Niliyoyashuhudia Jeshini

Jeshini mchezo? Siku narudi home kutoka kambini.
Mama na dada zangu wanalia hawaamini, mama alimlaumu sana baba mie kwenda kwa mujibu.

Ni mateso na karaha plus maumivu, kwangu binafsi sikuona uzuri wala umuhimu wa mie kuwa pale, ni baba kunilazimisha tyuuh aah.
 
basi mwenyewe unajiona unaakili kushinda serikali inayopeleka watu jeshini![emoji3]
Aha uzwazwa wewe, usiishi kama mnyama nguchiro anayekubali na kupokea kila kitu kama kilivyo.

Jifunze kuhoji kila kitu na kuwa mdadisi. Hivi unadhani kila kinachofanuwa na serikali ni sahihi? Kwa taarifa yako JKT ni moja ya vitu vya hovyo sana kufanywa ktk zama hizi.

Hakuna kipya cha kujifunza huko zaidi ya upuuzi wa kukosa usingizi , kulala na uchafu pamoja na ngono.
 
hapo unatembea umejaza mavi matakoni unaropoka tu.
wewe una logic gani kushinda think tanks wa nchi hii? au unaona mambo yanafanywa fanywa kama wewe unavyoenda kuuza K ambiance?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…