Jambo jema sanaNi jambo jema
Anajutia uamzi wake.Once a traitor...?
Asali ni ile ileAnajutia uamzi wake.
As long as wasiojulikana wamepungua hakuma shida. Acha waleAsali ni ile ile
Katiba ya CCM ni ya 1977As long as wasiojulikana wamepungua hakuma shida. Acha wale
๐ ๐ ๐ tunaitaka sasa ya watanzania wote.Katiba ya CCM ni ya 1977
Mbona una mashakaIla๐ค
Vyama vyote vimeiga katiba ya CCM๐ ๐ ๐ tunaitaka sasa ya watanzania wote.
Sina imani naye sijui katokea wapiMbona una mashaka
Once a traitor...?
Not a traitor ila hakutaka kuwa mnafiki.Once a traitor...?
๐ ๐ ๐Always a Traitor
Sina imani naye sijui katokea wapi
Slaa sio traitor,mtu aliyesimamia maamuiz yake,mimi mwenyewe niliacha kupenda CDM alivyokuja Lowasa. Slaa alikuja kubadilika mtazamo wakati wa Magufuli yupo madarakani na ilieleweka maana alikuwa na familia ya kulisha na ndio ulikuwa mfumo unaofanya kazi kipindi hiko ili uishi....Kwa sasa amerudi kwenye sense zake sababu ya ulingo wa kisiasa ulivyo fair.Once a traitor...?
Dr Slaa siku ya leo jioni akiwa Club house amesema yeye ataendelea kutetea sera nzuri za chama cha CDM kwa kuwa ana uzoefu nao na amekijenga kutoka zero mpaka hapa kinapewa heshima.
Kwa upande mwingine amesema yeye sio tena mwanachama hai wa chadema na hata hivyo vyama sita vimemuomba ajiunge nao na amekataa.
Hongera sana Dr Slaa kwa kazi nzuri uliyofanya wakati wako.
Naona sasa uko mtari wa mbele kutetea maridhiano na ujio wa Katiba Mpya.
Mungu akubariki.
Je Lowasa alivyorudi ccm ulikipenda tena CDM au ulihama na huko ccm?Slaa sio traitor,mtu aliyesimamia maamuiz yake,mimi mwenyewe niliacha kupenda CDM alivyokuja Lowasa. Slaa alikuja kubadilika mtazamo wakati wa Magufuli yupo madarakani na ilieleweka maana alikuwa na familia ya kulisha na ndio ulikuwa mfumo unaofanya kazi kipindi hiko ili uishi....Kwa sasa amerudi kwenye sense zake sababu ya ulingo wa kisiasa ulivyo fair.