Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Mwami Atale umesema kuna njia za ndoto, Hisia , Telepathy na dhahiri
Hapa nina swali, Mfano njia hii ya ndoto tunaambiwa ndoto huweza tokana na mungu au shetani sasa utajuaje kua mlango huu wa ndoto ni upande wa mungu? kwaamana iblisi anaweza tumia mlango huu kukuhadaa.
Pili mlango wa hisia, Tunafundishwa kuwa kila mtu ana qareen wake na nguvu kubwa ya qareen ipo katika kushawishi kwa kufanya whispering, Vipi sasa mtu atatofautisha kuwa ndoto anazoota na hisia na hizo telepathy ni kweli ni darja kutokana na uchamungu wake na zimetoka kwa muumba na sio iblis?
Kwa kifupi tuwekee vigezo ili kutofautisha baina ya vinavyotokana na muumba na shayatwin.
Ila big up Sana.... Swali lako zuri mno🤝
Kiasi kwamba nilipolisoma kwa mara ya kwanza lilinishinda kabisa kulitolea maelezo yoyote... Imebidi nikae chini kufanya mind activation kidogo Kama dk 20
Ndo kupata vimaelezo kiasi, japo najua hayo maelezo n juu juu Sana kwa maswali ulouliza!!!
Dah hongera sana🔥
 
Salaam.
Samahani napenda kuuliza unavyofanya mawasiliano ni njia gani ?
ishara ,kwenye ndoto au kwa kuja kichwani.
Maana huwa wanasema jinn au hao viumbe hawatakiwi kuja kwenye ufahamu wako mwanadamu ..ni dhambi..hapo hapo wengine ni sawa ..
Mfano nina uwezo wa kuwasilian na jinn popote ninapokuwa nikihitaji na bila kupoteza ufahamu yaani kupitia nafsi..
ila wengine wanasema haitakiwi kidini.. so
naomba unisaidie ipi ni njia inayopaswa kuwasiliana nao..
Maana huwa naomba na kufanya Tahjud sometimes ..Kwa MwenyeziMungu kama si ni dhambi anisaidie kuondoa hii hali lkn cha kushangaza.
Nikiswali sana na kukaa mbali na maasi ndo nguvu zinaongezeka.
Kwakweli nastuck kipi ni kipi.
Msaada ndugu.
Kuwasiliana umejuaje na jeh waeza uliza kitu ukajibiwa au wakua wajiongelesha tuh mbona m sisadik asee mtu aniprovie kitu navihtaj sana hivo viumbe vnavyoona nsvyoona
 
Wakuu nipo page ya 61/221 mwanzo uzi ulkua very interesting nkajua nitajfunza jambo kulingana na ulimwengu but navoendelea kusoma naona promo sana uislamu kibao quaran ndio usiseme vip yaliyomo yamo? Mtu wamlik kiumbe chenye uwezo then maswar yakipuuz tuh ndio yenye majibu haman la maana hata moja ambalo n jipya watu wanalogwa hakuna uthibiti ila kuuliza sjui vnn nn upuuz upuuzi waliomalza kuna kitu mmejfunza kimewasaidia au ndio kusogeza days za sikuza uchaguz mana nishaboeka sasa kichwa very interesting wamilik kitu kzito then utumbo sjui simba sjui vnn ebu mnaomlk majin sjui viumbe gan mnazngua mostly mnjfavor kaeni navyo huko huko msilite kusaidia halaf mnajfavor tuh upuuz uliza elimu yakidunia ukiachilia kusali vitu gan mtu afanye avae au apande /ajiepushe kwake kujkinga asa daaha kwer kaz ipo huo uvhaw kukaa uchi sjui dunia sab hizo habar zipo sqna

Waliomlza naomba majibu kina mazur au n upuuz mashamba ya maburuk tuh yamejaa na kamba za mikonge
 
Mwenyew kuna wakati nilipitia changamoto hii...... Mawasiliano yapo aina tofaut tofaut kulingana na daraj yako!!
Mlango wa ndoto, hisia, telepathy na dhahiri

Sasa kufupisha taarifa hii kitu sio dhambi,,, maana mlango wa mawasiliano ya kiroho haupo kwa ajili ya kuwasiliana na majini
Ila ni njia ya kuwasiliana na ulimwengu wote wa kiroho ikiwemo
Mungu na malaaika..... Ila kwasasa unawasiliana na majinn kwasabb bado upo daraja hyo (ila ukiendelea kufanya ibada zaid utafikia level ya kimalaika n.k)

Maana ulimwengu umegawanyika makundi matatu
1.Aalamul shahad (huu ulimwengu unaoonekana)
2.Aalamul ghaib (ulisioonekana ila ukifanya jitihada unaweza kuuona)
3.Aalamul ghaib ghairul mushahad (huu ni ulimwengu usioonekana ambao Allah kauweka uwe Siri mpk siku ya mwisho)

Sasa huu ulimwengu wa pili yani ghaib ni mpana Sana na ili mtu aweze kuwa connect na ulimwengu huu anahitaji vifaa maalum ambavyo n natural au artificial

Mfano: bacteria wote wapo kweny ulimwengu usioonekana..... Ndo maan ukitaka kumuona utahitaj microscope

Majinn wapo kwenye ulimwengu usioonekana...
Hivyohvyo mambo ya roho, pepo, Moto, thawabu, laana, mikosi, upendo, chuki, protini, akili, n.k
Vyote hvyo vipo ulimwengu usioonekana

Sasa basi kuna mlango wa mawasiliano ambao humconnect mtu na ulimwengu usioonekana..... Ndo wewe umeweza kuufungua huu na huu hufunguka automatic yan ukifanya ibada Sana uwezo wa kuwasiliana na Viumbe wa kiroho huja wenyew upende usipende.... Hii ni kwann???
Majibu hapa n simple, mwanaadam toka kipindi anaumbwa uwezo huo alipewa ila sababu ya maasw huu uwezo hujifunga (jiulize n kwann mtoto mdogo huona vitu ambavyo watu wazima hawawez vitizama, kichanga kinaona mpk malaaika)

Nakurudisha kweny nadharia na kidini....
Mitume na manabii walitumia hizi milango za kiroho kuwasiliana na Mungu na malaaika wake
Mfano mzuri n nabii Mussa alipokuwa katikat ya majibizano na firaun (farao)
Alikuwa akipewa maelekezo nn afanye na nini aseme (hii ilifanyika bila mtu mwingine kujua kwahyo hapa nabii wa Mwenyez Mungu alitumia telepathy kuongea na Mungu yani walizungumza kupitia nafsi)

Sasa kingine cha kuongeza kdg n kuwa.... Unapozungumza na kiumbe cha kiroho kupitia nafs haimaanishi kipo kichwan kwako hapana jinn anaweza kaa pemben yako au hata kilomita 1000 na akakusemesha kupitia nafsi yako🤝🤝

Hii kitu sio dhambi ndivyo Mungu alivyomuumba mwanaadam... Ni moja kati ya uwezo wa mwanaadam ulojificha sana, na huu hufunguliwa na ibada pekee
Shukran kwa ufafanuzi..sometime ilikuwa inanipa mashaka sana ..pia uelewa wa watu wanaokuzunguka ..Ni kweli maana hata wao wananisisitiza kumcha Mungu ..na nijifunze elimu akhera sana etc..kuna muda hadi nikienda mahali chakula kibaya najulishwa..Pia kuna muda wananiambiq nikiendelea na ibada sana nitaona maajabu makubwa..
Anyway nilikuwa napata mashaka which is which japo kwa asilimia kubwa wamenipa muongozo binafsi.
Huu Uzi nilianza kusoma mwanzo .nikaacha page ya 2. ila huwezi amini niliambiwa niendelee kusoma nitajifunza vitu vingi sana.
by the way ktk watu waliokuwa hawaamini hivi vitu vinaexist nilikuwa mie. maana dini nilisoma kidogo. nikaendelea n elimu dunia..
ila now najitahid kiasi na nataka nirudi kusoma zaid Quran. hata one hour .tu
 
Shukran kwa ufafanuzi..sometime ilikuwa inanipa mashaka sana ..pia uelewa wa watu wanaokuzunguka ..Ni kweli maana hata wao wananisisitiza kumcha Mungu ..na nijifunze elimu akhera sana etc..kuna muda hadi nikienda mahali chakula kibaya najulishwa..Pia kuna muda wananiambiq nikiendelea na ibada sana nitaona maajabu makubwa..
Anyway nilikuwa napata mashaka which is which japo kwa asilimia kubwa wamenipa muongozo binafsi.
Huu Uzi nilianza kusoma mwanzo .nikaacha page ya 2. ila huwezi amini niliambiwa niendelee kusoma nitajifunza vitu vingi sana.
by the way ktk watu waliokuwa hawaamini hivi vitu vinaexist nilikuwa mie. maana dini nilisoma kidogo. nikaendelea n elimu dunia..
ila now najitahid kiasi na nataka nirudi kusoma zaid Quran. hata one hour .tu
Ooh nishafaham upo kwenye situation gani....ukipata muda utanitafuta tutaelekezana baadh ya vitu, naona we are on the same boat!!!
Waalim wako kuna kitu wanataka wakufundishe... Ila elim huja kwa aina tofaut tofaut, Kuna elim zipo mikonon mwa watu na zingine zipo mikonon mwao!!
Kutokuwa na circle ya watu Kama we karibu au kutokuwa na kiongoz wa kiroho mzuri ndo kinakutafuna kwasasa🤔🤔
Usishangae, mm mwenyew bado najifunza vilevile japo nimepiga hatua kidogo!!!
🚶🚶🚶
 
Ooh nishafaham upo kwenye situation gani....ukipata muda utanitafuta tutaelekezana baadh ya vitu, naona we are on the same boat!!!
Waalim wako kuna kitu wanataka wakufundishe... Ila elim huja kwa aina tofaut tofaut, Kuna elim zipo mikonon mwa watu na zingine zipo mikonon mwao!!
Kutokuwa na circle ya watu Kama we karibu au kutokuwa na kiongoz wa kiroho mzuri ndo kinakutafuna kwasasa🤔🤔
Usishangae, mm mwenyew bado najifunza vilevile japo nimepiga hatua kidogo!!!
Amiin InshaAllah.. Shukran maana elimu hii ukienda kwa wrong people unaweza kupotoka vibaya..na hupenda kuniambia nijitajid kutoa sadaka sana na kuMuomba Allah kwa iman ..
by the way huwa nikipata muda unaweza kuelekezwa hata mambo ya kidunia mf. biashara njia sahihi ya kufanya..
Nb..sio kukuletea pesa ..hapana muongozo na kuna Muda biashara ikiwa mbaya ..Wanakwambia Subra jifunze ..hakuna shortcut kuna muda unapata kuna muda unakosa ..
Anyway nitafurahi kwa elimu zaidi inshaAllah nitakutafuta
 
Shukran kwa ufafanuzi..sometime ilikuwa inanipa mashaka sana ..pia uelewa wa watu wanaokuzunguka ..Ni kweli maana hata wao wananisisitiza kumcha Mungu ..na nijifunze elimu akhera sana etc..kuna muda hadi nikienda mahali chakula kibaya najulishwa..Pia kuna muda wananiambiq nikiendelea na ibada sana nitaona maajabu makubwa..
Anyway nilikuwa napata mashaka which is which japo kwa asilimia kubwa wamenipa muongozo binafsi.
Huu Uzi nilianza kusoma mwanzo .nikaacha page ya 2. ila huwezi amini niliambiwa niendelee kusoma nitajifunza vitu vingi sana.
by the way ktk watu waliokuwa hawaamini hivi vitu vinaexist nilikuwa mie. maana dini nilisoma kidogo. nikaendelea n elimu dunia..
ila now najitahid kiasi na nataka nirudi kusoma zaid Quran. hata one hour .tu
Zintie Kuna njia kama tatu zimeelezwa za kuwasiliana na ulimwengu wa roho, Je wewe huwa wanawasiliana na wewe kwa njia gani?
 
Zintie Kuna njia kama tatu zimeelezwa za kuwasiliana na ulimwengu wa roho, Je wewe huwa wanawasiliana na wewe kwa njia gani
Mara nyingi Telepathy na hisia ..ndoto mara chache ..na dhahiri pia mara chache sana by the way huwa muoga sana so..
Bado nina mengi ya kujifunza Sana pia muda mwingi nakuwa busy na mambo ya biashara ..Unakuta hata wiki siwasilian nao.
labda mpaka iwe kuna dharura sana watanipa taarifa bila kuwaita.
 
Mara nyingi Telepathy na hisia ..ndoto mara chache ..na dhahiri pia mara chache sana by the way huwa muoga sana so..
Bado nina mengi ya kujifunza Sana pia muda mwingi nakuwa busy na mambo ya biashara ..Unakuta hata wiki siwasilian nao.
labda mpaka iwe kuna dharura sana watanipa taarifa bila kuwaita.
unavyosema kwa dhahiri maana yake anakuja kabisa jini unamuona akiwa katika umbo gani?
 
unavyosema kwa dhahiri maana yake anakuja kabisa jini unamuona akiwa katika umbo gani?
Kama binadaamu ila hapo unakuta muda ulishaenda mfano..mchana nimepita mahali restaurant..pembeni alikaa mtu yuko hivi na hivi ..so jioni ndo huniambia ..kwa maana dhahiri n kwa kuona sio kuongea direct kuwa mie n flan..
Kama nilivyosema huwa bado mwoga kuhimili mambo haya ..
 
Kama binadaamu ila hapo unakuta muda ulishaenda mfano..mchana nimepita mahali restaurant..pembeni alikaa mtu yuko hivi na hivi ..so jioni ndo huniambia ..kwa maana dhahiri n kwa kuona sio kuongea direct kuwa mie n flan..
Kama nilivyosema huwa bado mwoga kuhimili mambo haya ..
nimekuelewa. kuna comment nimeona Mwami Atale amesema umtafute jaribu kumcheck huenda akakupa ABC...
Kila la kheri.
 
nimekuelewa. kuna comment nimeona Mwami Atale amesema umtafute jaribu kumcheck huenda akakupa ABC...
Kila la kheri.
Asante .ndo hivyo najaribu kujua au kupata usahihi zaidi wa haya Mambo. Especially kuwa against na MwenyeziMungu.
Japo muongozo mingi na very positive na kukujenga zaid kwa MwenyeziMungu
Allah anajua zaidi .
 
Hakuna mahusiano Kati ya mwanadamu na majini.
Hayo ni mashetani yanawadanganya.

Muombeni Mungu awalinde na hao mnaowaita majini.

Maana naona mnawapa promo Wakati mnapotosha. Acheni kupotosha. Muombeni Mungu awape rehema na sio majini.
Ahsante
 
Nimerudi tena kuchungulia kwenye hii thread baada ya kupotea kwa muda.

Msimu wa kamba ulipotea ukaja msimu wa kahawa.......sahv kuna nini jaman kabla sijaanza kusoma?
 
Swali zuri sana hilo. naamini wengi hawatokuelewa.

Mimi binafsi niliandika jana atuongezee nyama kuhusu hiyo dunia ya "Ramadiyin". Nimeona alichojibu, ni kama nisome, nimepitia alichoambiwa akispome nimekikuta mtandaoni, ni kitabu cha imani za Kihindu cha zamani sana, kweli nikakugta "Rama" bado napitia, nimeona kuwa huyo Rama ni kiumbe kutoka nje na walikuja na mashine yao "UFO". bado nasoma, niseme ni "interesting" - theboss.

Nahisi kama kuna "coce" fulani inafunguka kwa maana ya majina na si lazima jina lote kamili. Hii wwanatumia sana Waarabu, Wayahudi na sasa nimefahamu Wahindu pia wanayo hiyo, tena wao wanaenda mbali zaidi mpaka kutumia herufi moja moja ya kwenye jina kumaaanisha vitu vingi kwa pamoja.

Naendelea kubukuwa.

cc; Corazon Espinado
Kitabu Kipi Hicho
 
Nilivyoelewa mimi kuwa Yesu siyo jina lake kabisa. bado naendelea kutafuta wakristo wamelitowa wapi jina Yesu? kwa karibu kabisa nimepata ni wagiriki na wayunani ndiyo walimuita Yesu, siyo Wayahudi na Waarabu.

Sema nimeanza kufahamu kuwa Yesu siyo Myahudi, kwa sababu nimeona kuwa mama yake ni mtu kutoka Misri na wayahudi wanafata asili na ukoo kutokea kwa mama. Wakristo wanaamini hana baba, Waislam wenfi wanaamini hana baba. mimi binafsi naamini anaye baba mzazi, code zake zinafunguliwa na Qur'an.

Hii mada nzito sana kuliko tunavyoiona kijuujuu, sijawaahi kuona mada, hapa JF, iliyonifanya nibukuwe kwa haraka haraka kama hii. Nimepata ma 'reference" kibao ya kuchimbuwa, nimepata kipya humu cha "Meritaton.".

Duh! hivi kuna ma reference kibao kila mmoja kaandika chakae kuhusu Meritaton, cha ajabu, bibilia haijaandika sana kuhusu mama yake Yesu, Qur'an imeandika sana kuhusu Mariam, na mleta mada katupa jipya kabisa kutokea kwa "Arsis".

Nayamani sana nimjuwe huyo "Arsis" n nani? naanza kuwaza isje kuwa "Khidr" kwenye maandiko ya Kiislam.

cc' Corazon Espinado
Nakubaliana na wewe Huenda Arsis ni Khidr maana anafichua Vitu vinavyifanya Mtu uchimbe Kusoma Refference nyingi..

Huu uzi nilikuwa Sijauona Kuanzia Juzi ndo nimeanza Kuukalia Koo..
 
Ahsante mkuu Faiza.
But...
Msingi wa imani yetu ya kikristo ni Kristo (Yesu) mwenyewe. Na imani hii chanzo au msingi wake ni Neno la Kristo au maandiko ya Biblia.

Na Biblia yenyewe inakiri wazi kuwa kuna mambo meengi sana ambayo hayakuwekwe kwenye Bible maana isingelitosha. Ni mengi mnoo. Probably ndio hayo maandiko na vijitabu vingine mnavyohangaika kusoma na kutafuta tafuta elimu kuvihusu.

But as a matter of fact kwamba Bible was written under INSPIRATION of God (kama ambavyo inasemekana kuwa Q'uran ilishushwa), tuna kila sababu ya kuwa na uhakika kwamba yale yaliowekwa ndani yake (Bible) ndio hasa yalikusudiwa kama Fundisho Mungu alilenga kusema nasi (tunaomuamini kupitia Kristo Yesu).

NA kwasababu hii (hapo jjuu), katika theology (right one) , tuna jenga doctrine upon what was WRITTEN of the old and new testament alone na si nje ya hapo. Doctrine yetu haijengwi juu ya kile ambacho biblia haisemi /haijakijumuisha kwenye vitabu vyake..

Kwahiyo bas, maadam, Biblia imetamka Jina Yesu, ina maana jina lake ni Yesu.

Habar za translation hizo ni vitu obvious kabisaa.

Unapozungumzia kigiriki ,ni kwasababu hii.

Biblia iliandika katika lugha 3 lakin lugha 2 kubwa zaid ndio zime dominate.
Agano la kale limetumia Kiebrania na hiyo ulioitaja wewe kwa kiasi.

Wakat agano jipya limeandikwa kwa Kigiriki kama oringinal language..

All other translation kuja kingereza mpaka kiswahili, tafsiri yake inatoka kwenye original manual script ya lugha hizo 3 hasa kiebrania na kigiriki.

Kwahiyo Yesu ni tranlation ya jina toka huko whatevet was used to Address Jesus, He still is the same and the name is just the same Powerful name.
Kama Unafahamu elimu Ya Misamiati..
Inasema Si Ruksa Jina Kutafsiriwa Kwenye Kutafsiri Chochote..

Na Ndo Maana mtu akiitwa John Uingereza Hatumiti Yohana Tanzania..
Au Ikitokea Ukiitwa Zawadi Tanzania Wazungu hawawezi kukutasiri na Kukuita Gifts..

Jina halina Tafsiri Hiyo ni kanuni ya Ukalimani na Ufasiri wa Doccuments
 
Nakubaliana na wewe Huenda Arsis ni Khidr maana anafichua Vitu vinavyifanya Mtu uchimbe Kusoma Refference nyingi..

Huu uzi nilikuwa Sijauona Kuanzia Juzi ndo nimeanza Kuukalia Koo..
Hii haiwezi kuwa kweli mkuu..... Khidr ni mja mwema wa Mungu level ya kinabii yupo daraj ya juu sana, hawezi kufungwa kwenye chupa kama tulivyopata background ya Arsis kwa uchache!!
Khidr hutumwa na Mungu kwa mtu mara moja kufikisha utukufu wa Mungu na baadae huenda zake... Haya ya Khidr kukaa na mtu unamuita ukitaka umeyasikia wapi🤔

Ni kweli inafikirisha lakini Arsis kwa machapisho yake hapa uwwzekano wa kumuweka kundi la majinn n 60%
 
Back
Top Bottom