Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani utaropoka hapa?🤣🤣Usinisingizie sasa!
Utawala nilikua naupata kwa njia nzuri.
Sishangai, aliyeng'atwa na nyoka hata akiguswa na jani tu huruka 🤣🤣Samaki mmoja akioza, tenga zima linanuka....
Hongera ila ipo siku utaniambia tu huku ukisema "Ah yalikuwa mapito tu"😄Kwa hili Mungu ananiona!
Kumbe watu wapo serious humu?😂Shem Lovie Lady umemfungia wapi au ndo basi tena imebaki stori😅
kuna couples humu, nyingi mno, wengine wanandoa kabisaKumbe watu wapo serious humu?😂
Hutaki au?We coca wewee!![emoji23]
Wanaanzia wapi kwani? [emoji23][emoji23][emoji23]nadhani police awakusumbui kabisa...!
😂😂😂😂🙌kuna couples humu, nyingi mno, wengine wanandoa kabisa
kuna threads ukipita utaona
Ahsanteee rafiki [emoji120][emoji120]hongera sana Rafiki yangu .. kipaji cha kusoma mimi kimenipitia kushoto nina F za masomo 6[emoji24][emoji24][emoji24]
Yupiii? [emoji23][emoji23][emoji23]Umeona ID yake? Kwahiyo inafanana na alichoandika
Jeshini mchezo? Siku narudi home kutoka kambini.Kuna jamaa yangu nilisoma nae o level, mi Niko chuo udsm nimepanga zangu gheto akawa anakuja kuncheki, yeye kamaliza diploma hakuenda advance, katika kusaka ajira jamaa akaenda jeshi... Hapo hajaniambia nashangaa tu jamaa hapatikani hewani... Basi bana inapita kama miezi mitatu nashangaa tu siku jamaa huyu hapa gheto, kakonda kapauka Kawa kituko namuuliza jamaa vipi? Ananiambia man acha tu nimetoroka jeshini...
Jamaa alikua Kambi Tanga sijui ni ipi hasa, ananiambia jeshi pamemshinda amekimbia, anadai ashazimia kama mara mbili anajikuta anazinduka hospitali ya jeshi, akampiga mahesabu mara ya tatu hii itakua mazima.... Jamaa ananiambia sijui alipataje upenyo akawa ametoroka anatembea tu porini hajui hata Yuko wapi... Anadai alitembea kama siku mbili anahangaika tu akawa anahofia akitokea baharini itakuaje...
Au akishikwa si mtahisi labda alikua spy, yaani hofu kama zote, baada ya hizo siku akatokea Kijiji flani hajui hata ni wapi, hapo ana mavazi ya kuruta bado anahisi atashikwa tu, akaenda duka Moja akaomba kuazimwa simu akampiga mama yake akamuelezea yote, akatumiwa hela ndo akanunua nguo zingine na kuulizia mambo ya usafiri ndo mpaka kurudi dar... Akawa anaogopa kurudi kwao watamtafuta... Akawa anakaa gheto kwangu
Jamaa alikua ananipa visa vya kuchekesha sana na aliapa hatakaa akanyage jeshi tena, uzuri baada ya kama miezi 6 alipata zake ajira serikalini mpaka Leo Yuko kibaruani anakomaa
Aha uzwazwa wewe, usiishi kama mnyama nguchiro anayekubali na kupokea kila kitu kama kilivyo.basi mwenyewe unajiona unaakili kushinda serikali inayopeleka watu jeshini![emoji3]
hapo unatembea umejaza mavi matakoni unaropoka tu.Aha uzwazwa wewe, usiishi kama mnyama nguchiro anayekubali na kupokea kila kitu kama kilivyo.
Jifunze kuhoji kila kitu na kuwa mdadisi. Hivi unadhani kila kinachofanuwa na serikali ni sahihi? Kwa taarifa yako JKT ni moja ya vitu vya hovyo sana kufanywa ktk zama hizi.
Hakuna kipya cha kujifunza huko zaidi ya upuuzi wa kukosa usingizi , kulala na uchafu pamoja na ngono.
tabia za penzi jipya kubebishana ovyowanaigiza
Subiri aje atuambie fyddell kampeleka wapi Lovie LadyShem Lovie Lady umemfungia wapi au ndo basi tena imebaki stori😅
mimi sipoSubiri aje atuambie Lovie Lady kampeleka wapi fyddell