha unaanza kumuita.
Kile kisomo kinakulinda dhidi ya nguvu zake za asili na chochote atakacho taka kukufanya.
Hapo sijui kwakweliVipi tungi na wid ukiwa unawasiliana nawo unaruhusiwa ujiboost before
Basi hapo siwezi, itabidi nifukue makaburi ya kina bibi au?mahari ni kilemba cha bibi wa bibi yake bibi yako