Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Naunga mkono hoja,,mwamba hapendi porojo
 
Wa kwanza: "Wamefungua boksi la matatizo."

Wa pili: "Usimwage, iandike."
 
Wa kwanza: "Wamefungua boksi la matatizo."

Wa pili: "Usimwage, iandike."
Hio tafsiri ya neno kwa neno lakini naona ni misimiati, imebidi nitafute kwenye mtandao anamaanisha nini, nimeanza kuelewa kwa mbali, nitamuuliza baadae nikiongea nae. Hizzo jumbe kazifikisha bila mimi kuongea nae.
 
Hio tafsiri ya neno kwa neno lakini naona ni misimiati, imebidi nitafute kwenye mtandao anamaanisha nini, nimeanza kuelewa kwa mbali, nitamuuliza baadae nikiongea nae. Hizzo jumbe kazifikisha bila mimi kuongea nae.
Nimekuuliza
1.phoenix
2.bohemoth
3.metatron
4.Gregorian Angels
5.Ophanims...

Nataka kujua pia kuhusu...7th Hall....
Mbona kama unakwepa hili swali? Kama Arsis Hajui uniambie tu! Au gumu!
 
Una roho nzuri mm huyo dereva nisingempa hata Mia mtu gani hariziki..??
 
Tumefungua kopo la minyoo/Chambo 😆🤣 maaa yake mwana kulitafuta mwana kulipata.
 

kama Arsis kataka watu waulize hapa basi mm nauliza kwa faida ya wengi swali ni kuhusu janga la Punyeto na kujichua inasemwa wakati unafanya kitendo hiko kuwa hauko peke yake kuna washirika wasionekana je,ni kina nani hao na dhumuni la kuwepo na ww wakati unanyetuka ni nini na kipi hasa kinaendelea kwa uwepo wao hapo? pia ni yapi hasa madhara ya kiroho na kinafsi ya huo mchezo yalio nyuma ya hio nyeto na pia ni namna gani uachane na hio nyeto?
 
Sijui nimuulize nini Ila natamani kujua kisa cha Malkia Bilqis na Nabii Suleyman alosema nitakuvutia kiti kabla hujafika hapo kama sijakosea kingine.

Kuhusu Haaruta na Maarut

Kuhusu Allien

Kuhusu Majinn wanao fanya watu wawe gay or lesbians or bisexual najua anaelewa.

Na kingine kwanini majini wanapenda mfanyisha mtu mapenzi kwa hisia au kumfanya apige Bakary Nondo Mwamnyeto.

Kwanini majini wanaingilia mke wa mtu mpaka anazaa mtoto nusu jinn nusu binadamu wasizae na majinn wenzao.

Uchawi wa wapi ndo mkali wa wazungu au wa Misr au wa Kindengereko Kimakonde



Kuhusu Lucifer Freemason



Kuhusu Masih Dajjal
 
I am not Arsis Ila najibu Punyeto ni majini Ashki yakufanyisha 😁kwa kupiga Bakary Nondo Mwamnyetonyeto au kihisia 😁yaani unajikuta unapiga mshindo bila tendo lolote.

Tena mengine unapiga show na mkeo kumbe jinn yupo mwilini kwako hata hujui mnagonga wote mkeo mahari umetoa wewe 😁au mke an akiwa na jinn la kike lamuingia unagonga mke kumbe unagonga na jinn yaani 2 in one 😁na wapo wake wabeba mimba nusu mtoto binadamu nusu jinn😄

Ndo maana Muslim tuna dua una soma kabla ya kuingilia mke kujilimda na majini wanyemelea tendo la ndoa kizazi chako kisichanganyike na majinn.
 
punguza kuangalia movies mkuu.
Kama angejibu halafu ukaniambia hivi ningenyamaza ila kwa kuwa umeingilia basi inabidi pia kunyamaza nafkiri kwa uelewa wangu hapo ndio nimefika mwisho...kwahiyo nilitaka kuongezewa uelewa tu..!
Sa kwa kuwa wewe uliwaona kwenye movie siwezi kukupinga
Ila Mimi nimewasoma kwenye kitabu kinachheshimika sana..Kitabu cha Enoch...sioni mahusiano hapo kati ya hicho kitabu na Movies...!
 
Asante kwa kushare
Pamoja chief..you are welcome.. kuna elim pana sana huku katika ukristo sijui ni kwanin wachungaji wame concerntrate kwenye vitu common common hiv vya kila siku ambavyo pia hawavichimbui kwa ndani, lakin kuna mambo mengi mnoo huku. The doctrine is soo wide about the bible.. the bible explain about earth speherical shape, kuna biblical archeology, huku current days event prophecy ambazo hiz ziko very deeply elaborated katika the study called Eschatology.

Alot of things kwakwel
 
mtu wa maana sana huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…