Niliyoyaona kwa Mkapa (Lupaso) Stadium leo ambayo kama yasipofanyiwa Kazi basi yanaenda Kujirudia tena Lake Tanganyika 25 July, 2021 ni haya

Niliyoyaona kwa Mkapa (Lupaso) Stadium leo ambayo kama yasipofanyiwa Kazi basi yanaenda Kujirudia tena Lake Tanganyika 25 July, 2021 ni haya

Ukiachana na Luis, Kinachoiangusha Simba ni wachezaji wengi wa kigeni hawajui thamani ya Derby. Wanacheza tu ilimradi wapo uwanjani mfano ni uchezaji wa Clatous Chama kwenye Derby zote ni wa kiwango cha chini sana.

Natamani hizi mechi za Deby wawe wanacheza wazawa wengi, kama ilivyo kwa Yanga na unaona jinsi wanavyojitoa kwa timu yao.
Kujitoa sana katika timu haihusiani na uzawa
 
Kabla ya mechi nilimwambia Swaiba wangu

"Tukiwafunga leo Kigoma mtatupiga
Na Mkitufunga hii basi Kigoma hamtoki"

Baada ya mechi alinifata akacheka sanaa
 
Ukisoma huu uzi kwa makini unaweza kudhani hakuna haja ya kupoteza pesa na muda wa kuleta kocha kutoka nje ya JF! Maana makocha wa kuweza kuifanya simba bingwa wa dunia wapo hapa JF!!!! Mnachekesha
 
Ukisoma huu uzi kwa makini unaweza kudhani hakuna haja ya kupoteza pesa na muda wa kuleta kocha kutoka nje ya JF! Maana makocha wa kuweza kuifanya simba bingwa wa dunia wapo hapa JF!!!! Mnachekesha
[emoji23] sio tu kuwa makocha

Wanaweza hata kuongoza TFF

Mkuu yaan hatufanani kama alama za viganja.

Tuenjoy tu maana maisha ndo hayahaya
 
Game nimeicheck vizuri kabisa ndiyo maana nimesema wazi shida ilikuwa kutumia nafasi tu upande wa Simba

Mfano Boko alikosa goli ambalo kwa mchezaji ambaye ni makini hakupaswa kukosa , Morisson alikosa goli hivyo hivyo , kwa kifupi game ilikuwa mikononi mwa Simba hasa second half ila nafasi hazikutumiwa vizuri na wachezaji wetu.Ukitazama vizuri utagundua kuwa tumeingia kwenye box ya Yanga mara nyingi zaidi , naamini huwezi kufanikiwa kuingia kwenye box ya mpinzani zaidi afu tuseme hamkucheza vizuri katikati ya uwanja au mpira kwa ujumla unless kucheza mpira vizuri kuwa kuna maana nyingine.

Goli la Yanga la deflection ni maamuzi ya mtu kupiga shuti kuelekea golini na likamgonga mtu likajaa wavuni at the end unakuwa umeshinda ila hata Kocha makini hawezi kujivunia hilo ,kocha makini atajiuliza kama ule mpira usingedeflect kwa beki wao Je,timu yangu ilikuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za wazi na kuzitumia? Kama hakuna nafasi zinazotengenezwa na timu kocha mzuri anajua hii sio class ni bahati tu.

Ninachokikubali kwa sehemu pia ni hili la kujitoa kufa kupona kwa Yanga (hii ni nature ya timu inayohisi ni dhaifu ila inajaribu kuonesha ina ubora mkubwa ) wachezaji katika game hizi wanacheza kwa umakini hata kama viwango vyao kesho hutoviona hivyo jambo linaloitofautisha na Simba na haya hujidhihirisha kwa namna ambavyo timu inaperform kwenye mashindano marefu hasa ya Ligi za mzunguko.

Jaribu kufikiri upya , ikiwa refa angetoa penalty ile Simba wakafunga then wakashinda tungekuja hapa kusema wachezaji wa Simba hawajitumi kama wa Yanga? Vipi kama nafasi za wazi za Morison na Boko zingekuwa magoli tungekuja na stori hiyohiyo? Kwangu ni hapana

So kama Yanga watashinda games tatu zijazo mwaka huu mbele ya Simba tutakuwa na cha kuhoji zaidi kwa nini ,ila kwa jana mi naona bahati tu maana mimi sijui ishu za uchawi naamini tu uchawi upo ila ulikuwa applied au la jana mie sijui.
Wewe endelea kujifariji na mpira wako huo kila siku..ila mpaka unazeeka utakuwa unaoga kichapo ndegelec[emoji1787][emoji1787]

Unasema Yanga hakutengeneza nafasi kweli unaumwa wewe au unaongea kishabiki...dk za mwanzoni kabisa nusura iwe 3 bila afu unasema hakuna nafasi!!

Dimba muda mrefu lilikamatwa na Yanga sasa kama timu dhaifu utakamataje dimba kwa kiasi kile?!

Wewe endelea kubwabwaja tu ila kila ukitoa pua ni kibondo tu nyambaaaaaff
 
Katika point zako zote point ya maana sana ni ya kupoteza nafasi na ni wazi Simba ilipata nafasi za wazi nyingi zaidi kuliko hata hao Yanga lakini matumizi ya nafasi hizo ndiyo yalinishangaza.

Haya twende kwa Yanga , unaweza kuniambia ikiwa Yanga walicheza vizuri zaidi walipata clear chances ngapi na walikosa ngapi na kwa nini?

Maana kuna shida naiona katika uchambuzi wa kibongo yaani timu ikiconced goli tu anaanza kulaumiwa kocha ohh angempanga huyu au yule hapa tu unaongea eti Nyoni ni mbovu mara angeanza mzamiru ila umesahau mzamiru ana udhaifu wake ambao mechi kadhaa anauonesha nao ni kupoteza pasi nyingi japo ana ubora wake mkubwa kwenye ukabaji (kupora mipira haraka) at the end game imeisha Morison akiwemo na alicheza alivyoweza.Kumbuka Simba wanacheza mpira endelevu yaani wa kitabuni Yanga wanakamia tu cos wanatambua wana madhaifu mengi tu.

Kuhusu Sven , ndo huyo huyo mliyemlaumu daily ohh anapanga mshambuliaji mmoja , mara timu haifungi magoli mengi yaani sijui tunapenda nini kwa kweli ,hivi unaweza kwenda kuwaambia watu eti Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba uwanjani kisa wamefunga tena a deflection ball goal yaani hicho ndicho kipimo kweli? [emoji23] unadhani watapata hizo deflection goals siku zote brother sahau hilo.

Mazoezi kuwa wazi sio sababu kama ingekuwa Sababu basi Yanga alipaswa ashinde goal 5 alipe kisasi cha miaka ile basi.Chambueni kiutu uzima sio blahblah nyingi kama hizi mnaharibu uhalisia ndiyo maana Yanga huko CAF kaenda mara nyingi than simba ila ana mafanikio kiduchu ukilinganisha na Simba kwa kuwa tu many times wanacheza kumkamia Simba while Simba ashavuka steji hiyo.

Ngoja tuone hizi next two games nani atakuwa mbabe huenda kila siku watapata deflection ball jambo ambalo kamwe siliamini
tunacheza kumkamia simba? Mzee upo serious kwahiyo tusicheze vizuri kuhofia tutaonekana tumemkamia simba.....your standards are low na tumetumia udhaifu huo kushinda mechi.
 
Kwa kweli Tuisila alinikera sana jinsi alivyocheza Kipindi cha pili. Sikuelewa kwanini kocha alimuacha hadi dk ya 90. Alikuwa anatembea tu uwanjani,akipewa mpira anapoteza kirahisi. Na akipoteza hakabi!!

Kocha lazima awe mkali na amuonye.Shukrani kwa dogo Kibwana shomari alijitahidi mno kupambana na Morrison ambaye alikuwa akipewa mipira mingi iliyopotelea kwa Tuisila.
Tuisila angetoka halafu angeingia nani?
 
Game nimeicheck vizuri kabisa ndiyo maana nimesema wazi shida ilikuwa kutumia nafasi tu upande wa Simba

Mfano Boko alikosa goli ambalo kwa mchezaji ambaye ni makini hakupaswa kukosa , Morisson alikosa goli hivyo hivyo , kwa kifupi game ilikuwa mikononi mwa Simba hasa second half ila nafasi hazikutumiwa vizuri na wachezaji wetu.Ukitazama vizuri utagundua kuwa tumeingia kwenye box ya Yanga mara nyingi zaidi , naamini huwezi kufanikiwa kuingia kwenye box ya mpinzani zaidi afu tuseme hamkucheza vizuri katikati ya uwanja au mpira kwa ujumla unless kucheza mpira vizuri kuwa kuna maana nyingine.

Goli la Yanga la deflection ni maamuzi ya mtu kupiga shuti kuelekea golini na likamgonga mtu likajaa wavuni at the end unakuwa umeshinda ila hata Kocha makini hawezi kujivunia hilo ,kocha makini atajiuliza kama ule mpira usingedeflect kwa beki wao Je,timu yangu ilikuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za wazi na kuzitumia? Kama hakuna nafasi zinazotengenezwa na timu kocha mzuri anajua hii sio class ni bahati tu.

Ninachokikubali kwa sehemu pia ni hili la kujitoa kufa kupona kwa Yanga (hii ni nature ya timu inayohisi ni dhaifu ila inajaribu kuonesha ina ubora mkubwa ) wachezaji katika game hizi wanacheza kwa umakini hata kama viwango vyao kesho hutoviona hivyo jambo linaloitofautisha na Simba na haya hujidhihirisha kwa namna ambavyo timu inaperform kwenye mashindano marefu hasa ya Ligi za mzunguko.

Jaribu kufikiri upya , ikiwa refa angetoa penalty ile Simba wakafunga then wakashinda tungekuja hapa kusema wachezaji wa Simba hawajitumi kama wa Yanga? Vipi kama nafasi za wazi za Morison na Boko zingekuwa magoli tungekuja na stori hiyohiyo? Kwangu ni hapana

So kama Yanga watashinda games tatu zijazo mwaka huu mbele ya Simba tutakuwa na cha kuhoji zaidi kwa nini ,ila kwa jana mi naona bahati tu maana mimi sijui ishu za uchawi naamini tu uchawi upo ila ulikuwa applied au la jana mie sijui.
Umeandika takataka
 
Kwani wao WAMELALAJE 😀😀😀😀😀 mji kimya, msipende kwenda uwanjani na maneno ya Manara kichwani huku mkiwa na matokeo yenu mifukoni,mtadondoka mfe kwa presha.
 
Simba naona wana makocha wengi sana sasa sijui wachezaji watamsikiliza yupi. Mpira ni magoli na Simba tayari kafungwa, hayo ya kusema goli limetokana na mpira wa defletion ni kukosa hoja.

Kwa nini basi Simba hakufunga goli lolote lisilo la defletion kama Yanga? Na kama lilikuwa ni la defletion kwa hiyo ina maana halikuhesabiwa.

Uchambuzi mwingine ni wa kijinga sana kwani unachagizwa na ushabiki wa kipuuzi usio na maana.

Simba pamoja na kuonekana kuwa na safu nzuri ya washambuliaji lakini walifulia sana kwa mechi hiyo na laiti kama Yanga wangekuwa na washambuliaji wazuri Simba ingepoteza kwa mabao yasiyopungua matatu, believe me.
 
Huyu ndio popoma
Huwa hakopeshi hata mikia wenzie anawachana
 
1. Kuwaanzisha Erasto Nyoni na Bernard Morrison ambao leo ndiyo Wachezaji wa Simba SC waliocheza vibaya na Kuharibu zaidi badala ya Kuwaanzisha Muzamiru Yasini na Rally Bwalya Kiufundi kumeigharimu Simba SC.

2. Kumuanzisha Clatous Chama ambaye bado Kichwa chake kimetawaliwa na Kumpoteza Mke huku ikijulikana Kiufundi kabisa Saikolojia ina nafasi yake katika Ufanisi wa Mchezaji Mpirani.

3. Kutangulia Kumuingiza Meddie Kagere ambaye kwa sasa hana tena Madhara yote na ameshuka mno Kiuchezaji na Kuchelewa Kumuingiza Mshambuliaji makini Chris Mugalu Kiufundi Kumeigharimu Simba SC.

4. Ama Kocha Mkuu na Msaidizi wake au Wachezaji wa Simba SC kwa sasa wamezidi Kujiamini na kuwa na Dharau wakisahau kuwa Mechi ya Derby'na Yanga SC ni zaidi ya Kucheza na akina AS Vita Club, Al Ahly na Kaizer Chiefs FC.

5. Simba SC kutokuheshimu Utamaduni wa Derby ambapo Kambi ya Simba SC kule Bunju ilikuwa ni ya wazi na kila Mtu hata Adui aliruhusiwa kwenda na Kuhudhuria tofauti na iliyokuwa Kambi ya Yanga SC ambayo ilitawaliwa na Umakini, Tahadhari na Ulinzi mkubwa sana.

6. Ndani ya Klabu ya Simba kuna Usaliti mkubwa sana na kuna Watu wanaodhaniwa ni Simba SC kweli kumbe ni Mapandikizi ya Yanga SC na ndiyo kwa miaka hii Minne wamechangia Yanga SC kuwa na Kiburi dhidi ya Simba SC japo Kiuwezo hata Wenyewe wanakiri Kuzidiwa na Simba SC.

7. Wachezaji wa Simba SC kutokuwa na Moyo wa Uchungu na wa Kujitolea Kuifia Timu / Klabu kama alionao Jose Miquissone ambaye huhitaji Akili Kubwa kujua kuwa ndiyo mwenye Uchungu hasa na Mafanikio ya Simba SC kuliko wengine ambao Uchungu walionao ni Kutongoza hovyo Wahudumu wa katika Ndege, Kutoroka Kambini kwenda Klabu na kufanya Uzinzi, Kujipodoa na Kutwa kuwa tu Mitandaoni kituringishia Gari zao, Nguo zao na Wake / Mademu zao.

Nitakuwa siyo Mwanamichezo, Mpuuzi na Mnafiki pia kama baada ya kusema yote haya nisiipongeze Klabu ya Yanga SC kwa Kushinda Mchezo wa leo kwa Goli la Kimchezo ambalo kamwe ukiwa Mtu wa Mpira huwezi Kumlaumu Kipa Aishi Manula na Beki Shomary Kapombe.

Kwa wale wanaomlaumu Mwamuzi Mwandembwa kuwa ameiumiza mno Simba SC je, tumeshajiuliza kuwa Timu inayoumizwa na Mwamuzi Wachezaji wake kwa Statistics wanaweza kuwa ndiyo wanaongoza kwa Kucheza Faulo / Rafu nyingi zile?

Ushauri wangu wa bure tu kwa Wana Simba SC ni kwamba badala ya Kumlaumu Mwamuzi tumeshukuru kwa Kuwavumilia sana Wachezaji wa Simba SC kwani nina uhakika angeamua Kuchezewa Kiukauzu na inavyotakiwa basi John Boko, Thadeo Lwanga, Joash Onyango, Bernard Morrison, Mohammed Hussein Tshabalala na Pascal Serge Wawae wangetolewa kwa Kadi Nyekundu.

Simba SC ikubali Matokeo ijipange mno.
Ujumbe huu unawafaa Yanga Utopolo FC na wewe tulinyimwa penalties mbili ifahamike hivyo Utopolo tulieni kama Utopolo tu.
 
Katika point zako zote point ya maana sana ni ya kupoteza nafasi na ni wazi Simba ilipata nafasi za wazi nyingi zaidi kuliko hata hao Yanga lakini matumizi ya nafasi hizo ndiyo yalinishangaza.

Haya twende kwa Yanga , unaweza kuniambia ikiwa Yanga walicheza vizuri zaidi walipata clear chances ngapi na walikosa ngapi na kwa nini?

Maana kuna shida naiona katika uchambuzi wa kibongo yaani timu ikiconced goli tu anaanza kulaumiwa kocha ohh angempanga huyu au yule hapa tu unaongea eti Nyoni ni mbovu mara angeanza mzamiru ila umesahau mzamiru ana udhaifu wake ambao mechi kadhaa anauonesha nao ni kupoteza pasi nyingi japo ana ubora wake mkubwa kwenye ukabaji (kupora mipira haraka) at the end game imeisha Morison akiwemo na alicheza alivyoweza.Kumbuka Simba wanacheza mpira endelevu yaani wa kitabuni Yanga wanakamia tu cos wanatambua wana madhaifu mengi tu.

Kuhusu Sven , ndo huyo huyo mliyemlaumu daily ohh anapanga mshambuliaji mmoja , mara timu haifungi magoli mengi yaani sijui tunapenda nini kwa kweli ,hivi unaweza kwenda kuwaambia watu eti Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba uwanjani kisa wamefunga tena a deflection ball goal yaani hicho ndicho kipimo kweli? [emoji23] unadhani watapata hizo deflection goals siku zote brother sahau hilo.

Mazoezi kuwa wazi sio sababu kama ingekuwa Sababu basi Yanga alipaswa ashinde goal 5 alipe kisasi cha miaka ile basi.Chambueni kiutu uzima sio blahblah nyingi kama hizi mnaharibu uhalisia ndiyo maana Yanga huko CAF kaenda mara nyingi than simba ila ana mafanikio kiduchu ukilinganisha na Simba kwa kuwa tu many times wanacheza kumkamia Simba while Simba ashavuka steji hiyo.

Ngoja tuone hizi next two games nani atakuwa mbabe huenda kila siku watapata deflection ball jambo ambalo kamwe siliamini
Mkuu umetiririka vizuri. Ila kudharau goli la yanga Kwasababu ni deflection imefuta yote uliyoandika hapa juu. Hebu tuambie dakika 30 za mwanzo Mpira ulikuwaje na matokeo ya yanga yalipatikana dakika ya ngapi

Simba walizidiwa dk 30 zote za mwanzo Kwasababu ya chemistry ya wachezaji iliyotengenezwa Jana. Yanga walitumia udhaifu huo hasa maeneo ya Kati kwa Erasto nyoni ambae alionekana kupywaya mapema kabisa na Yanga wakapata goli. Tuwe wakweli pamoja na kikosi Cha Yanga kuwa kibovu lkn walikuwa makini KatiKa kufanya marking muda wote na kufanya blocking ya mipira yote iliyotaka kuleta madhara golini kwao.

Wachezaji wa Simba kwa mechi nyingi huwa mentality yao hujengwa kuwa wakitanguliwa Moja ndio wanaanza kusaka kusawazisha na kuongeza magori mengine lkn approach hiyo kwa Jana iligonga mwamba. Jana Kati hapakuwa vizuri kwa Simba ndo maana akina madevu walianza kulazimisha kupiga mipira mirefu lkn nayo haikuzaa matundan kutokana na umakini wa beki wa yanga kufanya blocking ya mipira ya simba
 
Game nimeicheck vizuri kabisa ndiyo maana nimesema wazi shida ilikuwa kutumia nafasi tu upande wa Simba

Mfano Boko alikosa goli ambalo kwa mchezaji ambaye ni makini hakupaswa kukosa , Morisson alikosa goli hivyo hivyo , kwa kifupi game ilikuwa mikononi mwa Simba hasa second half ila nafasi hazikutumiwa vizuri na wachezaji wetu.Ukitazama vizuri utagundua kuwa tumeingia kwenye box ya Yanga mara nyingi zaidi , naamini huwezi kufanikiwa kuingia kwenye box ya mpinzani zaidi afu tuseme hamkucheza vizuri katikati ya uwanja au mpira kwa ujumla unless kucheza mpira vizuri kuwa kuna maana nyingine.

Goli la Yanga la deflection ni maamuzi ya mtu kupiga shuti kuelekea golini na likamgonga mtu likajaa wavuni at the end unakuwa umeshinda ila hata Kocha makini hawezi kujivunia hilo ,kocha makini atajiuliza kama ule mpira usingedeflect kwa beki wao Je,timu yangu ilikuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za wazi na kuzitumia? Kama hakuna nafasi zinazotengenezwa na timu kocha mzuri anajua hii sio class ni bahati tu.

Ninachokikubali kwa sehemu pia ni hili la kujitoa kufa kupona kwa Yanga (hii ni nature ya timu inayohisi ni dhaifu ila inajaribu kuonesha ina ubora mkubwa ) wachezaji katika game hizi wanacheza kwa umakini hata kama viwango vyao kesho hutoviona hivyo jambo linaloitofautisha na Simba na haya hujidhihirisha kwa namna ambavyo timu inaperform kwenye mashindano marefu hasa ya Ligi za mzunguko.

Jaribu kufikiri upya , ikiwa refa angetoa penalty ile Simba wakafunga then wakashinda tungekuja hapa kusema wachezaji wa Simba hawajitumi kama wa Yanga? Vipi kama nafasi za wazi za Morison na Boko zingekuwa magoli tungekuja na stori hiyohiyo? Kwangu ni hapana

So kama Yanga watashinda games tatu zijazo mwaka huu mbele ya Simba tutakuwa na cha kuhoji zaidi kwa nini ,ila kwa jana mi naona bahati tu maana mimi sijui ishu za uchawi naamini tu uchawi upo ila ulikuwa applied au la jana mie sijui.
Mkuu me nakuunga mkono na miguu kabisa kwa hoja yako, Simba kama team ipo vzr mno, tatizo kwa Simba lipo katika kupanga mikakati kabambe ya derby, kwa Yanga mechi ya Derby inachezwa nje na ndani, Simba ni tofauti sana. Na ndy maana hata Yanga waliingilia mlango ambao haukuwa rasmi, wakiamini mambo ya ulozi.
 
Back
Top Bottom