Dr Slaa siku ya leo jioni akiwa Club house amesema yeye ataendelea kutetea sera nzuri za chama cha CDM kwa kuwa ana uzoefu nao na amekijenga kutoka zero mpaka hapa kinapewa heshima.
Kwa upande mwingine amesema yeye sio tena mwanachama hai wa chadema na hata hivyo vyama sita vimemuomba ajiunge nao na amekataa.
Hongera sana Dr Slaa kwa kazi nzuri uliyofanya wakati wako.
Naona sasa uko mtari wa mbele kutetea maridhiano na ujio wa Katiba Mpya.
Mungu akubariki.
Kwa upande mwingine amesema yeye sio tena mwanachama hai wa chadema na hata hivyo vyama sita vimemuomba ajiunge nao na amekataa.
Hongera sana Dr Slaa kwa kazi nzuri uliyofanya wakati wako.
Naona sasa uko mtari wa mbele kutetea maridhiano na ujio wa Katiba Mpya.
Mungu akubariki.