Niliyoyaona kwenye nyumba kongwe wakati wa repair, mimi ni fundi umeme natamani kuacha kazi

Mleta mada mpaka sasa nashindwa kukuelewa kabisa unataka kutuaminisha kwamba darini kuna ardhi ya kuchimba kaburi au umeona jeneza??
 
Kwa wahindi au uswahilini kwetu?
 
kweli jamaa mafundi weng hawasemi tu ila ni mengi tunona...
 
sasa hatari gan hapo kaka vitu vishakufa havina uhai haviwezi dhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ