Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kwa Hatua Nyingine Haiwezekani..
KWa sababu utakuwa Umepitia Mengi na Makubwa Ambayo lazima Utakuwa na Majibu mengi sana Kuhusu Ulimwengu hivyo ni vigumu sana..

Lets Assume ni kama Elimu ya Shule..
Umeanza Kusoma Kuanzia Darasa La Kwanza La Pili mpaka Darasa la 7..

Kumbuka Ukifail darasa la Kwanza Utarudia darasa la kwanza mpaka Ambapo utakapofaulu na Kwenda Darasa la pili..
Ikitokea Ukaona Hakuna Faida ya Kusoma kwa sababu kila mara Unafeli utachukia Shule na Kuona Ni kupoteza Muda na Kwakuwa umeshuhudia baadhi ya Siri za kusoma Utaona Pia usomi ni Ujinga kwa Sababu wanatumia Nguvu nyingi wakati unaweza ukapita Shortcut na Ukapata Mapesa..

Imagine Umekwisha Pita Darasa la kwanza Na la pili na La tatu na Unajua Kuandika na kusoma Vizuri vipi unaweza hata Ukiacha Shule bado utakuwa unajua Umuhimu wa Shule kwani Tayari Unajua Kusoma Na kuandika kwahyo huwezi kutukana shule ila Utaona Umuhimu wa Shule na Utajilaumu kwa Kushindwa Kufatilia shule..

Nadhani kwa mfano huo Umenielewa??
Nina swali ndugu yangu .... Hivi kuongea ongea sana inaathari gani kwenye maswala ya kiroho?!

Maana huwa naona siku mtu ukipiga porojo sana n kama Kuna kitu unapoteza (tofaut na ukiwa kimya zaid
 
Sasa Nachotaka Ufute mawazo yote uliyowahi Kuambiwa na Dini Kuhusu Haya makanisa..

Kila Siku huwa Namwambia hata Mchungaji wa Jf Rabboni Kuwa biblia Imesukwa na Kuandikwa Kwa Codes nyingi sana..

Nitaanza Kanisa Moja Moja Mpaka Mwisho..

Tuanze na Kanisa La Efeso UFUNUO 2:1:-

Cha Kwanza Kabisa Ujumbe Huu wengi wanaamini kabisa Uliandikwa Kwa Malaika Wa makanisa fulani kama Efeso na Mengineyo..

Lakini hebu Tuangalie Maana Ya maneno Yaliyotumika..
Kwakuwa Mwandishi wa Ufunuo Kiasili aliandika kwa Lugha ya Kiyunani(kigiriki) tutaanza kwa Kucheza Humo Ili Tulainishe maana Kabla ya Kuanza Kuichambua Vizuri..

Ufunuo 2:1..

Τῷ ἀγγέλῳ τῆς ἐκκλησίας ἐν Ἐφέσῳ γράψον· Τάδε λέγει ὁ κρατῶν τοὺς ἑπτὰ ἀστέρας ἐν τῇ δεξιᾷ αὐτοῦ, ὁ περιπατῶν ἐν μέσῳ τῶν ἑπτὰ λυχνιῶν τῶν χρυσῶν·

WAnaitamka Hivi...

angélōs tēs ekklēsí en Ephesō grápson: Tade légei ho kratōn tous heptá astéras en tē dexiá autou, ho peripatōn en mésō tōn heptá lychniōn tōn chrysōn.

Tafsiri yake kwa Lugha ya Malkia (lugha ya mayai):

"To the angel of the church in Ephesus write: 'These are the words of Him who holds the seven stars in His right hand and walks among the seven golden lampstands

Neno ἀγγέλῳ (Angelos) kwa Kigiriki lilitafasiriwa Kama Mjumbe Mpaka ilipofika karne ya 4 Baada ya Kuenea Kwa Ukristo walipoamua Kuwa Litafasiriwe kama malaika kwa sababu nao ni Wajumbe wa Mungu..


Ila Neno Hilo Asili yake ni Mjumbe So Badilisha Hiyo neno Malaika Weka Neno Mjumbe au Mpeleka Taarifa..

Neno ἐκκλησίας (ekklēsías) ambalo limetafasiriwa kama Kanisa ni neno la Kigiriki ambalo Linamaanisha Mkusanyo au Mkusanyiko au Mjumuisho au Kutaniko.. na Wala si lazima Liwe katika Muktadha wa Dini...

(Unaweza Ukayahakiki maneno kwa Sehemu Yoyote Ukitaka.)

Sasa Tufanye Mabadilko Kwenye Neno Kanisa Tuweke Mjumuiko au Mkutano au Kutaniko na kwenye Malaika tuweke Mjumbe..

Ufunuo wa Yohana 2:1


"Kwa mjumbe (Mtoa taarifa) wa Kutaniko (Jumuiko) la Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu."

Na hiyo Ndiyo Ilipaswa Kusomeka Hivyo kwa Kiswahili..

Kufika Hapo Nadhani Umenielewa Sasa Twende kwe ye Nyota saba na Vinara saba..

Unafahamu Chochote Kuhusu Menorah?
Iliyokuwa Inakaa Kwenye Hekalu la Mungu Yerusalem na Kwenye Tabernacle ?
Ilikuwaje?

Hii Hapa Chini..
View attachment 3169285

Sasa Biblia inapozungumzia Vinara vya dhahabu inamaanisha Menorah nadhani umeshawahi kuiona Sana hii..

Chimbuko Lake..

Kutoka 25:37-38

"Nawe zifanye taa zake saba; nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.
Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi."

Kwenye Quran Pia Unaweza Ukasoma Kwenye

Surah An-Naba aya 12

وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًۭا شِدَادًۭا
وَجَعَلْنَا سِرَاجًۭا وَهَّاجًۭا

Inatamkwa Hivi..

Wabanayna fawqakum sabAAan shidadan
WajaAAalna sirajan wahhajan

Maana Yake..

Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?

Na tukajalia kati yake Mianga

Umeona hata kwenye Quran?

Kwahyo Kumbe Kwenye Hivyo vinara Vilivyojengwa Kuna Mianga 7...

Sasa Lets see What is These 7 lamp au Menorah?

Unafahamu Chochote Kuhusu Chakrah 7 za Mwili wa Binadamu kiroho?

Ziko Chakra 7 Ambazo ndo Muongozo wa Ukuaji Kiroho kuanzia Chakra ya Chini kabisa Root chakra mpaka Chakra ya Juu Crown chakra..

Crown chakra Au Chakra ya Taji ni chakra ambayo humuunganisha Moja kwa Moja Muhusika na Nguvu ya Juu sana ya Kiroho unaweza Ukaita Mungu au Vyovyote utakavyoita..

Hujawahi Kusikia Watu wakiimba..

🎶Tukimaliza Kazi tutavalishwa Taji🎵

Wengi Huwa wanaimba wakifikiri kuna Siku watakuja Kuvalishwa Taji kama Ya Kifalme..
Hiyo inamaanisha Ukivumilia Katika Kiroho mpaka Mwisho utafika Kwenye Crown Chakra..

Sasa twendelee..

View attachment 3169340

Sasa Upi Uhusiano Huu na Fungu la Ufunuo 2 mpaka 3..
Au Makanisa hayo..

Tuanze na Tabia za Mtu aliyefungua Chakra ya kwanza au root chakra..
Tuanze na maana Yake kama Ilivyoandikwa Hapo "I AM"
Moja..

Sasa Mara Nyingi Mtu anapofungua ama Kuanza kupata Uelewa Kuhusu Mambo ya Kiroho na akaanza Kupractise..
Hufungua kwanza Root chakra (mlango wa Elimu na Maarifa)..

Na baadhi Huishia Kwenye Imbalance Power of The Chakrah..
Wanajikuta Chakra haijabalance..

Na Imbalance Root chakra husababisha..

Insecurity feelings, anxiety, fear, lack of trust. Trouble concentrating and deciding, being isolated from one's self as well as others..

sasa Hii ndo sababu Ikaja Maelezo ya Kuhusu Makutano au Majumuiko yote ya Watu wa Root chakra Yaani mtoa taatifa kuwaeleza Kitakachowakuta na maelezo yao..

turejee Maana Yetu sasa ya Kutoka kwenye Ufunuo tulivyoiweka Vizuri..


Ufunuo wa Yohana 2:1

"Kwa mjumbe (Mtoa taarifa) wa Kutaniko (Jumuiko) la Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu."

sasa Naona baada ya Kukuelezea Hapo Umeweza Kuona utofauti wa fungu Hilo kabla ya Kueleza Na baada ya Kueleza..

View attachment 3169358

Sasa Twende Ndani..
Mpaka Ufike Kufungua Root chakra huwa Ni strugle na uvumilivu wa Kutosha na Ukiifungua Utapata elimu na Maarifa na Unaweza Kupewa Gift ya Utambuzi..

Na ndo maana Ya verse ya Pili na kama Umeona Hiyo ndo Imbalance ya Toot chakra kama Nilivyokuelezea Kabla..

Sasa onyo umeliona?
"Umeuacha Upendo wako wa Kwanza"

Unajua maana Yake ni Kila mtu anayefungua Root chakra Ugundua kuwa Mafundisho ya Kidini yanafundishwa Tofauti na jinsi anavyoyachambua Yeye na Hugundua Uongo mwingi wa Wachungaji na hao wanaojiita Watu wa Mungu.

Shida Inakuja wanaofungua Wao Kujiona ni bora Kuliko wote na ndo maana Ya rootchakra Umeona Imeandikwa "I AM"..

Kwahyo Baada ya Kujua Ukweli na Kuingia Ulimwengu wa Kiroho Hujiona Ni bora na Huanza Kuwasema Vbaya wale wasioweza Kuwa ndani ya Ukweli alionao..

Na Huanza kujenga Chuki Kwa watu ambao Zamani aliwaheshimu na Kuwajali kama wachungaji na Masheikh Na hata wafia Dini wengine..

Na ndo maana Ukienda Fungu la Tano la Sura hiyo hiyo Anaamrishwa Kurudia matendo ya kwanza..

Ufunuo wa Yohana 2:5..

"Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu."

maana Yake Yale matendo yake anayofanya Hayafai anatakuwa abalance Kuujua Ukweli sio chanzo cha kuwaona wasio Jua hawana maana..Na ndo maana Anasema naja kwako na Nitakiondoa Kinara chako..

Na watu wasiotii kurudi kwenye Upendo wa Awali kuwaona walio Katika Imani zingine hawako sawa na wao na Kuendeleza Umimi Au ego!

Hunyang'anywa Uwezo w Kiroho na Maarifa hivyo huelekea Katika Kutokuwa na Imani kabisa..

Na hao ndo Huwa Wanakuwa wapinga Mungu (Atheists)
Kwa sababu ya Kungolewa Vinara vyao...

Sasa sijui kama Umenielewa?

Kama Una swali Kuhusu Kanisa La.kwanza Uliza
Wewe ni Gnostic?
 
Watu wengi sana humu huwa hawamalizi visa vyao humu
Ujuaji wa baadhi ya member, husababisha watu waache kumalizia visa vyao.

Imagine mtu kwa mapenzi yake, kaamua kupoteza mda wake kushare maarifa, ili wengine wajifunze, alafu watu wajinga wajinga wanareply upuuzi as if wanamlipa.

Binafsi, nilitaka kushare baadhi ya vitabu nilivyosoma maktaba za kiroho, kama kupima DNA kwa njia ya namba bt kwa hali hii ni ngumu.

watu wanapaswa itumia mitandao kama platform ya kujifunza & kushare maarifa, na si kutukana na kuleta ujuaji usio na tija.
 
Akijibu Nistue Niachie kuongea hovyo
Hii kitu Thecoder kaiongelea kwenye uzi wake wa hatma. Kuwa kuna watu wana asili ya nguvu hasi kundi hili ndo wale roho mbaya nk

Ukikutana na mtu wa hivi ukaanza kumsimulia simulia mambo yako lazma tu yavurugike.
Hii kitu ina ukweli 100% ukiwa na mipango yako ukaisimulia simulia haifanikiwi aseee ila ukiifanya kimya kimya mambo ni bam bam
 
Ujuaji wa baadhi ya member, husababisha watu waache kumalizia visa vyao.

Imagine mtu kwa mapenzi yake, kaamua kupoteza mda wake kushare maarifa, ili wengine wajifunze, alafu watu wajinga wajinga wanareply upuuzi as if wanamlipa.

Binafsi, nilitaka kushare baadhi ya vitabu nilivyosoma maktaba za kiroho, kama kupima DNA kwa njia ya namba bt kwa hali hii ni ngumu.

watu wanapaswa itumia mitandao kama platform ya kujifunza & kushare maarifa, na si kutukana na kuleta ujuaji usio na tija.
Mkuu Uko Sahihi Kabisa lakini Ukumbuke Wapo Watu Hadi Dakika hii Wanamkosoa Mungu wameenda mbali Zaidi Hadi kumtukana. Mimi na Wewe ni nani? Mawazo yangu Nafikiri kama mtu anakitu chake Asiache Kushare humu Watu Wapate mwanga!! Kwasababu ya Watu Wachache Wajuaji wa Kila kitu". #Toa Elimu Jamii ijifunze Kupitia wewe kwa ajili Ya Future generation.
 
Ujuaji wa baadhi ya member, husababisha watu waache kumalizia visa vyao.

Imagine mtu kwa mapenzi yake, kaamua kupoteza mda wake kushare maarifa, ili wengine wajifunze, alafu watu wajinga wajinga wanareply upuuzi as if wanamlipa.

Binafsi, nilitaka kushare baadhi ya vitabu nilivyosoma maktaba za kiroho, kama kupima DNA kwa njia ya namba bt kwa hali hii ni ngumu.

watu wanapaswa itumia mitandao kama platform ya kujifunza & kushare maarifa, na si kutukana na kuleta ujuaji usio na tija.
Huna nia ya kusaidia mkuu, hata Melo angekua na mindset kama yako hii reply yako leo isingekuwepo.

Punguza ego na share unachokifahamu, kama huwezi kupuuza -ve comments za waja basi hivyo vitabu havijakusaidia bado.

Nadhani Arsis ni muda tu anakosa, DR Mambo Jambo nae mambo mengi na sio kua wanakwamishwa na comments za waja.
 
Kwanza Kabisa Tunatakiwa Kujua Willpower Ni nini?

Willpower ni uwezo wa mtu kudhibiti matamanio, tabia, au hisia zake ili kufanikisha malengo ya muda mrefu au kufanya maamuzi sahihi.

Ni aina ya nguvu ya ndani (Sio Nguvu ya Nje) inayokuwezesha kupinga vishawishi au kuvumilia changamoto kwa ajili ya kufanikisha jambo muhimu zaidi.

Kwa lugha rahisi (Ya kimjini mjini) willpower ni uwezo wa kusema “hapana” kwa kile kinachokuvutia lakini hakina faida, au “ndiyo” kwa kile kinachohitaji juhudi kubwa lakini kina manufaa ya muda mrefu.

Hapo sijui Umenielewa?

Sasa lets Say mimi Nimeona Pesa Imeangushwa Na Mtu Njiani Kiasi cha Tsh 10Milion, Japo Ninao uwezo wa Kuichukua Hiyo Pesa na Nikaitumia Kwa Manufaa yangu binafsi kwa sababu hakuna anayeniona Wala kunizuia Ila Nikaamua Kutokuichukua Bali kuikota na Kumuita Mtu aliyeangusha hiyo Pesa na Kumpatia..

Kumbuka Hapo Willpower Yangu Imekuwa Kubwa Na Kunionyesha Kuwa mimi Ni mkubwa Kuliko Hiyo 10 Milion Japo Huenda Hata Sina 2000 Mfukuni ila Nimeona Kuchukua Pesa Ya Mtu ambayo sijaifanyia Kazi haina faida kwangu...

Sasa Twende How Willpower Inakuwa Abused au Missused..

Kuna antagonists ya willpower ambayo Huwa ni Ego..
Ego mara Nyingi huwa inaibuka sana kwa Kifupo ni kale ka Ubinasi ambako Moyo unakuwa nako kujiona una thamani sana Kushinda wengine hivyo kupelekea Kuabuse Willpower kwa kuelekeza Udhibiti wa Tabia na Matamanio kwenye Viti ambavyo hazina Msingi wa wewe Kukua Kiroho..

kwa mfano kuna Misingi ili ukue Kiroho unahitaji Kuifata ila Ego inakushawishi na Kukuambia Usifata mambo usiyoyajua na Mwisho wa Siku jipende wewe Maana Wote tutaingia Kaburini..

ego itakufanya Upende Material World na Mwisho wa siku utakuwa una Missuse Willpower Basi utatumia Energy Zenye Frequency ya Chini sana ambazo zitakupelekea Kwenye Lust, Greed, Gluttony, Envy,Wrath na zingine nyingj kama sad na vyote vile..

Uliza Mtu yoyote ambaye anajua Elimu ya Majini (Tukiacha hij Ya kiroho) atakuambia Hili kwamba Hizi ni Negative Energy kama Una willpower Kubwa huweiz kupata Uoga wala hasira kwa sababu unaamini kila kitu kina sababu..

hivyo haata kudhuriwa na Majini ni Vigumu sana Kuliko yule ambaye ameshamisuse willpower..

jini Hamuingii Mtu mpaka amtie kwanza Uoga Au Huzuni..

Japo willpower au Kushindwa Kuzuia Matumizi mabaya Ya willpower na Mtu kuingiwa na Tamaa Huwaza Kutokea Kwenye stage yoyote ya Kiroho au Level yoyote ila mara Nyingi..

huwatokea Wale wanaoanza Kuingia kwenye Kukua Kiroho..

Kwa Mfano Kama wwe Ni mkristo Utakuwa Unajua yale makanisa Saba yale sio makanisa Insuch ile ni stage za Kiroho na Willpower zake na Ushauri kuhusu Kutokuanguka na Kipi hasa Kitakuangusha kwa Kila stages..
Kama Unajua Kuhusu Hilo Nitaliacha ila Ukitaka Nielezeee Kuhusu Makanisa Saba na stages za Kukua Kiroho nitaeleza pia


Nataka Tudiscuss Static Electricity kama Unaikumbuka kwanza..
Unaikumbuka??

Kwamba nikisugua Kutana Kichwani kwangu Kitana Kinaanza Kusimamisha nywele au vipande vya Karatasi..

Au Nikisugua Puto halafu Nikaliweka Kichwani Kwenye Nywele litavuta Nywele Zangu kwa kuzinyanyua kidogo..

Sijui kama Unanielewa?

Sasa kama Unakumbuka ni kwamba Static Electricity Ni Umeme ambao Hautokei kukiwa na Charges zinazofanana lazima Charges moja Iwe negative na Positive..

So Mwili wa Jini una Charges..Due to High vibratory frequency Waliyonayo wenzetu..

Rejea Coulomb's Law of the force between two charged from the objects. "It states that the force between two point charges is directly proportional to the product of the magnitudes of the charges and inversely proportional to the square of the distance between them"

so Kutumia Hiyo Coulumbs Tunasema..

The direction of the force depends on the nature of the charges:

  • If both charges are of the same sign (either both positive or both negative), the force is repulsive.
  • If the charges are of opposite signs, the force is attractive.
Nafikiri Kidogo umeanza Kupata Picha..

Sasa ule Msisimko Ndo Huwa Atraction Force inayotokea Between wewe na Negative energy iliyopo maeneo hayo na ndo maana Baadhi ya Viungo husimama kama Nywele Etc..

Ila kama Una Negative energy basi huwezi hata Siku moja Kusisimka Kama Umekaa na Negative energy mwenzako..

Zaidi uta Repulse...

Kama Unaswali.Unaweza Kuongeza Nimeandika Haraka haraka Nilikuwa na shughuli nafanya Natamani uulize maswali kama Utaweza
Nimeipenda hii

Huu uzi sometime hauleti status ndio maana hatujui kinachoendelea,yan leo nimeukumbuka tu nikautafuta

Doktori nakupenda kwa ajili ya Allah una tuvituvitu vitamu sana boss
 
Nimeipenda hii

Huu uzi sometime hauleti status ndio maana hatujui kinachoendelea,yan leo nimeukumbuka tu nikautafuta

Doktori nakupenda kwa ajili ya Allah una tuvituvitu vitamu sana boss
Uwe unachungulia chungulia ndugu.
Huu uzi mwenyewe kuna muda sipati notification kabisa
 
Sasa Nachotaka Ufute mawazo yote uliyowahi Kuambiwa na Dini Kuhusu Haya makanisa..

Kila Siku huwa Namwambia hata Mchungaji wa Jf Rabboni Kuwa biblia Imesukwa na Kuandikwa Kwa Codes nyingi sana..

Nitaanza Kanisa Moja Moja Mpaka Mwisho..

Tuanze na Kanisa La Efeso UFUNUO 2:1:-

Cha Kwanza Kabisa Ujumbe Huu wengi wanaamini kabisa Uliandikwa Kwa Malaika Wa makanisa fulani kama Efeso na Mengineyo..

Lakini hebu Tuangalie Maana Ya maneno Yaliyotumika..
Kwakuwa Mwandishi wa Ufunuo Kiasili aliandika kwa Lugha ya Kiyunani(kigiriki) tutaanza kwa Kucheza Humo Ili Tulainishe maana Kabla ya Kuanza Kuichambua Vizuri..

Ufunuo 2:1..

Τῷ ἀγγέλῳ τῆς ἐκκλησίας ἐν Ἐφέσῳ γράψον· Τάδε λέγει ὁ κρατῶν τοὺς ἑπτὰ ἀστέρας ἐν τῇ δεξιᾷ αὐτοῦ, ὁ περιπατῶν ἐν μέσῳ τῶν ἑπτὰ λυχνιῶν τῶν χρυσῶν·

WAnaitamka Hivi...

angélōs tēs ekklēsí en Ephesō grápson: Tade légei ho kratōn tous heptá astéras en tē dexiá autou, ho peripatōn en mésō tōn heptá lychniōn tōn chrysōn.

Tafsiri yake kwa Lugha ya Malkia (lugha ya mayai):

"To the angel of the church in Ephesus write: 'These are the words of Him who holds the seven stars in His right hand and walks among the seven golden lampstands

Neno ἀγγέλῳ (Angelos) kwa Kigiriki lilitafasiriwa Kama Mjumbe Mpaka ilipofika karne ya 4 Baada ya Kuenea Kwa Ukristo walipoamua Kuwa Litafasiriwe kama malaika kwa sababu nao ni Wajumbe wa Mungu..


Ila Neno Hilo Asili yake ni Mjumbe So Badilisha Hiyo neno Malaika Weka Neno Mjumbe au Mpeleka Taarifa..

Neno ἐκκλησίας (ekklēsías) ambalo limetafasiriwa kama Kanisa ni neno la Kigiriki ambalo Linamaanisha Mkusanyo au Mkusanyiko au Mjumuisho au Kutaniko.. na Wala si lazima Liwe katika Muktadha wa Dini...

(Unaweza Ukayahakiki maneno kwa Sehemu Yoyote Ukitaka.)

Sasa Tufanye Mabadilko Kwenye Neno Kanisa Tuweke Mjumuiko au Mkutano au Kutaniko na kwenye Malaika tuweke Mjumbe..

Ufunuo wa Yohana 2:1


"Kwa mjumbe (Mtoa taarifa) wa Kutaniko (Jumuiko) la Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu."

Na hiyo Ndiyo Ilipaswa Kusomeka Hivyo kwa Kiswahili..

Kufika Hapo Nadhani Umenielewa Sasa Twende kwe ye Nyota saba na Vinara saba..

Unafahamu Chochote Kuhusu Menorah?
Iliyokuwa Inakaa Kwenye Hekalu la Mungu Yerusalem na Kwenye Tabernacle ?
Ilikuwaje?

Hii Hapa Chini..
View attachment 3169285

Sasa Biblia inapozungumzia Vinara vya dhahabu inamaanisha Menorah nadhani umeshawahi kuiona Sana hii..

Chimbuko Lake..

Kutoka 25:37-38

"Nawe zifanye taa zake saba; nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.
Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi."

Kwenye Quran Pia Unaweza Ukasoma Kwenye

Surah An-Naba aya 12

وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًۭا شِدَادًۭا
وَجَعَلْنَا سِرَاجًۭا وَهَّاجًۭا

Inatamkwa Hivi..

Wabanayna fawqakum sabAAan shidadan
WajaAAalna sirajan wahhajan

Maana Yake..

Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?

Na tukajalia kati yake Mianga

Umeona hata kwenye Quran?

Kwahyo Kumbe Kwenye Hivyo vinara Vilivyojengwa Kuna Mianga 7...

Sasa Lets see What is These 7 lamp au Menorah?

Unafahamu Chochote Kuhusu Chakrah 7 za Mwili wa Binadamu kiroho?

Ziko Chakra 7 Ambazo ndo Muongozo wa Ukuaji Kiroho kuanzia Chakra ya Chini kabisa Root chakra mpaka Chakra ya Juu Crown chakra..

Crown chakra Au Chakra ya Taji ni chakra ambayo humuunganisha Moja kwa Moja Muhusika na Nguvu ya Juu sana ya Kiroho unaweza Ukaita Mungu au Vyovyote utakavyoita..

Hujawahi Kusikia Watu wakiimba..

🎶Tukimaliza Kazi tutavalishwa Taji🎵

Wengi Huwa wanaimba wakifikiri kuna Siku watakuja Kuvalishwa Taji kama Ya Kifalme..
Hiyo inamaanisha Ukivumilia Katika Kiroho mpaka Mwisho utafika Kwenye Crown Chakra..

Sasa twendelee..

View attachment 3169340

Sasa Upi Uhusiano Huu na Fungu la Ufunuo 2 mpaka 3..
Au Makanisa hayo..

Tuanze na Tabia za Mtu aliyefungua Chakra ya kwanza au root chakra..
Tuanze na maana Yake kama Ilivyoandikwa Hapo "I AM"
Moja..

Sasa Mara Nyingi Mtu anapofungua ama Kuanza kupata Uelewa Kuhusu Mambo ya Kiroho na akaanza Kupractise..
Hufungua kwanza Root chakra (mlango wa Elimu na Maarifa)..

Na baadhi Huishia Kwenye Imbalance Power of The Chakrah..
Wanajikuta Chakra haijabalance..

Na Imbalance Root chakra husababisha..

Insecurity feelings, anxiety, fear, lack of trust. Trouble concentrating and deciding, being isolated from one's self as well as others..

sasa Hii ndo sababu Ikaja Maelezo ya Kuhusu Makutano au Majumuiko yote ya Watu wa Root chakra Yaani mtoa taatifa kuwaeleza Kitakachowakuta na maelezo yao..

turejee Maana Yetu sasa ya Kutoka kwenye Ufunuo tulivyoiweka Vizuri..


Ufunuo wa Yohana 2:1

"Kwa mjumbe (Mtoa taarifa) wa Kutaniko (Jumuiko) la Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu."

sasa Naona baada ya Kukuelezea Hapo Umeweza Kuona utofauti wa fungu Hilo kabla ya Kueleza Na baada ya Kueleza..

View attachment 3169358

Sasa Twende Ndani..
Mpaka Ufike Kufungua Root chakra huwa Ni strugle na uvumilivu wa Kutosha na Ukiifungua Utapata elimu na Maarifa na Unaweza Kupewa Gift ya Utambuzi..

Na ndo maana Ya verse ya Pili na kama Umeona Hiyo ndo Imbalance ya Toot chakra kama Nilivyokuelezea Kabla..

Sasa onyo umeliona?
"Umeuacha Upendo wako wa Kwanza"

Unajua maana Yake ni Kila mtu anayefungua Root chakra Ugundua kuwa Mafundisho ya Kidini yanafundishwa Tofauti na jinsi anavyoyachambua Yeye na Hugundua Uongo mwingi wa Wachungaji na hao wanaojiita Watu wa Mungu.

Shida Inakuja wanaofungua Wao Kujiona ni bora Kuliko wote na ndo maana Ya rootchakra Umeona Imeandikwa "I AM"..

Kwahyo Baada ya Kujua Ukweli na Kuingia Ulimwengu wa Kiroho Hujiona Ni bora na Huanza Kuwasema Vbaya wale wasioweza Kuwa ndani ya Ukweli alionao..

Na Huanza kujenga Chuki Kwa watu ambao Zamani aliwaheshimu na Kuwajali kama wachungaji na Masheikh Na hata wafia Dini wengine..

Na ndo maana Ukienda Fungu la Tano la Sura hiyo hiyo Anaamrishwa Kurudia matendo ya kwanza..

Ufunuo wa Yohana 2:5..

"Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu."

maana Yake Yale matendo yake anayofanya Hayafai anatakuwa abalance Kuujua Ukweli sio chanzo cha kuwaona wasio Jua hawana maana..Na ndo maana Anasema naja kwako na Nitakiondoa Kinara chako..

Na watu wasiotii kurudi kwenye Upendo wa Awali kuwaona walio Katika Imani zingine hawako sawa na wao na Kuendeleza Umimi Au ego!

Hunyang'anywa Uwezo w Kiroho na Maarifa hivyo huelekea Katika Kutokuwa na Imani kabisa..

Na hao ndo Huwa Wanakuwa wapinga Mungu (Atheists)
Kwa sababu ya Kungolewa Vinara vyao...

Sasa sijui kama Umenielewa?

Kama Una swali Kuhusu Kanisa La.kwanza Uliza
Natamani wapinga mungu wa humu jf wajione hapa
 
Ujuaji wa baadhi ya member, husababisha watu waache kumalizia visa vyao.

Imagine mtu kwa mapenzi yake, kaamua kupoteza mda wake kushare maarifa, ili wengine wajifunze, alafu watu wajinga wajinga wanareply upuuzi as if wanamlipa.

Binafsi, nilitaka kushare baadhi ya vitabu nilivyosoma maktaba za kiroho, kama kupima DNA kwa njia ya namba bt kwa hali hii ni ngumu.

watu wanapaswa itumia mitandao kama platform ya kujifunza & kushare maarifa, na si kutukana na kuleta ujuaji usio na tija.
Boss una point unatakiwa usikilizwe ila tambua kwamba kwenye wengi kuna mengi pia

Kwahiyo usitunyime maarifa sisi ambao tunapenda kujifunza boss wangu

Fanya kitu kimoja,toa maarifa kisha wapotezee wote ambao wanaleta ujinga,na huo ndio ukomavu

Asante
 
Mimi nawausia tu ndugu zangu Waislam, tumche Allah. Tukae mbali na ushirikina na turudi katika Tawheed na tushikamane na Sunnah. Mashaytwaan hawa (wa kijini na kibinadamu) watatupoteza, namuomba Allah afya na salama.

Haifai kuwatumia majini (hata kama watasema ni Waislam) wala kuwafuata eti mkasome kwao. Kuna watu mpaka mnawauliza maswali ya kielimu na wanawapotosha. Watawapotosha na kuwatoa katika njia.

Bakini katika njia ya Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) na Swahaba zake (Allah awaridhie).

Mashetani wanawadanganya. Huyo Arsis ni katika mashetani tu. Mcheni Allah ndugu zangu.

Maneno mazuri zaidi ni Kitabu cha Allah na Muongozo bora ni Muongozo wa Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake).

Nawanasihi ndugu zangu Waislam, msizingatie haya mambo, yatawatumbukiza katika Ushirikina na kuwaondoa katika Tawheed na kuwaondoa katika muongozo wa Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake). Allah atuongoze katika njia iliyonyooka na atuthibitishe mioyo yetu katika Dini yake na atuhifadhi na atufishe katika Uislam, atufishe katika Tawheed na Sunnah, Allahumma Aamiin.



Mimi nimefikisha tu.
 
Mimi nawausia tu ndugu zangu Waislam, tumche Allah. Tukae mbali na ushirikina na turudi katika Tawheed na tushikamane na Sunnah. Mashaytwaan hawa (wa kijini na kibinadamu) watatupoteza, namuomba Allah afya na salama.

Haifai kuwatumia majini (hata kama watasema ni Waislam) wala kuwafuata eti mkasome kwao. Kuna watu mpaka mnawauliza maswali ya kielimu na wanawapotosha. Watawapotosha na kuwatoa katika njia.

Bakini katika njia ya Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) na Swahaba zake (Allah awaridhie).

Mashetani wanawadanganya. Huyo Arsis ni katika mashetani tu. Mcheni Allah ndugu zangu.

Maneno mazuri zaidi ni Kitabu cha Allah na Muongozo bora ni Muongozo wa Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake).

Nawanasihi ndugu zangu Waislam, msizingatie haya mambo, yatawatumbukiza katika Ushirikina na kuwaondoa katika Tawheed na kuwaondoa katika muongozo wa Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake). Allah atuongoze katika njia iliyonyoka na atuthibitishe mioyo yetu katika Dini yake na atuhifadhi na atufishe katika Uislam, atufishe katika Tawheed na Sunnah, Allahumma Aamiin.



Mimi nimefikisha tu.
Acha kukurupuka!!!
 
Acha kukurupuka!!!
Wewe ni Muislam? Kama wewe ni Muislam nakuusia kumcha Allah na kutozugwa na kuingia katika haya mambo. Ridhika na Muongozo wa Mtume wako (Swala na Salamu ziwe juu yake), baki katika njia ya Maswahaba (Allah awaridhie).


Achana na mashetani, watakupoteza.

Mtu unamuuliza shetani maswali ya kidini? Yaani seriously unamuuliza shetani!? Unatarajia nini? Adui ambaye hakuonei huruma kabisa!

Unatakiwa umuombe Allah akukinge kutokamana na Shetani, wewe unamfuata shetani kujifunza mambo kwake ikiwemo ya kidini?

Allah atuongoze katika njia iliyonyooka.
 
Back
Top Bottom