Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kwa hivyo karibu na Ikulu kuna ‘worm hole’ into other time dimension and time travel is possible.

Wazungu watakupa hela mingi sana ukiwaonyesha hiyo sehemu, “Einstein Field Equation” predicted that lakini mpaka leo hawajui zipo wapi.

Not to dismiss story yako entirely ila kama vile chumvi ni nyingi sana.

Vinginevyo I certainly believe kuna mambo mengi ya dunia binadamu hatuyaelewi. Ila chumvi nyingi sana ambazo hazi-add-up.
 
Muulize Arsis kama anamfahamu YESU KRISTO? Ikiwezekana atupe maelezo kumhusu
Kama nilivyokuahidi, kua Arsis anamfahamu na alishahi kunipa kisa cha Yesu zamani. Nimeipata kumbukumbu yake.

Nilipomuuliza Arsis alinipa majibu ya ajabau sana, ambayo ni kinyume cha mafundisho ya Ukristo na Uislam na yenye utata sana.


Utata wa kwanza; ni kuhusu Maria Bikira ( Bi Mariam kwa Waislam) hakua bikira kabla ya kuzaliwa kwa Yesu na Yesu hakua mtoto wake wa kwanza.

Utata wa pili; Mariam mama wa Yesu ni Mmisri wa ukoo wa wafalme wa Kimisri aitwae Meritaten

Huu utata wa pili, Arsis alisema "tafuta kwenye simu yako 'meritaten" utaiona picha yake iliotengenezwa wakati wake, sio hizo za kuchorwa zilizojaa kila sehemu. Ukweli huo unafichwa sana.

Utata wa tatu; Arsis anaamini Waislam wana kitabu kizuri sana, Qur'an, lakini hawakisomi kwa kukielewa, wanakisoma kwa kuimba tu.

Utata wa nne; Nilipomuuliza kuhusu Biblia akasema, hicho ni kitabu cha wagiriki. Nilipomwambia afafanue zaidi, akanijibu , mimi sikuja kukufundisha Biblia wala Qur'an, hivyo vitabu vipo, visome usichokielewa niulize.
 
Sorry, Uislamu wote kwangu sio dini sahihi, ni ushirikina mtupu, mmejiunganisha sana na majini kwenye mambo yenu mpaka nashindwa kuiona nguvu ya Mungu na uwezo wake kwenye kutatua shida zenu.

Matatizo yenu mengi mnatatuliwa na majini, huku jina la Mungu mkilitaja juu juu tu ili ionekane mnamuamini, nashangaa nikimsoma huyu mleta story kuna mahali mpaka inaonekana Quran inashindwa kuondoa majini kwa wagonjwa, ila jini la mgonjwa linaondolewa na jini lingine {refer. mwanamke aliyetolewa jini na jini la mleta story Shinyanga}, sasa nyie msaada wenu mnaupata kwa Mungu au majini?!

Hii story nawaambia ukweli, imekuja kuivua nguo kabisa dini yenu, na kitabu chenu, na ndio maana nikimsoma faiza foxy kwenye hii story anaonekana kuipotezea, kama kukipuuza kile mleta mada anachoandika, ni kwasababu ameshaona dini yake anayoipigania humu kila siku, ina muunganiko wa moja kwa moja na majini, anaona aibu anajaribu kuificha, lakini haifichiki!.

Pesa za jamii ya waarabu wengi ni kwa msaada wa majini, sio Mungu, kufanikiwa kwenye mambo mengine kama safarini ni kwa ulinzi wa majini, sio Mungu, wengine wenu mnayafuga majini ndani, mimi nitashangaa sana kama siku ikifika nikamuona muislamu yeyote wa hii dunia ameurithi ufalme wa Mungu, unless muwe na hiyo pepo yenu wenyewe ya mabikra 72!, lakini sio yule Mungu wa rohoni ninae mwabudu mimi na kumtumikia, kwa jina la Yesu Kristu wa Nazareth.
 
Kusema mariam sio bikira tu ushaikataa Quran na huenda ukawa miongoni mwa waliokufuru
Maisha ya dunia ni mafupi haya ogopa sana usije kuingia kwenye aya hii
14:22
Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu: Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu.
 
Naomba kujua tiba ya nguvu za kiume

Ombi zuri sana.

Kwa sisi wa koo za simba, hilo ni jqmbo dogo sana na dawa zake zipo, tena tunakulekeza uzifanya mwenyewe.

Tiba ya nguvu za kiume ina mlolongo wa kufatiliwa kwa watu wa kisasa.

Kwanza ulijuaje hauna nguvu za kiume?
Una mke?
Kwa muda gani sasa?
Una watoto?
Wa ngapi?
Una umri gani?
Unajichua (punyeto)?
Unatembea na wanawake zaidi ya mkeo au ya wale aliokuruhusu mkeo?
Una lawiti au kulawitiwa (ushoga). -?
Unatumia sigara?
Unatumia bangi? Elezea unaitumia vbipi na kwanini?
Mkeo ndiye mwenye kulalamika kua huna nguvu za kiume?
Au ni wewe mwenyewe yeye hajawahi kulalamika?

hayo ni baadhi ya maswali ya awali, unaweza kuyajibu kwa faida ya wengi au unaweza kuja PM kama hutopenda kuwa muwazi.
 
hakuna nilipoikataa Qur'an, tafadhali chunga sana kauli yako. Mimi sipo hapa kufundisha Qur'an wala Biblia, wala kukuaminisha chochote kile. Wewe fundisha hapa unalolielewa tutakusoma, haujakatazwa.

Mtu kauliza, Nilipewa majibu na Arsis kama Arsis, siku nyingi sana. Baada ya majibu hayo nikamuuliza sana tena sana nikawa nabishana nae sana, yeye kasisitiza kunielewesha kua "huisomi Qur'an unafata maoni ya watu". Nikawa naisoma Qur'an bila maoni ya watu, neno au maneno nisyoelewa nauliza kila sehemu. Mpaka kwake, Arsis ananipa njia tu na kunipa maana ya baadhi ya maneno nje ya watafsiri wa Qur'an. Ninachoweza kusema, tunahitaji kusoma sana tena sna, bila kua na jazba.

Si unaona umeanza kunihukumu, kwa jazba tu, aya ulioileta haijaonesha ubikira wa Mariam.

hapa sikuja kufundisha Qu'an wala Biblia, nimekuja kuongelea visa vyangu vya kujaaliwa kukutana na viumbe vsiyoonekana, kama majibu yao hayajakupendeza au hayajakuingia, leta swali tuwaulize au subiri wakikusoma wanaweza kukujibu kupitia kwangu. Nina uhakika Arsis anausoma huu uzi.
 
Corazon Espinado.

Siyo utani. Kisa chako ni kizuri sana. Siyo kwa huo usimba ushuzi wako.

Kuna mengi yanaingia akilini. Ushauri wangu kwako, usiwe na haraka ya kupost ulichoandika. Andika post yako, tulizana, isome mara mbili tatu, rekebisha makosa ya kiuandishi kadri ya uwezo wako, kisha ndiyo post.

La pili ni ombi, naona kuna masuala ya dini yamejitokeza, natamani uniruhusu niyajibu ninavyoelewa mimi.

Mambo yako na majinni wako sikuingilii, nikiwa na swali huko ntauliza.

Ombi langu la mwisho kwako, tafadhali sana wachana na u foxy wangu na usimba wako. Tumekutana kwenye mtandao yaishie kwenye mtandao na mada zilizopo. Mjmi sikujuwi kabisa. Nikisema nakujuwa ni kwa kukutania tu. Ispokuwa, umemtaja mtu wa Shinyanga ambae nafahamiana nae toka utotoni, wamekuwa pamoja na mume wangu kwa ukaribu kabisa. Nawahamu ukoo wake wote. Ulichoelezea kijuujuu kuhusu huyo mtu wa Shinyanga ni ukweli mtupu.

Tafadhali nielewe, maana naona uzi umeshaingia watu wa jazba, wewe "remain cool" utupe kisa au visa vyako. Narudia, nimekipenda kisa chako, wachana na vile visa vyako vya usimba ushuzi.
 
Tuendelee kukisoma kisa, hio lugha yako ingawa nimeifahamu lakini nzito sana.

Kuna mengi sana kwenye hiki kisa zaidi ya unavyofikiria. Ndio kwanza kipo mwanzo mwanzo, kwenye introductions za characters tu. Utafurahia ikianza elimu ya Quantum pysics, tume travel, teleportation. Isipokua utashangazwa sana na sayansi yenye utata, ambayo ni tofauti kabisa na tunavyitazama sisi.

Arsis ni mtata sana, Ingawa namfahamu kwa miaka mingi sasa, lakini bado hajafunguka kwanini alifungwa, ingawa kwa sasa nivyomuelewa kwa utata wake, sishangai kwanini majini walimfunga. Ngoja niendeleaa na kisa chake.
 
tupo pamoja mkuu.. kama kifungua kinywa nimeshapata... tuendelee sasa.
 
Hapo kwenye quantum physics and teleportation pamenivutia. Sasa niseme hivi kisa hiki kitakuwa kizuri mno kama ni cha kweli na hivyo unapaswa kuondoa makandokando mengi yanayokifanya kisa kuwa kirefu mno.
 
Nashukuru sana kwa yote.

Jibu tu. Siwezi kukuzuia mambo ya dini, na sisi wengine tutafaidika na elimu yako. Nakusoma sana, wewe ni katika watu walionifanya nijiunge na JF, nakusoma miaka mingi sana kabla sijajiunga kuanza kuchangia mada.

Sema na mimi nakuomba jibu bila hamaki. tusiuharibu uzi na kuubadisha mada. Hao watu wa jazba nakuachia wewe, lakini nakuomba sana usifanye jazba kama ulivyonishauri., Nitakua cool.

Nitafanya kama ulivyonishauri kuhusu kupitia post kabla sijairusha. Nilikua nahisi nikishairusha nitaipitia nirekebishe lakini nimeshaelewa hilo ndio kosa langu.

Nimefurahi sana, legend wa JF umenipa kichwa leo. Nakujua wewe "kifimbo cheza" ukiona kosa nitupie PM nitarekebisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…