Nimeacha CHADEMA vijana wengi imara, vyama sita vimeniomba nijiunge nao

Uzuri wenu mataga ni propaganda na kuwahadaa watanzania, ila mkumbuke wapo weledi na wamekaa pale wanaona mnavyojifanya wehu. Dr. Slaa hata kama alifanya kazi nzuri lakini alishafuta kwa mdomo na mikono yake mwenyewe, aliondoka na kusaliti wakati akitakiwa sana leo hii akisifia chama ambacho aliowaacha wamekaa magerezani, aliyekuwa anamshobokea wengine amewaua, hao vijana wamemiminiwa mijegejo na bado alikuwa pamoja na hao kuwamaliza hata leo hii akirudi anawakuta wako hoi na sio wale aliowaacha.

Ajipimie mwenyewe na ajichukulie hatua ambayo yeye ataona inafaa, mie ningemshauri aachane na jamaa amechangia kuwaumiza, wengine wanamaswali mengi mno kuliko majibu. Labda kama ataanza kusema waliompiga risasi Lissu na walioua akina Ben. Mwenyekiti amemkuta mzee kwa kukaa magerezani bila sababu yeye alikuwa ubarozini akisifu juhudi za walioshika hatamu kwa hila. Leo nyie mnalipwa buku 5000 kujaza thread za propaganda JF.
 
Mkuu niombe msamaha kwa kuniita mataga. Vinginevyo uko sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…