Hii ni chai...πMimi nimeelewa kaburi kwamaana kaona kama vile wakristo wanajengea wanavyosakafia na kuweka msalaba juu au waislam wanavyojenga kuwela alama na mashahid pande 2 kama pamezikwa mtu..
Mleta mada mpaka sasa nashindwa kukuelewa kabisa unataka kutuaminisha kwamba darini kuna ardhi ya kuchimba kaburi au umeona jeneza??
ha ha ha ha we jamaa umefanya nicheke sana..na mada inaenda sioMbona wenzako tumeelewa mkuu...
Na mada inaenda
Lakini lile lilikuwa pango maalumu kwaajili ya kuzikiaKaburi sio mpaka lichimbe hata like la Lazaro ilikua ni kusogeza jiwe tu
Kaona kaburi lenye kina kirefu ....πna ushukuru hukupiga kelele ilikuwa imeisha hiyo
Kwa Wenge hili la kuandika hata picha hawezi piga sanasana alijikojolea huyu.Picha iko wapi sasa?
Eti maada inaenda kibishi π€π€π€ha ha ha ha we jamaa umefanya nicheke sana..na mada inaenda sio
Au unabishana na mleta madaπππAnhaa ok.....π π π
Kaona kaburiiii kumbe...sawa.
Mkuu mwanaume msimamo..ha ha ha ha we jamaa umefanya nicheke sana..na mada inaenda sio
Akuu πAu unabishana na mleta madaπππ
Haya tuambie basi alionana nini..?Akuu π
Aliona kaburi.πHaya tuambie basi alionana nini..?
Haya aliona kaburi je na wewe umeona nini madam..Aliona kaburi.π
ukisikia umeenda kuloga mtu kwa mganga wanakuambia huyu alishakufaga kitambo ,ndohiyo sasaKaona kaburi lenye kina kirefu ....π
Funguka kijana, maana hata hatuelewi unaposema uliona kaburi juu ya dari? How?mkuu sijakosea ni kaburi..
DaahFunguka kijana, maana hata hatuelewi unaposema uliona kaburi juu ya dari? How?
SO WALICHIMBA JUU YA DARI WAKAZIKA???????????????????????????????????????Wakuu
Nimefanya kazi za domestic wiring repair kwa zaidi ya miaka kumi, nimeona mengi lakini ya leo ni kubwa kuliko.
Leo nimekuta kaburi na msalaba kabisa kwenye cealing board.
Natamani kuacha lakini life ngumu.
Na wakati ww kwenye uso WA dunia unamuona...na ulipishana nae asubuhi wakati unaenda kumrogaukisikia umeenda kuloga mtu kwa mganga wanakuambia huyu alishakufaga kitambo ,ndohiyo sasa
Watu wanaamua kubishana na fundi sasa hapa mimi kama fundi nipo hapa kutetea madaNaona leo wanaopitaga kimyakimya wameamua kucomment hii chai jaba
Anyway Labella Poor Brain Kalpana Django doer Lightysh sijawaona bado....