Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Nipo hapa Mkuu Arsis kupata muongozo sahihi maana hao watu siwawezi kwa lolote ila Mimi haki yangu naitaka. Najua nafuatiliwa sana mpaka mtaani. Roho inaniuma kwanini wale jasho la Mnyonge kama Mimi wakati wao wana kila kitu wanachokitaka?
 
Swali zuri sana hilo.

Usfungue biashara kwa faida yako, fungua biashara kwa faida ya wengi. Utapata faida kubwa sana. Sawa?
naomba utufafanulie hapo kufungua biashara kwa faida yako ndio iko vp hiyo maana wengi kufungua biashara kwa kuwauzia watu ili kupata mapato vp wewe useme fanya biashara kwa faida ya wengi na biashara hiyo ipo kwa ajili ya watu..embu fanya kutuwekea kwa mifano iyo kauli yako.
 
Fanya ibada, sali sala za usiku, usikae na mwili mchafu. Kuna aya na sura ndogo ndogo sana kwenye Qur'an zina nguvu sana kuliko chochote.

Qur'an ni shifa. Unajua maana yake? Ni hopital.
Hizo sura zinaweza kuwa Surat ikhilasw, falaq na mass ndio sura ndogondogo zinazohusiana na mambo ya uchawi na ukubwa wa Allah. Nimejaribu au kuna nyingine ndogo tofauti na hizo bwana Arsis tupe elimu
 
chai
 
Nimejikuta nakucheka wajifanya wajua kumbe hujui.

Na humjui pia,na nisingependa kumuongelea hata yeye tu kujiongelea kujimwambafai kamwe huwezi kuta anaongelea, halafu mbona hata yeye amesema jinn huwa hasemi ukweli asli yake jina Ila kuna hesabu unapata umeishi nao miaka 20 mwenzio kazaliwa kalelewa nao nini yeye kuongea nao mie tu wanijia ndani kwangu naona nao japo wanakuja kwa umbo lake haswa mida ya mchana unakuta kama nalewa usingizi anyways niishie hapa sipo hapa kuongelea habari za mtu nipo kujifunza.weka elimu yako wewe tujifunze kuhusu majinn
 
mkuu mimi swali langu ni huko masokoni hivi wale wanaofanya biashara wakiwa uchi lakini kwa macho yetu ya kawaida tunaona wamevaa nguo kuna siri gani wao kuuza wakiwa uchi na je,madhara yoyote kwa wateja wanaonunua na kula hivyo wanavyo viuza maana vyaweza kuwa vichafu pia na ipi njia ya kuwaepuka? na vitu wanavyouza ni halisi au kiini macho?
 
Fanya ibada, sali sala za usiku, usikae na mwili mchafu. Kuna aya na sura ndogo ndogo sana kwenye Qur'an zina nguvu sana kuliko chochote.

Qur'an ni shifa. Unajua maana yake? Ni hopital.
Sura hizo ni ikhilasw, falaq na nass au kuna sura nyingine ndogo zinahusiana na ushirikina na uwezo wa ALLAH tupe elimu Arsis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…