Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Mwingine huyu katika maisha yako hujawahi kuona uwongo na umejuaje kama huo uwongo ukiwa wewe mwenyewe muongo na bila ya uongo mambo mengi yatakwama that's why Mungu anakuambia yeye anajua kila kitu halafu ukiiba anaenda kukuchoma huoni hapo tayari anadanganya maana hata yeye hajui kila kitu kama angekuwa anajua kila kitu asingeweka adhabuAcha uongo