Nimeacha CHADEMA vijana wengi imara, vyama sita vimeniomba nijiunge nao

Nimeacha CHADEMA vijana wengi imara, vyama sita vimeniomba nijiunge nao

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Dr Slaa siku ya leo jioni akiwa Club house amesema yeye ataendelea kutetea sera nzuri za chama cha CDM kwa kuwa ana uzoefu nao na amekijenga kutoka zero mpaka hapa kinapewa heshima.

Kwa upande mwingine amesema yeye sio tena mwanachama hai wa chadema na hata hivyo vyama sita vimemuomba ajiunge nao na amekataa.

Hongera sana Dr Slaa kwa kazi nzuri uliyofanya wakati wako.

Naona sasa uko mtari wa mbele kutetea maridhiano na ujio wa Katiba Mpya.

Mungu akubariki.
 
Once a traitor...?
Not a traitor ila hakutaka kuwa mnafiki.

Ingekuwa ni fedheha kwake kusimama jukwaani na Lowasa akimnadi kwa kumsifia kuwa anafaa kwa urais mtu waliyezunguka miaka nane nchi nzima na chopa na kutuchangisha juu kuwa hafai hata kuwa diwani.

Ni sawa na we mzee umchafue mwanamke kwa majina yote mabaya mbele ya rafiki zako kisha siku uwaambie unamuoa.
 
Once a traitor...?
Slaa sio traitor,mtu aliyesimamia maamuiz yake,mimi mwenyewe niliacha kupenda CDM alivyokuja Lowasa. Slaa alikuja kubadilika mtazamo wakati wa Magufuli yupo madarakani na ilieleweka maana alikuwa na familia ya kulisha na ndio ulikuwa mfumo unaofanya kazi kipindi hiko ili uishi....Kwa sasa amerudi kwenye sense zake sababu ya ulingo wa kisiasa ulivyo fair.
 
Dr Slaa siku ya leo jioni akiwa Club house amesema yeye ataendelea kutetea sera nzuri za chama cha CDM kwa kuwa ana uzoefu nao na amekijenga kutoka zero mpaka hapa kinapewa heshima.

Kwa upande mwingine amesema yeye sio tena mwanachama hai wa chadema na hata hivyo vyama sita vimemuomba ajiunge nao na amekataa.

Hongera sana Dr Slaa kwa kazi nzuri uliyofanya wakati wako.

Naona sasa uko mtari wa mbele kutetea maridhiano na ujio wa Katiba Mpya.

Mungu akubariki.

Ile kadi yake ya CCM aliyoiweka mvunguni Kama Jecha ,alishairudisha au anafuata nyayo Za Jecha.
Hakuna Balozi wa TZ asiye na kadi ya CCM
 
Slaa sio traitor,mtu aliyesimamia maamuiz yake,mimi mwenyewe niliacha kupenda CDM alivyokuja Lowasa. Slaa alikuja kubadilika mtazamo wakati wa Magufuli yupo madarakani na ilieleweka maana alikuwa na familia ya kulisha na ndio ulikuwa mfumo unaofanya kazi kipindi hiko ili uishi....Kwa sasa amerudi kwenye sense zake sababu ya ulingo wa kisiasa ulivyo fair.
Je Lowasa alivyorudi ccm ulikipenda tena CDM au ulihama na huko ccm?
 
Back
Top Bottom