OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
mzee code zinagota MARAMBA zingatia machungwa na joto832kj ni Ruvu Mzee Baba, Mgambo JKT no 835kj vijiji viambatanavyo na kikosi ni Gendagenda, Komsanga, kwa bojo, diwawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee code zinagota MARAMBA zingatia machungwa na joto832kj ni Ruvu Mzee Baba, Mgambo JKT no 835kj vijiji viambatanavyo na kikosi ni Gendagenda, Komsanga, kwa bojo, diwawala
WAla si mkorofi sipendi watu wakughasi. Nmegundua we ni binti nipo hapa kukulinda. Nione mtu anakutingisha. Kwa kweli nitamchapa nao sana. Sasa uwe na amani nipo hapa kukulinda. Hakuna wa kukubebesha tranka tena. Na usimsumbue mama. Sawa eeeh?Ila wewe mbona mkorofi hivi😄
Ulaini wa Njiro huo.Hamia Ngarenaro uone maisha.Ukijikata na damu inatoka unamwagia udongo kusimamisha damu.Mbona mko serious hivi?
Mimi mpaka chuo nikiumwa mama atanipeleka hosp, na nikiwa najiskia vibaya vibaya nalia kabisa.. na sio kudeka, sijui ni nini uwa.
Ma Anna wawili mnasupportiana... Haya wote mkae vizuri tu. Hamna shida.Achana naye huyo. Leo yupo kwenye joto anatafuta basha.
Rwamkoma hiyo au?Non of the above
Siku ume do mara ya kwanza zilipotoka damu ulienda mwambia akuweke dawa?Mbona mko serious hivi?
Mimi mpaka chuo nikiumwa mama atanipeleka hosp, na nikiwa najiskia vibaya vibaya nalia kabisa.. na sio kudeka, sijui ni nini uwa.
Imeisha hiyo mkuu!WAla si mkorofi sipendi watu wakughasi. Nmegundua we ni binti nipo hapa kukulinda. Nione mtu anakutingisha. Kwa kweli nitamchapa nao sana. Sasa uwe na amani nipo hapa kukulinda. Hakuna wa kukubebesha tranka tena. Na usimsumbue mama. Sawa eeeh?
Umeyatimba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tumeshuka tu nikaona njia ya vumbi imekata kulia ni ndefu kama 2km nikasikia sauti "Hapohapo wote chuchumaa tranka kichwani ruka kichurachura uelekeo huu hapa kwenda kambini"
YesSiku ume do mara ya kwanza zilipotoka damu ulienda mwambia akuweke dawa?
Hata mimi sikuwa interested kabisaaa ila nilivyoingia kwenye lile geti nikafungua moyoSio muoga bali haukuwa interested kabisa na Jeshi na sumu walizokuwa wameshakujaza kitaa ukaona ohoo, na uliyoyakuta huko ndio kabisa ukawa unamuwaza mama tu muda gani atakuja kukuchukua. Inaonekana ilibaki kidogo ujikojolee simu zilipokusanywa, ukajua mawasiliano na bi mkubwa ndio bhasi tena 🤣🤣
Ulaini wa Njiro huo.Hamia Ngarenaro uone maisha.Ukijikata na damu inatoka unamwagia udongo kusimamisha damu.
Huko sio kwa wajanja.Ngara ya Juu ni kwa wageni ni kwa wasoft soft kama Njiro tu.Ngarenaro? Si heri niende huko Ngara ya juu 😂😂
Kumbe.Interview huanzia kuanzia siku ya kwanza unaripoti hapo getini ripoti wanaandika huyu tumepokea ni selule yaani mtoto wa mama huyu Jeshi hamna kitu wanaweka na marks zinahifadhiwa.Baadaye kwenye Kila eneo la mafunzo unatizamwa na wafunzi tofauti marks zinahiadhiwa Kwa Siri baadaye Kuna lile zoezi la kulenga shabaha unatizamwa unaangaliwa uwezo wako Kuna hizo ajira wengine huondoka nazo siku ya kufunga mafunzo tu anaambiwa Kwa Siri wewe ukitoka hapa karipoti Jeshi Fulani Nenda na barua hii au ukifika pale jitambulishe wewe Fulani usimwambie mambo mengi faili lako litakuwa limemfikia
Sio kuwa tu kuwa umekanyaga JKT ajira ipo.Perfomance ilikuwaje huko ?
Kaa kimya dada wa watu asimulie stori yake! Huna chochote cha maana unachoongea zaidi ya upumbavu!Anna umekuja msaidia mwenzio. Ukae kwa utulivu sasa siyo unajirusha rusha vibaya mpaka uniumize nishindwe kuoa.