Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Naam Hoyo wangu alikuwa msomali alikuwa anasema ni matusi kwa mwanamke wa kisomali kunuka wao kununua na nyumba zao nywele wafukiza oud na oud bokhoor ya nyumba sio anayo jifukizia mwilini nywele au kwenye nyumba,asubuhi kisha pika chai ya maziwa somali Xhaa angelo(Angela) maini au nyama (beef sugaar) au sabayad(chapati) nyumba safi yanukia Alkhamis kuamkia ijumaa Mama aliniambia kwao Hergeisa wanawake wanafanya facial na steaming z nywele kwa hinna na qasir (unga wa majani ya mkunazi) sio u Tanga wa Somali wako hivyo ndo maana wanshika same zao hawafu



Ukienda Tanga niletee anjari haswa nyeupe naipenda harufu yake ya arki rose usisahau kamba wa Maforoni 😄nawapenda sana haswa ukiwa pika prawns curry au prawns biryani.
Duh... Mambo ya Ounsigaa!
 
hivi inakuwaje watu wanaingiliana na majini wakati sisi na majini tuna asili ya uumbwaji tofauti?

hata kama tunao mwili wa roho inakuwaje majini yanatuingia?

njia za kuepukana nao.
 
Naam Hoyo wangu alikuwa msomali alikuwa anasema ni matusi kwa mwanamke wa kisomali kunuka wao kununua na nyumba zao nywele wafukiza oud na oud bokhoor ya nyumba sio anayo jifukizia mwilini nywele au kwenye nyumba,asubuhi kisha pika chai ya maziwa somali Xhaa angelo(Angela) maini au nyama (beef sugaar) au sabayad(chapati) nyumba safi yanukia Alkhamis kuamkia ijumaa Mama aliniambia kwao Hergeisa wanawake wanafanya facial na steaming z nywele kwa hinna na qasir (unga wa majani ya mkunazi) sio u Tanga wa Somali wako hivyo ndo maana wanshika same zao hawafu



Ukienda Tanga niletee anjari haswa nyeupe naipenda harufu yake ya arki rose usisahau kamba wa Maforoni 😄nawapenda sana haswa ukiwa pika prawns curry au prawns biryani.
Wewe kweli Msomali, mimi nimeishi nao sana Canada. Waislam wazuri sana, wamenipa sana zawadi ya "unsiga" .

Ngoja niwahi swali la kwanza kabisa kwa Arsis.
 
Babu yangu alijaaliwa maarifa siku nyingi sana. Alijichagulia hiyo sehemu ambayo watu wote walikua wanaiogoppa. ikawa kajichagulia katikati ya matawi mawili ya mto ambayo yote,a yanatoa kamba kwa wingi wakati wa msimu, lile tawi kubwala mashariki na lile lenye mapango ya kiajabu, yote yapo kwenye eneo la shamba lake. Ule mto wa Mashariki ndio kwa upande wa pili jamii wanapata kuvuna msimu wa kamba, mto ule ndio mpaka wa shambani kwetu, huu mto wa Magharibi ni tawi dogo tu lisilokauka, linapita katikati ya shamba letu, mapango mawili makubwa moja ni kama ukumbi tu mkubwa, hayakutani kwa ndani, yote yapo ndani ya shamba letu.

Mji wa babu bado wanakaa wana familia au wanafunzi wanaokuja hapo mpaka leo hii.

Ukifika kuanzia mpakani horohoro mpaka unafika Duga maforoni ukiuliza Mzee mabruki kwake wapi, unaletwa hata na mtoto mdogo. Babu wengi wanafikiri Mbaruki ni jina lake, lakini ukweli ni kua kuanzia anafanya kazi Tanga 'Mabruki" ulikua ni msemo wake mkubwa, akimaanisha kupongeza kila zuri utaloilfanya,anakupongeza kwa kusema "mabruk" basi ikashika ndio likawa jina lake "Mzee Mabruki". Ukija Duga Maforoni tuna kwetu, vizazi vya Mzee Mabruki mpaka kesho. Lakini kwa Mzee Mabruki alipo ni kule shamba, baharini kwenye kamba wa kufa mtu. Qengi wanajua anakaa Duga mjini, hawajui pale ni kwake anakuja kwa shughuli zake tu, lakini makazi yake hasa ni kule shamba.

Kamba wa kufuga ilishindikana kabisa kule. Walikua na kazi kubwa sana, babu akasema sina hamu nao, hawa wa msimu wanatutosha na pesa zake hatuzimalizi. Ndio miradi ya kuvuna kamba kwa mwaka mzima ikaishia kwa kauli hiyo ya babu. Sasa kuna misimu miwili tu, msimu mkubwa na mdogo, na kila msimu una aina tofauti ya kamba. Miuiiza ya Muumba wetu hio.

Mpaka kesho, misimu yote ya kamba, nakua shmbani kwetu, navuna kamba tu.
kaka samahani Mzee mabruki unaemuongelea hapa ni huyu mwarabu wa Duga maforoni mwenye magari aliyaandika Bin Nassoro?
 
Arsis ,je kwel jamii ya watu wa misri hapo kwanza walikua watu weusi na mafarao wa kwanza walikua sionwa race hiibya sasa??
Swali lako zuri sana. Kweli na sio kweli. Utawala wa Misri ambao unajulikana na ambao wasomi wa siku hizi wanadanganya una miaka 3000 mpa 5000 au zaidi kidogo, ni utawala wa zamani sana una miaka zaidi ya millioni. Walikuepo watu wa rangi zote na wa mataifa yote. Ni utawala mkubwa sana. Pale Misri, Giza ndio kitovu cha huo utawala lakini ulikua mpaka siku hizi mnaita Amerika, ulikuwepo Mpaka China ulikuwepo mpaka chini ya Afrika Kusini. Kule siku hizi barafu tupu, mnaita Antarctica, ipo miji mikubwa sana chini ya barafu. Mingine ipo chini ya bahari ya Mediterranean. Mengine ipo chini ya bahari yenu hapa Tanzania.

Watu wapo kila rangi ili mafahamiane tu, huyu wa wapi yule wa wapi. Utawala wa zamani wamwisho usioongea kiarabu wa Egypt ni wa rangi mchanganyiko.
 
Huyu hana elim ya majini..... Elim ya majini utaipata kwa majini wenyewe,

Pia hawapendi kuitoa elim kuhusu wao
huyu shekh wetu ni kama anaongea vitu alivyosikia 🤝
(Unawazungumziaje majinn ikiwa hujawah hata kuwaona wala huna uwezo kwa kufanya nao communication

Bora mleta mada mara 💯 kuliko huyu ostadh🚶🚶

(Mimi miaka zaid ya 20 mpk nishawazoea wamekuwa kama ndugu sasa..... Ila nawafaham juu juu tu🤝
Jinn kusema asili yake sio kitu kidogo (akwambie koo yake na jina lake la asili hiyo story nyingine
Hasa hao maruhan ndo hatari kabisa, mara 💯 hao wengine wapo kawaida kiasi
Hii sio swali yangu. Atajibu simba.
 
Swali langu Arsis
Kwanini nashindwa kupata msaada kwa watu kwenye suala langu la jamaa kutumia vyeti vyangu na anapata mshahara mzuri,posho, na marupurupu mengine?
Nimejaribu kufuatilia mpaka baraza la mitihani (NECTA) Kujua jina langu au vyeti vyangu vinatumika ofisi gani au idara gani iii nipate kuchukua hatua za kisheria?
Ukiwa kama unayeona mpaka mambo yasiyoweza kuonekana kwa macho ya kibinadamu au kwa sisi watu ambao hatuna Mamlaka yoyote kwenye hii nchi. Kinachonisumbua ni kupata upinzani kila mahali, hata watu ambao wana nafasi za kunisaidia lakini bado sifanikishi? Nilienda mpaka NECTA kuhakiki lakini nilikuta upinzani na yule niliyemkuta sehemu ya ukaguzi wa vyeti ikaonesha alijua naenda kufanya nini pale na ananijua. Ninapambana kwa sababu ni haki yangu Chuo ada niliilipa kwa jasho langu mwenyewe hata kuijenga na kuitengeneza CV yangu ni jitihada zangu. Nimeomba msaada kwa ndugu zangu ambao wana nafasi ya kutoa amri mara moja tu lakini nao wanapuuzia. Halafu mtu ambaye hakusoma wala hakupata uzoefu wa kutengeneza wasifu anakula kupitia jina langu. Nikifanya interview kwenye ofisi zingine nafaulu vizuri usaili lakini kuitwa kuanza kazi hakuna. Mpaka nimeamua kufanya mambo yangu binafsi tu na Alhamdulillah nayamudu lakini kwanini nadhurumiwa haki yangu? Na kwanini sipati ushirikiano kutoka kwa Ndugu, marafiki au watu niliosoma nao ? NECTA ni pagumu na UTUMISHI nako ni vikwazo na nimejiapiza sikubali haki yangu ipotee hivi hivi. Ingawa kuna mazingira fulani ya kutishia usalama wangu nayaona au kuhisi hatari ya kufuatiliwa na watu wasiojulikana. Ushauri wako na mwongozo wako nauomba.
 
Back
Top Bottom