Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Inatokea post namba 146.

Leo nitawaletea kisa cha nilivyooneshwa shemu ya kumita Arsis na kuongea nae kwa kina nikimuhoitaji.

Siku moja usiku nimevizia watu wote wamelala nyumbani, nikaiweka bakora yangu mbele yangu, nikaanza kumuita mwenye bakora kwa jina lake alilonipa, siliweki hapa. Haijapita muda nikaona ka ma kivuli, ghafla nikasikia salam nikaona mtu kakaa kwenye kiti chumani kwangu. Nikamkubuka ndio niliuonana nae mapngoni huko Duga. Tukaulizana hali, ni mtu wa kawaida tu, tena kaja kavaa kimjini kabisa, shatoi na suruali na alikua kama wa umri wa miaka 50 hivi. Akanambia unasemaje bwana mkubwa, umeniita. Nikamwabia mwenye pete yangu hii alinambia yeye hawezi kuja hapa, nikitaka wa kuja nikuite wewe. Ndio nimekuita.
Jini; Sawa, nimekuelewa, unasemaje?
Mimi: nilikua nataka kuuliza?
Jini: Mimi niulize mambo yanayohusiana na na mambo ya mitishamba na tiba zingine kwa uchache, Kuhusu mambo ya kieleimu zingine yoite muulize mwenye hiyo pete.
Mimi: Sina swali kuhusu miti shamba kwa leo.
Jini: Nilikuwekea dawa kwenye mkoba wako kule pangoni, uliiona?
Mimi: Nikamwabia niliona vipande vya vijiti vikavu vimefungwa pamoja na kamba za miti, ndio hizo?
Jini: Ndio hizo, mbona huulizi za kazi gani?
Mimi: Haikunijia kabisa kuuliza, wacha niulize sasa hivi, vijiti vya nini vile?
Jini: Vile vijiti vya zamani sana, kwanza ulle mzizi hauliwi na mdudu yoyote duniani, vile vina miaka mingi sana. Vile sio vijiti tu, ile ni dawa ina kazi kubwa sana. Kwanza wewe inatakiwa ukate kipande kidogo sana kama kucha ya kidole chako utie kwenye chai au maji ya moto, wacha mpaka chai au maji yapoe kabisa, halafu yanwe uyamalize. Hiyo itakutoa uchovu na sumu sumu zote mwilini. Fanya hivyo ukipata nafasi.
Mimi: Sawa, lakini nilisikia inatoa harufu nzuri ya manukato.
Jini: Sawa kabisa, yale sio manukato, ni harufu yake, na haiishi ile harufu hata vijiti vile vikae daima, harufu itabaki vile vile. Shani yake Mungu hio. Vijiti hivyo vile vile vinatoa uchawi wpowote mtu akilishwa na pia vinatibu matatizo ya tumbo ya kina mama, Vile vile vilivyom kama kuna mwanamke anapoteza siku zake bila mpango, zinazidi au zinapungua, au anatokwa damu kwa wingi kuliko kawaida, au anaharivu haribu uja uzito. Ukimpa kama nilivyokuelekeza Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu anakua sawa kabisa. Imewasaidia wengi sana.

Kwa ufupi, wewe unatakiwa unywe, nyinyi mnakula kula hoivyo kwa hawa kina mama wanauza vyakula, wanaweka mamboi memngi kwenye vyakula, kila kama kuna chochote hakitabaki.

Matumizi yake mengine, ni kama nilivukueleza, lakini hauinywi, unaitia kwenye jagi hivi la maji ya moto, halagfu unaiacha ikae humo wiki moja, unakogea yale maji kwa kujipaka mwili mzima mpaka yaishe, usiyamwage chini, hayo maji yanathamni kubwa sana. Hiyo itakua ni kinga yako kwa muda mrefu sana, kwa uchache unaweza kufanya hivyo kila mika mitano, basi hakuna mchawi mchawi atakae kuona kwenye mitego yake.
Mimi; Mitego yake tena?
Jini; Ndio kijana, wachawi kabla ya kukuchawi, wanakutafuta kwa njia zao, wakisha kupata wakuwekea mtego wa kichawi, huwa wanachukua kivuli chako, wanakifanyia mambo yao halafu wanakurudishia unakua kwenye mtego wao wamekunasa, wanakufanyia wanachotaka. Lakini ukijipaka hii, hawakuoni kabisa na watakuogopa wakianza kukutafuta. Ingawa nafahamu wewe vabu yako alikukinga nayo hii kuanzia utotoni lakini si vibaya na wewe ukaijua. Na itunze sana hiyto miti, haipatikani isipokua kwangu tu.

Mimi; Sawa. Sasa mimi niliongea na mwenye pete akanambia nikitaka kuongea nae atanionesha wapi pa kukutana nae, hapo unanisaidia vipi?
Jini: hapo mpaka uongee na yeye mwenyewe, mimi siwezi kuingilia maongezi yenu kabisa, itakua namvunjia heshima, ni mkubwa wangu sana mwenye hio pete. Yeye anaweza kuongelea yangu yote na wewe. Ukitaka mimi niulize ya wale mabinti wawili, watumishi wako wa hio pete, naweza kukuitia, yule mmoja mdogo wakati wowote lakini ni vizuri nalo ukaongea yeye, wale hawatakiwi kuja bila kazi, na wapo sana na wewe huwaoni tu. Mimi sipo sana na wewe mpaka uniite au itakikane dawa, mimi ulinzi wangu kwako ni hiyo bakora na dawa ninazokupa tu. Hivi nimekuja kwa kua una bakora yangu na nimekabidhiwa kwako, lakini sio kaida yangu kuja kwa maswali yasiohusiana na mitishamba.
Mimi: Ahsante kwa kuja, kwaheri.
Jini: Usione tabu lakini kuniita, wewe ni bwana mkubwa wangu, mimi niko chini ya amri zako. Nawea kuondoka?
Mimi: sawa nenda tu, kwaheri.

Basi alipoondoka nikamuita Arsis kimoyoomoyo hajachukua hata dakika moja akaniuliza kichwani, unasemaje simba?
Mimi" Arsis wewe si ulinambia unajua nataka kukuuliza nini hata kama sijakuuliza?
Arsis: Ndio, haya kama upo tayari sasa hivi, twende nikakuoneshe. Usijali uo na mimi hakuna ataekuona. Haya twende.

Mimi; Kama mbali si nichukue gari?
Jini: Haya chukua ywende, mimi utanikuta ndani ya gari. Nikwamwambia poa ngoja niombe gari. Nikampigia simu mama, nikamwambia mama natoka gari lako.
Mama; Usiku huu mwanangu?
Mimi: mama usiwe na wasiwasi kuna kazi babu alinipa nikija niifanye, ndiuo nakwenda kuimalizia.
Mama: haya baba, huyu babu yako nae kazi za usiku, mnakwenda kuwanga?
Mimi: Huku nacheka, ndio baba mkwe wako, anaifundisha kuwanga.
Mama: Yatawashinda. Usichelewe kurudi.
Mimi; poa, nikatoka, mlinzi akanifungulia hti. Ile naingia tu ndani ya gari nilipokuwa natoka getini, Sautri ya Arsis ikanijia, Akanambia tqebde viwanja vya bunge lenu kule mjini kabisa. Nikamuuliza kule njia ya Ikulu. Akasema ndio, wewe twende, ukifika gtakwambia gari uwache wapi.

Nikaenda mpaka barabara ya bunge, sauti ikanambia usisimame twende mpaka hospita ile ya wajerumani, nyie siku hizi mnaita oshen rodi. Ingiza gari kwenye parking ushuke takuelekeza unaelekea wapi. Hakuna ataekuuliza wala kukuzuwia.

Nikaenda mpoaka oshen road kuna parking kubwa tum palikua kiya kabisa mpaka panaytisha, sijakuta hata mlinzi nikawa nasukia sauti za mawimbi tu baharini. Sauti ikaja ikanambia haya fanya kama unakwenda hiyo nyumba mbele yako lakini kabla hujafika utaona njia ndogo inaenda kulia, ifate hio mpaka utakuta mbeke huko mawe mawe ndio hapo utakua umefika, Ukifika niite tu usiogope hakuna atakae kuona wewe wala mimi. Kweli nikaenda kama alivyonielekeza nikajiona kama naenda Ikulu kwa nyuma lakini kabla sijafika nyavu za ikulum, naziona kwa mbali nikaona kuna kama mawe mawe na kiwanja kizuri, pako kimya kabisa lakini taa za mjini, naziona taa za hispita naziona kwa mabali, kama mita 200 hivi. Nikaita palem kama dakika moja tu, Arsis akaingia, simuoni kama kawaida.

aRSIS; Naam, vipi hali yako?
Mimi: Salama,huku umepajuaje?
Arsis: Hapo mbele kidogo kuna mlango wa kuendea dunia nyingine, wewe huwezi kuuona, hakuna mtu anaeuona hata akiwa mchawi vipi.
Mimi; Dunia nyingine?
Arsis: Ndio, kuna dunia saba, hii tuliopo sasa hivi ni ya kwanza, zingine zinakaa viumbe wengine, si niliwahi kukwambia?
Mimi; Kweli ulinambia lakini sikuzingatia.
Arsis: Unakumbuka nilikwambia ukiniita kuongea na mimi uchukue hizi simu uwe unarekodi kila kitu, ili ukisahau ujikumbushe?
Mimi: Nakumbuka:.
Arsis; Haya: Fanya hivyo, usiogope mimi siwezi kuonekana, itasikika sauti yangu tu, na hakuna hapa anaetusikia wala kutuona nimeweka pazia.

Nikatayarisha simu yangu nikaiweka ikawa ina rikodi na kupiga picha nikaiengesha vizuri kwenyue jiwe moja nikanza kuongea nae.
Mimi; Kila nikiongea na wewe maswali yanazidi sana, sijui nianzie wapi. Wewe si ulisema unajua mimi nataka kuuliza nini? Anza kunijibuninachotaka kuuliza.

Arsis akacheka, akasema utakomaa tu, hakuna neno. Wakati naongea na simu nikaona kama vizuli halafu simu yangu ikaanguka kwa pale pale juu ya jiwe.
Arsis; Iweke sawa tu usiogope watotowa kijini hao wanachea cheza.
Mimi; Watotto wa kijini? mbina siwaoni na mimi nimefunguliwa macho?
Arsis akacheka, akanambia hawa huwezi kuwaona upoo na mimi. Usijali tuendelee. Wewe simba unataka kuuliza kuhusu dunia saba. Nikueeleze kwa uchache?
Mimi; nieleze.
Arsis; Ondoa fikra nyingi kwa sasa hivi, usiwe na haraka ya kujua mengi kwa wakati mmoja. Dunia zipo saba, ya kwanza ni hii yetu, ya pili wanaishi juju wa majuju (Gog Magog), ya tatu wanaishi majini. Ya nne wanaishi wanyama wakubwa sana ambao hapa duniani waliondoshwa wote. Ya tano wanaishi Ramadiyin. Umewahi kuwasikia Ramadiyin?
Mimi; Hapana, nadhani niliwasikia kwako mara moja tu.
Arsis: Inawezekana, lakini mimi naamini umeshawasikia lakini hujatia maanani. Hilo la siku nyingine. Kuhusu dunia ya tano. Dunia ya sita na ya saba, sina "authoirity" ya kuziongelea, kwa hiyo usiulie chochote kuhusu hizo.

Mimi : Ya nne umesem kuna wanyama?
Arsis: ndiyo kuna wanyama, wale mnaowasoma kuwa wametoweka duniani kama kina Godzila na Mammoth na wengine kama hao. Huko ni dunia ya vitu vikubwa vikubwa tu.

Arsis; hahahahaa, uliza tu usiogope, unauliza mimi ninajuaje na vipi uamini kama ni ukweli? au sivyo ulivyotaka kuuliza?
Mimi; Ndivyo nilivyotaka kuuliza. Sasa mimi naona hakuna sababu ya kujliza, wewe unajuwa fikra zangu, sifahamu vipi?
Arsis; Ni elimu tu, utaielewa kidogo kidogo. Mimi kwa sasa nina miaka inazidi elfu tano. Si ulitaka kuuliza hivyo?
Mimi: Ndiyo, unanifanya nisiulize kitu.
Arsis; Raha ya maongezi uulize, nilikua nataka uelewe kua naelewa ninachokwambi na sina sababu kukudanganya.
Mimi: Wewe ni jini au binadam au ni kiumbe wa aina gani?
Arsis: Mimi kwa sasa hivi ni mtu, lakini chukulia vyovyote upendavyo kwa kua mimi naweza kua vyovyote vile.
Mimi: Huo uwezo wa kua chochote unautoa wapi?
Arsis: Ni elimu anayotujaalia Muumba wetu. alieniumba mimi ndiye aliyeumba kila kiumbe na kila kitu ulimwenguni.
Mimi: Dunia ipi kubwa katika ulizonitajia?


Itaendelea.
Kwa hivyo karibu na Ikulu kuna ‘worm hole’ into other time dimension and time travel is possible.

Wazungu watakupa hela mingi sana ukiwaonyesha hiyo sehemu, “Einstein Field Equation” predicted that lakini mpaka leo hawajui zipo wapi.

Not to dismiss story yako entirely ila kama vile chumvi ni nyingi sana.

Vinginevyo I certainly believe kuna mambo mengi ya dunia binadamu hatuyaelewi. Ila chumvi nyingi sana ambazo hazi-add-up.
 
Screenshot 2024-08-22 033412.png
 
Muulize Arsis kama anamfahamu YESU KRISTO? Ikiwezekana atupe maelezo kumhusu
Kama nilivyokuahidi, kua Arsis anamfahamu na alishahi kunipa kisa cha Yesu zamani. Nimeipata kumbukumbu yake.

Nilipomuuliza Arsis alinipa majibu ya ajabau sana, ambayo ni kinyume cha mafundisho ya Ukristo na Uislam na yenye utata sana.


Utata wa kwanza; ni kuhusu Maria Bikira ( Bi Mariam kwa Waislam) hakua bikira kabla ya kuzaliwa kwa Yesu na Yesu hakua mtoto wake wa kwanza.

Utata wa pili; Mariam mama wa Yesu ni Mmisri wa ukoo wa wafalme wa Kimisri aitwae Meritaten

Huu utata wa pili, Arsis alisema "tafuta kwenye simu yako 'meritaten" utaiona picha yake iliotengenezwa wakati wake, sio hizo za kuchorwa zilizojaa kila sehemu. Ukweli huo unafichwa sana.

Utata wa tatu; Arsis anaamini Waislam wana kitabu kizuri sana, Qur'an, lakini hawakisomi kwa kukielewa, wanakisoma kwa kuimba tu.

Utata wa nne; Nilipomuuliza kuhusu Biblia akasema, hicho ni kitabu cha wagiriki. Nilipomwambia afafanue zaidi, akanijibu , mimi sikuja kukufundisha Biblia wala Qur'an, hivyo vitabu vipo, visome usichokielewa niulize.
 
Wasomi wengi wa dini hasa Sunni wanawachukulia sufi kama watu wasio katika usahihi hii ni kutokana na mambo yao hasa wengi kujihusisha na mambo ya uganga ijapokuwa wapo masufi wanaelimu kubwa tuu na ni wachamungu kwelikweli.
Moja katika masufi wakubwa ni huyu Ahmad Al Buni yeye aliandika kitabu maarufu kiitwacho Shams al maarifa inadaiwa ni kitabu cha uganga na mambo ya talasimu.
Sorry, Uislamu wote kwangu sio dini sahihi, ni ushirikina mtupu, mmejiunganisha sana na majini kwenye mambo yenu mpaka nashindwa kuiona nguvu ya Mungu na uwezo wake kwenye kutatua shida zenu.

Matatizo yenu mengi mnatatuliwa na majini, huku jina la Mungu mkilitaja juu juu tu ili ionekane mnamuamini, nashangaa nikimsoma huyu mleta story kuna mahali mpaka inaonekana Quran inashindwa kuondoa majini kwa wagonjwa, ila jini la mgonjwa linaondolewa na jini lingine {refer. mwanamke aliyetolewa jini na jini la mleta story Shinyanga}, sasa nyie msaada wenu mnaupata kwa Mungu au majini?!

Hii story nawaambia ukweli, imekuja kuivua nguo kabisa dini yenu, na kitabu chenu, na ndio maana nikimsoma faiza foxy kwenye hii story anaonekana kuipotezea, kama kukipuuza kile mleta mada anachoandika, ni kwasababu ameshaona dini yake anayoipigania humu kila siku, ina muunganiko wa moja kwa moja na majini, anaona aibu anajaribu kuificha, lakini haifichiki!.

Pesa za jamii ya waarabu wengi ni kwa msaada wa majini, sio Mungu, kufanikiwa kwenye mambo mengine kama safarini ni kwa ulinzi wa majini, sio Mungu, wengine wenu mnayafuga majini ndani, mimi nitashangaa sana kama siku ikifika nikamuona muislamu yeyote wa hii dunia ameurithi ufalme wa Mungu, unless muwe na hiyo pepo yenu wenyewe ya mabikra 72!, lakini sio yule Mungu wa rohoni ninae mwabudu mimi na kumtumikia, kwa jina la Yesu Kristu wa Nazareth.
 
Kamq nilivyokuahidi, kua Arsis anamfahamu na alishahi kunipa kisa cha Yesu zamani. Nimeipata kumbukumbu yake.

Nilipomuuliza Arsis alinipa majibu ya ajabau sana, ambayo ni kinyume cha mafundisho ya Ukristo na Uislam na yenye utata sana.


Utata wa kwanza; ni kuhusu Maria Bikira ( Bi Mariam kwa Waislam) hakua bikira kabla ya kuzaliwa kwa Yesu na Yesu hakua mtoto wake wa kwanza.

Utata wa pili; Mariam mama wa Yesu ni Mmisri wa ukoo wa wafalme wa Kimisri aitwae Meritaten

Huu utata wa pili, Arsis alisema "tafuta kwenye simu yako 'meritaten" utaiona picha yake iliotengenezwa wakati wake, sio hizo za kuchorwa zilizojaa kila sehemu. Ukweli huo unafichwa sana.

Utata wa tatu; Arsis anaamini Waislam wana kitabu kizuri sana, Qur'an, lakini hawakisomi kwa kukielewa, wanakisoma kwa kuimba tu.

Utata wa nne; Nilipomuuliza kuhusu Biblia akasema, hicho ni kitabu cha wagiriki. Nilipomwambia afafanue zaidi, akanijibu , mimi sikuja kukufundisha Biblia wala Qur'an, hivyo vitabu vipo, visome usichokielewa niulize.
Kusema mariam sio bikira tu ushaikataa Quran na huenda ukawa miongoni mwa waliokufuru
Maisha ya dunia ni mafupi haya ogopa sana usije kuingia kwenye aya hii
14:22
Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu: Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu.
 
Naomba kujua tiba ya nguvu za kiume

Ombi zuri sana.

Kwa sisi wa koo za simba, hilo ni jqmbo dogo sana na dawa zake zipo, tena tunakulekeza uzifanya mwenyewe.

Tiba ya nguvu za kiume ina mlolongo wa kufatiliwa kwa watu wa kisasa.

Kwanza ulijuaje hauna nguvu za kiume?
Una mke?
Kwa muda gani sasa?
Una watoto?
Wa ngapi?
Una umri gani?
Unajichua (punyeto)?
Unatembea na wanawake zaidi ya mkeo au ya wale aliokuruhusu mkeo?
Una lawiti au kulawitiwa (ushoga). -?
Unatumia sigara?
Unatumia bangi? Elezea unaitumia vbipi na kwanini?
Mkeo ndiye mwenye kulalamika kua huna nguvu za kiume?
Au ni wewe mwenyewe yeye hajawahi kulalamika?

hayo ni baadhi ya maswali ya awali, unaweza kuyajibu kwa faida ya wengi au unaweza kuja PM kama hutopenda kuwa muwazi.
 
Kusema mariam sio bikira tu ushaikataa Quran na huenda ukawa miongoni mwa waliokufuru
Maisha ya dunia ni mafupi haya ogopa sana usije kuingia kwenye aya hii
14:22
Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu: Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu.
hakuna nilipoikataa Qur'an, tafadhali chunga sana kauli yako. Mimi sipo hapa kufundisha Qur'an wala Biblia, wala kukuaminisha chochote kile. Wewe fundisha hapa unalolielewa tutakusoma, haujakatazwa.

Mtu kauliza, Nilipewa majibu na Arsis kama Arsis, siku nyingi sana. Baada ya majibu hayo nikamuuliza sana tena sana nikawa nabishana nae sana, yeye kasisitiza kunielewesha kua "huisomi Qur'an unafata maoni ya watu". Nikawa naisoma Qur'an bila maoni ya watu, neno au maneno nisyoelewa nauliza kila sehemu. Mpaka kwake, Arsis ananipa njia tu na kunipa maana ya baadhi ya maneno nje ya watafsiri wa Qur'an. Ninachoweza kusema, tunahitaji kusoma sana tena sna, bila kua na jazba.

Si unaona umeanza kunihukumu, kwa jazba tu, aya ulioileta haijaonesha ubikira wa Mariam.

hapa sikuja kufundisha Qu'an wala Biblia, nimekuja kuongelea visa vyangu vya kujaaliwa kukutana na viumbe vsiyoonekana, kama majibu yao hayajakupendeza au hayajakuingia, leta swali tuwaulize au subiri wakikusoma wanaweza kukujibu kupitia kwangu. Nina uhakika Arsis anausoma huu uzi.
 
Corazon Espinado.

Siyo utani. Kisa chako ni kizuri sana. Siyo kwa huo usimba ushuzi wako.

Kuna mengi yanaingia akilini. Ushauri wangu kwako, usiwe na haraka ya kupost ulichoandika. Andika post yako, tulizana, isome mara mbili tatu, rekebisha makosa ya kiuandishi kadri ya uwezo wako, kisha ndiyo post.

La pili ni ombi, naona kuna masuala ya dini yamejitokeza, natamani uniruhusu niyajibu ninavyoelewa mimi.

Mambo yako na majinni wako sikuingilii, nikiwa na swali huko ntauliza.

Ombi langu la mwisho kwako, tafadhali sana wachana na u foxy wangu na usimba wako. Tumekutana kwenye mtandao yaishie kwenye mtandao na mada zilizopo. Mjmi sikujuwi kabisa. Nikisema nakujuwa ni kwa kukutania tu. Ispokuwa, umemtaja mtu wa Shinyanga ambae nafahamiana nae toka utotoni, wamekuwa pamoja na mume wangu kwa ukaribu kabisa. Nawahamu ukoo wake wote. Ulichoelezea kijuujuu kuhusu huyo mtu wa Shinyanga ni ukweli mtupu.

Tafadhali nielewe, maana naona uzi umeshaingia watu wa jazba, wewe "remain cool" utupe kisa au visa vyako. Narudia, nimekipenda kisa chako, wachana na vile visa vyako vya usimba ushuzi.
 
Kwa hivyo karibu na Ikulu kuna ‘worm hole’ into other time dimension and time travel is possible.

Wazungu watakupa hela mingi sana ukiwaonyesha hiyo sehemu, “Einstein Field Equation” predicted that lakini mpaka leo hawajui zipo wapi.

Not to dismiss story yako entirely ila kama vile chumvi ni nyingi sana.

Vinginevyo I certainly believe kuna mambo mengi ya dunia binadamu hatuyaelewi. Ila chumvi nyingi sana ambazo hazi-add-up.
Tuendelee kukisoma kisa, hio lugha yako ingawa nimeifahamu lakini nzito sana.

Kuna mengi sana kwenye hiki kisa zaidi ya unavyofikiria. Ndio kwanza kipo mwanzo mwanzo, kwenye introductions za characters tu. Utafurahia ikianza elimu ya Quantum pysics, tume travel, teleportation. Isipokua utashangazwa sana na sayansi yenye utata, ambayo ni tofauti kabisa na tunavyitazama sisi.

Arsis ni mtata sana, Ingawa namfahamu kwa miaka mingi sasa, lakini bado hajafunguka kwanini alifungwa, ingawa kwa sasa nivyomuelewa kwa utata wake, sishangai kwanini majini walimfunga. Ngoja niendeleaa na kisa chake.
 
Tuendelee kukisoma kisa, hio lugaha yako ingawa nimeifahamu lakini nzito sana.

Kuna mengi sana kwenye hiki kisa zaidi ya unavyofikiria. Ndio kwanza kipo mwanzo mwanzo, kwenye introductions za characters tu. Utafurahia ikianza elimu ya Quantum pysics, tume travel, teleportation. Isipokua utashangazwa sana na sayansi yenye utata, ambayo ni tofauti kabisa na tunavyitazama sisi.

Arsis ni mtata sana, Ingawa namfahamu kwa miaka mingi sasa, lakini bado hajafunguka kwanini alifungwa, ingawa kwa sasa nivyomuelewa kwa utata wake, sishangai kwanini majini walimfunga. Ngoja niendeleaa na kisa chake.
tupo pamoja mkuu.. kama kifungua kinywa nimeshapata... tuendelee sasa.
 
Tuendelee kukisoma kisa, hio lugaha yako ingawa nimeifahamu lakini nzito sana.

Kuna mengi sana kwenye hiki kisa zaidi ya unavyofikiria. Ndio kwanza kipo mwanzo mwanzo, kwenye introductions za characters tu. Utafurahia ikianza elimu ya Quantum pysics, tume travel, teleportation. Isipokua utashangazwa sana na sayansi yenye utata, ambayo ni tofauti kabisa na tunavyitazama sisi.

Arsis ni mtata sana, Ingawa namfahamu kwa miaka mingi sasa, lakini bado hajafunguka kwanini alifungwa, ingawa kwa sasa nivyomuelewa kwa utata wake, sishangai kwanini majini walimfunga. Ngoja niendeleaa na kisa chake.
Hapo kwenye quantum physics and teleportation pamenivutia. Sasa niseme hivi kisa hiki kitakuwa kizuri mno kama ni cha kweli na hivyo unapaswa kuondoa makandokando mengi yanayokifanya kisa kuwa kirefu mno.
 
Corazon Espinado.

Siyo utani. Kisa chako ni kizuri sana. Siyo kwa huo usimba ushuzi wako.

Kuna mengi yanaingia akilini. Ushauri wangu kwako, usiwe na haraka ya kupost ulichoandika. Andika post yako, tulizana, isome mara mbili tatu, rekebisha makosa ya kiuandishi kadri ya uwezo wako, kisha ndiyo post.

La pili ni ombi, naona kuna masuala ya dini yamejitokeza, natamani uniruhusu niyajibu ninavyoelewa mimi.

Mambo yako na majinni wako sikuingilii, nikiwa na swali huko ntauliza.

Ombi langu la mwisho kwako, tafadhali sana wachana na u foxy wangu na usimba wako. Tumekutana kwenye mtandao yaishie kwenye mtandao na mada zilizopo. Mjmi sikujuwi kabisa. Nikisema nakujuwa ni kwa kukutania tu. Ispokuwa, umemtaja mtu wa Shinyanga ambae nafahamiana nae toka utotoni, wamekuwa pamoja na mume wangu kwa ukaribu kabisa. Nawahamu ukoo wake wote. Ulichoelezea kijuujuu kuhusu huyo mtu wa Shinyanga ni ukweli mtupu.

Tafadhali nielewe, maana naona uzi umeshaingia watu wa jazba, wewe "remain cool" utupe kisa au visa vyako. Narudia, nimekipenda kisa chako, wachana na vile visa vyako vya usimba ushuzi.
Nashukuru sana kwa yote.

Jibu tu. Siwezi kukuzuia mambo ya dini, na sisi wengine tutafaidika na elimu yako. Nakusoma sana, wewe ni katika watu walionifanya nijiunge na JF, nakusoma miaka mingi sana kabla sijajiunga kuanza kuchangia mada.

Sema na mimi nakuomba jibu bila hamaki. tusiuharibu uzi na kuubadisha mada. Hao watu wa jazba nakuachia wewe, lakini nakuomba sana usifanye jazba kama ulivyonishauri., Nitakua cool.

Nitafanya kama ulivyonishauri kuhusu kupitia post kabla sijairusha. Nilikua nahisi nikishairusha nitaipitia nirekebishe lakini nimeshaelewa hilo ndio kosa langu.

Nimefurahi sana, legend wa JF umenipa kichwa leo. Nakujua wewe "kifimbo cheza" ukiona kosa nitupie PM nitarekebisha.
 
Back
Top Bottom