Nipo hapa Mkuu Arsis kupata muongozo sahihi maana hao watu siwawezi kwa lolote ila Mimi haki yangu naitaka. Najua nafuatiliwa sana mpaka mtaani. Roho inaniuma kwanini wale jasho la Mnyonge kama Mimi wakati wao wana kila kitu wanachokitaka?Sisi tutakusaidia hapa JF. Usisahau.
Major Government officials are reading you now. Some, not all. Usishitaki mtu sababu anaweza kupata aibu yeye au watu waliomsaidia. hapa tutakupa njia, hakuna mchawi au anasema Sheikh atakusaidia.
Hapa JF utapata msaada, lakini sio kwa njia wewe unafanya. Njoo hii uzi, utapata njia.
naomba utufafanulie hapo kufungua biashara kwa faida yako ndio iko vp hiyo maana wengi kufungua biashara kwa kuwauzia watu ili kupata mapato vp wewe useme fanya biashara kwa faida ya wengi na biashara hiyo ipo kwa ajili ya watu..embu fanya kutuwekea kwa mifano iyo kauli yako.Swali zuri sana hilo.
Usfungue biashara kwa faida yako, fungua biashara kwa faida ya wengi. Utapata faida kubwa sana. Sawa?
Tupe ishara tuamini kama kweli wewe ni jiniAnaumwa.
Fanya ibada, sali sala za usiku, usikae na mwili mchafu. Kuna aya na sura ndogo ndogo sana kwenye Qur'an zina nguvu sana kuliko chochote.unatakiwa kufanya nini ikiwa unaota ndoto za kichawi na ushirikina?
Dogo ungeenda jukwaa la Celebrity kwanza mbona unachafua na kuvuruga hapa?Tupe ishara tuamini kama kweli wewe ni jini
Hivi na nyinyi kwa akili zenu ndogo mna amini mnachati na jini?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dogo ungeenda jukwaa la Celebrity kwanza mbona unachafua na kuvuruga hapa?
Hizo sura zinaweza kuwa Surat ikhilasw, falaq na mass ndio sura ndogondogo zinazohusiana na mambo ya uchawi na ukubwa wa Allah. Nimejaribu au kuna nyingine ndogo tofauti na hizo bwana Arsis tupe elimuFanya ibada, sali sala za usiku, usikae na mwili mchafu. Kuna aya na sura ndogo ndogo sana kwenye Qur'an zina nguvu sana kuliko chochote.
Qur'an ni shifa. Unajua maana yake? Ni hopital.
chaiKuna watu wanasoma kama story halafu kunawengine tupo darasani🤝
Kwahyo ukiwa unaeleza kwenye mafunzo elezea kwa kina, maana kuna watu tunajifunza na kuingiza kwenye utendaji
Mfano juzi.... Baada ya kusoma uzi hapa, na mm nikaenda kuwaita hawa marohani niliorith kwa mzee wangu (nikapanda juu kwenye uwazi sehem ilotulia kwa mbaramwezi, si nikawaita bhana........... Maana nishawazoea kila siku lazima waje karibu muda wote nikiwa pekeangu wanapenda kuja
Sasa juzi nikawaita huku nawapiga beat,,,,, leo staki mje kimyakimya nataka mje muongee hapa au niwaone live😁😁😁😁
Bwama weeeh si upepo ukaanza kuvuma pale,,,,,, nikaanza kuwaza kimoyomoyo "Leo yule jamaa wa Jf kaniponza😂😂😂😂"
Ila walikuja lakini sikuwaona wala hawakusema chochote.... Nikashuka zangu huyooooooo safari🚶🚶🚶
Kuna mwamba humu anajua sana kuna siku nilimpa mechi tena correct score nikala 450,000 sema niliogopa kutia mzigo aisee ningemfirisi KanjibaiKuna mtu aliuliza kuhusu suala la kubet na mikeka ya uhakika, toa neno hapo
Huyu hana elim ya majini..... Elim ya majini utaipata kwa majini wenyewe,
Pia hawapendi kuitoa elim kuhusu wao
huyu shekh wetu ni kama anaongea vitu alivyosikia 🤝
(Unawazungumziaje majinn ikiwa hujawah hata kuwaona wala huna uwezo kwa kufanya nao communication
Bora mleta mada mara 💯 kuliko huyu ostadh🚶🚶
(Mimi miaka zaid ya 20 mpk nishawazoea wamekuwa kama ndugu sasa..... Ila nawafaham juu juu tu🤝
Jinn kusema asili yake sio kitu kidogo (akwambie koo yake na jina lake la asili hiyo story nyingine
Hasa hao maruhan ndo hatari kabisa, mara 💯 hao wengine wapo kawaida kiasi
Hivi Dunia inaweza kuwa na makadirio ya miaka mingapi..... Toka uumbaji wake
(Hili swali ushamuuliza Arsis, tupe nondo mwalim🤝
Sura hizo ni ikhilasw, falaq na nass au kuna sura nyingine ndogo zinahusiana na ushirikina na uwezo wa ALLAH tupe elimu ArsisFanya ibada, sali sala za usiku, usikae na mwili mchafu. Kuna aya na sura ndogo ndogo sana kwenye Qur'an zina nguvu sana kuliko chochote.
Qur'an ni shifa. Unajua maana yake? Ni hopital.
Ndio najua. Simba alishauliza zamani ataleta kisa chake hapahapa.Arsis kujua pete ya nabii suleyman ipo wapi?
Na sanduku la agano lipo wapi kwa sasa?