Niliyoyashuhudia Jeshini

Nimekumbuka Oljoro JKT tulikuwa tukijongo Ijumaa tunatokea Unga Ltd na kurudi Jumapili na tunaanzia mahabusu.Mara zingine tunatoroka kwa kutumia magari ya mkaa kupitia Olasiti.Nilikaa kambini kwa mujibu wa sheria miezi 6 ya ukuruta na kuhamia Mgambo kumalizia miezi 6.Maisha mazuri hasa.
 
Hata mimi sikuwa interested kabisaaa ila nilivyoingia kwenye lile geti nikafungua moyo

Sikuwahi kudoji na hata baada ya muda zilipopatikana chance za kutoka, niliwahi toka one time tu. Nilisubiri hadi siku ifike niondoke

Na wajeda baadhi walikuwa wananiheshimu kwa sababu nilikuwa naenda na mfumo na nilikuwa sio lopolopo. Kuna baadhi walinambia kama naweza jifikiria kuingia ila nilijua haiwezekani..

japo nakumbuka ile siku narudi home baba alishtuka na ndugu yangu mmoja alinisahau kabisaa, sikuwahi pata extra care kama ile siku 😁😁😁
 
Kumbe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…