Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Huyo jamaa umemjibu vizuri sana!!!

Hivi kweli kumtaja Mwenyezi Mungu kunaubaya wowote..... Maana watu wa twariqa sisi ni wachamungu haswaa!!!


Nyoyo zetu hazina maradhi kwasababu ya dhikr
Na kumtaja Allah ni shortcut ya kuupata uchamungu 🤝🤝

Karama za mawalii zipo kwetu, kwasababu ya kujikurubisha kwa Allah 🚶🚶

Haiwezekani mm nimtaje Mungu mara 10000 kila siku, nimswalie mtume mara 7000
Nijizuie na maaswi kwa kadiri niwezavyo

Halafu niwe sawa na mtu anayeswali swala 2 na hajui kumtaja Mungu wala hana habari


Allah kishasema, Mbora katika watu ni yule mchamungu kuliko wenzake🚶🚶

(Note: nimetetea tu kundi ila Mimi sipo hvyo.... Sina uchamungu wowote
 
kama ni majina ya allah iweje uyaite kwa lugha hio ya kiromania.dont you see may be you are awakening something else? sijui lakin.
kama ni majina ya allah iweje uyaite kwa lugha hio ya kiromania.dont you see may be you are awakening something else? sijui lakin.
Kwahyo mpaka angeita kwa kiarabu.....
Vitu vingi kwenye maswala ya kidini vimetoka kwenye lugha ya Aramaic (kwahyo nguvu halisi ya jina huwa ipo kwenye lugha yake ya asili...... Mfano Jibreel jina lake asili ni Gabriel 🤝

Jina ukiliingiza kwa lugha nyingine hupungua nguvu🤔
Maana unakuwa umelitafsiri

Mfano chukulia wakristo wanavyotoa pepo kwa jina la yesu..... Sasa wewe liingize jina yesu kwa kilugha cha kinyasa (mfano iwe Yesu = Kivumba)

Halafu nenda uanze mwambia pepo kwa jina pa kivumba.... Utaona kichapo chake mpk utatoka vumbi usoni


Kwahyo usikariri kwamba mambo lazima yaende kiarabu.... Nope Kuna lugha zingine zenye muujiza na nguvu kubwa kuliko Arabic🚶🚶🚶

(Kama nimekosea nipewe elim, maana mengi n mtizamo wangu tu)

Ndugu Arsis samahani kwa kutoa elim nisiokuwa na elim nayo.... Tusameheane vijana tunateleza🤝🤝
 
Samahani, Mimi mwenyeji wa Duga (Mafroni) Huyu Babu yako kama hutojali mtaje hapa au nitumie Jina lake inbox. Then nitalithibitisha kama kweli au Alfu Lela ulela. Natanguliza Samahani.
 
Samahani, Mimi mwenyeji wa Duga (Mafroni) Huyu Babu yako kama hutojali mtaje hapa au nitumie Jina lake inbox. Then nitalithibitisha kama kweli au Alfu Lela ulela. Natanguliza Samahani.
Alishasema uliza Mzee Mabruki ndo maarufu japo sio jina lake yeye kila kitu alikuwa anapongeza kwa kumsema Mabruk yaani Hongera hadi nyumba kaelezea na shamba la babu yake.
 
Yeye Yuko kijiji Gani? Maana sio Duga (nawafungulia Codes).
Mahandakini.

Duga Maforoni karibu na msikiti wa mashia, uliza kwa mzee Mbaruki, ingawa sasa ni ndugu, watoto, na wajukuu tu wa Mzee mabruki, lakini bado wantumia jina hilo. Shmbani ni pwani ya mahandakini.

Mbona mimi codes zipo wazi kabisa, nimetaja mapangoni mara chungu nzima, umeshindwa kuunganisha codes "mapangoni" na mahandakini? ukifika kijiji cha mahandakini, ukiuliza shamba la Mzee Mabruki utaoneshwa njia ya kuja kwegtu lakini wanakijiji hicho wanapaogopa kwa Mzee mabruki, wengi washakimbizwa sana na mijoka na vitisho, wakija kuiba Nazi au embe. Wanaoingia shambani wengi ni wageni wanaokuja hapo shamba na wenyeji wanapitia baharini wanakuja na ngarawa au boti za magendo na uvuvi.

Huko mahandakini magendo tupu, hata askarfi wanapaogopa huko, hapaingiliki, huko askari wqanagoja magendo qazishike barabara kuu.
 
Samahani, Mimi mwenyeji wa Duga (Mafroni) Huyu Babu yako kama hutojali mtaje hapa au nitumie Jina lake inbox. Then nitalithibitisha kama kweli au Alfu Lela ulela. Natanguliza Samahani.
Uliza Mzee Mabruki hapo karibu ya msikiti wa shia. Mwenyewe kishatangulia siku nyingi sana. Lakini jina lake bado lipo na kwake kwa hapo Duga bado wajukuu wanaishi hapo.

Huna sababu ya kuamini kila usomacho mtandaoni. Nakufahamisha sio kwamba nina hamu ya kuhakikiwa, hapana, nanogesha vionjo tu. Upo huru kuhakiki yote.

Story za JF hazina malipo, ni kutoa dukuduku tu.
 
Muulize aris kuhusu mm.
Muulize unamfaham mtu anayetumia handle ya 100miles,
Nitafurahi kama atakujibu kuna jambo nataka kufaham
Atakusoma humu, akinijulisha nijibu nini, utaona jibu lake, kama kapotezea, utaona hakuna jibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…