Hivi Huwa kuna Qur'an za Kiswahili au ni lazima iwe imeandikwa kwa kiarabu?Nimependa jinsi ulivyo muwazi
Ukipata muda jaribu kuisoma na kuitafakari quran pia. Naamini utajifunza kitu ila huyu Arsis jini anabalaa.
Zipo za kiswahili,playstore utapata app za qur'aan na tafsir zakeHivi Huwa kuna Qur'an za Kiswahili au ni lazima iwe imeandikwa kwa kiarabu?
Simba au Arsis, tafadhali mmoja wenu aelezee hili. Kuna mambo natamani kuelewa. Hata mimi ninashawishika kabisa kuwa Adam sio mtu wa kwanza. Tuelezee tafadhali.hatari kubwa lakini anasema mbona hata Masheikh wakubwa wanasema hilo, anashangaa kwanini hamsomi? Kwanza anabisha wanaosema Adam ni mtu wa kwanza, anasema hakuna hio kwenye Qur'an, kama ipo leteni aya hapa.
Simba.
Nimefuatilia kuhusu ibn Arab, Kuna jina limeandikwa kwenye sayari ya Mars ila huenda ikawa iyo ni password yake yeye Ibn Arab kama unavyosema.msome Ibn Arabi.
Kaliandika hilo jina wenye sayari, ambayo sasa inajulikana kama Mars. Kipo wazi kabisa.
Jina pekee bila kupewa na Allah mwenyewe hiyo elimu, haitokidhi matakwa yako. Kila mmoja hufunuliwa "pasword" yake. Inawezekana jina hilo alifunuliwa Ibn Arabi tu kama password yake.
Fanya bidii na wewe upewe password yako.
Nimepitia kidogo kuhusu elimu iyo ya ladoun nimeona ikielezwa kama elimu kutoka kwa ALLAH yeye anamruzuku amtakaye.Sikiliza Lidafo, nilikupa zoezi la kufanya sijui liliishia wapi lakini elimu uitakayo inaitwa "ladoun" imetajwa katika Qur'an, sehemu kadhaa.
Kwa bahati mbaya, sio elimu ambayo unajifundisha moja kwa moja au kuna mtu atakae kufundisha. Ni elimu inayotoka kwa Allah pekee, na yeye kuchagua wa kumpa.
Wewe unachotakiwa kufanya ni kuzidisha kusoma, kila fursa unayoipata, soma kila kitu kutoka kwa kila mtu na omba sana dua ya Allah akuzidishie elimu. Ukikuta boksi lisome, ukikuta pakti ya maziwa isome, ukiona mti usome, ukiona mnyama msome.
Ukitaka niielezee zaidi, nitaielezea mpaka jina lake linavyojulikana kwa maulamaa wengine.
Sawa kabisa, ni kama nilivyokueleza juu hapo.Nimepitia kidogo kuhusu elimu iyo ya ladoun nimeona ikielezwa kama elimu kutoka kwa ALLAH yeye anamruzuku amtakaye.
Neno hili ''Ladoun'' lipo pia katika Quran surat kahf aya ya 10
رَبِّ هَبْ لِى مِن لَّدُنكَ رَحْمَةً - Mola wetu tupe rehma itokayo kwako
Hapo nimeona matumizi ya neno (لَدُن) - Likimaanisha ''kutoka kwa''
Lakini pia katika surat kahf aya ya 65 Inasema
“وَعَلَّمْنَاهُ مِن لَّدُنَّا عِلْمًا'' - Tukamfundisha ilmu itokayo kwetu.
msome sana na Al Ghazali.Nimefuatilia kuhusu ibn Arab, Kuna jina limeandikwa kwenye sayari ya Mars ila huenda ikawa iyo ni password yake yeye Ibn Arab kama unavyosema.
Habari yako? Mbona kimya Sana? Ila pole kwa majukumu! Tunakusubiri kwa hamu!msome sana na Al Ghazali.
Mkuu upo nina shida personal asee tunafanyaje ninauhitaj wa arsis wako hata dakika kumi tuh inanitosha msisitize hivo niko tayar hata kuslimmsome sana na Al Ghazali.
Usitegemee mtu au jinni, mtegemee Muumba wako.Mkuu upo nina shida personal asee tunafanyaje ninauhitaj wa arsis wako hata dakika kumi tuh inanitosha msisitize hivo niko tayar hata kuslim
Nina maswali tuh ambayo uwezo wangu umeshindwa naamn MUNGU pia mana sjaona kupingana hapoUsitegemee mtu au jinni, mtegemee Muumba wako.
Hv madamu unawezaje kujua kaam mtu katwaaliwa na mwenyez Mungu au wachawi?!Usitegemee mtu au jinni, mtegemee Muumba wako.
Sina elimu hiyo.Hv madamu unawezaje kujua kaam mtu katwaaliwa na mwenyez Mungu au wachawi?!
Je elimj yakuona visivyoonekaa jeh?! Kuongea na majini jeh unayo?! Au uko na elimu gan mana nahtaj kujua spiritual thingsSina elimu hiyo.
Naunga mkono hoja..Mimi hii sehemu ya Adam siielewi kabisa hivyo nasoma Kwa ku scan tumkuu Arsis mimi naona kisa cha adam ni bora ungeuanzishia uzi wake tu ujitegemee sababu kisa cha adamu kina mambo mengi complex yanachanganya na jinsi ulivyoanza mbali sijui mambo ya tafsili mara lisan na tafsiri za mashkhe haya yanafaa ukiwa umesoma japo vitabu vya dini ndio utaunga doti..ushauri wangu yafungulie uzi mpya uite"UKweli Kuhusu Adam-je, ni binadamu wa kwanza kuumbwa?" maana tulianza vizuri sana kuhusu ww kufunguliwa macho tukaja visa na vionjo vya Arsis ilikuwa moto sana ila hili darasa la lisan na tafsiri na maandiko ya mashekhe inachosha tena inaboa maana inahitaji uwe na akili pana na kisomi ya kuchanganua vitu hiyo wanayo wachache humu hadi lengo la uzi mama wa visa na vionjo vya arisis linapotea fanya kusitisha hili darasa la adam lipe uzi wake linaonekana refu sana kisha turudi tuendelee kwenye Visa na vionjo vya Arsis..
Kumbuka lengo ni kutoa elimu basi ni bora uwe na nyuzi nyingi tofauti zinazojitegemea zenye elimu tofauti kwa ajili ya marejeo kuliko hii ya kutumia nyuzi moja kurundika mambo kibao yenye maudhui tofauti yasiyohusiana na yaliyotangulia haileti maana zaidi ya kuchoshana.