Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mambo ya siri niliona pale , ila kulikuwa na kiti flani.. kuna jambo walifanya ili kile kiti kiwe free.. akae nimeonge kwa codeMama ulimkuta alikuwa anafanya nini?
jina??Kitafute hicho kitabu , naona vile kama una maswali kuhusu dunia ya pili , ni cha mjerumani flani Gustav kitakupa "ufunguo" flani hivi kama unanielewa
Mimi nilifanikiwa kumaliza salama japo hofu ilikuwa kubwa, sikushauri kujaribu huu mchezo kabisaBasi basi hayo mambo siyataki tena mimi. Kwa hiyo na wewe tayari una mapepo !?
simple, fanya zoezi la rohoni hadi ifunguke, na uwe na nidhamu na maisha ya kiroho.. kila roho ina aina za roho ambayo inaambatanau
naweza kudadavua zaidi ulianzaje,had kufikia hapo ulipo ulipitia mambo gani au sehem zipi? vipi kuhush manufaa kuna faida yoyote umepata kiuhalisia?
aiseeeee....!!!!Huu uzi watu wanapigana kamba siyo poa!
meditation or??simple, fanya zoezi la rohoni hadi ifunguke, na uwe na nidhamu na maisha ya kiroho.. kila roho ina aina za roho ambayo inaambatana
Unajuaje kama upo salama?Mimi nilifanikiwa kumaliza salama japo hofu ilikuwa kubwa, sikushauri kujaribu huu mchezo kabisa
Nipo salama mkuu japo bado sina imani na chumba changu, ila hakuna tatzo lolote zaidi ya hiloUnajuaje kama upo salama?
Mm siwezi kuhatarisha maisha yangukiasi hikiMimi nilifanikiwa kumaliza salama japo hofu ilikuwa kubwa, sikushauri kujaribu huu mchezo kabisa
Mh kweli aliyesema mwanakulifind mwanakuliget hakukosea, aya.Nipo salama mkuu japo bado sina imani na chumba changu, ila hakuna tatzo lolote zaidi ya hilo
View: https://m.youtube.com/watch?v=1x3dZYuFopY&pp=ygULT3VpamEgYm9hcmQ%3D
Kwamba Akisema ZOZO mkatae kwa Goodbye!
Nilishafanya mengi ya kutisha zaidi ya hiloMh kweli aliyesema mwanakulifind mwanakuliget hakukosea, aya.
Kama?Nilishafanya mengi ya kutisha zaidi ya hilo
meditation inasaidia kusafisha consious yako na kuongeza uwezo wa kuona.. rohoni katika picha safi.. ila lazima utengeneze spiritual patern ambayo itakuwa ni life stylemeditation or??
Yaseme mkuuNilishafanya mengi ya kutisha zaidi ya hilo
hio spiritual pattern n nini pls mie ni tomasomeditation inasaidia kusafisha consious yako na kuongeza uwezo wa kuona.. rohoni katika picha safi.. ila lazima utengeneze spiritual patern ambayo itakuwa ni life style
😹😹😹 unaweza kuwa kichaaBalaa mafuriko yanatokea ndani ya nyumba yako tu full mi mamba upambane nayo🤣🤣
Ipo siku utakutana nacho endelea na ugunduzi 😹😹😹Ukikaa katika circle of magic hawezi kukudhuru halafu hayo maneno yana nguvu hata angetokea Shetan mkuu Lusifa au Belzebul hakudhuru ukiwa katika magic circle