Nimeacha Kazi Bila Mkataba, Sasa Nadaiwa Kulipa au Kufanya Kazi Bila Malipo – Naomba Ushauri wa Kisheria

Nimeacha Kazi Bila Mkataba, Sasa Nadaiwa Kulipa au Kufanya Kazi Bila Malipo – Naomba Ushauri wa Kisheria

Nilimwambia kwa maneno sasa nataka nimwandikie barua
Usiandike barua.

Boss wako kakuficha option ya 3 ya kuondoka kazini. Muajiri anaweza kumuachisha kazi muajiriwa kwa utoro. Piga kimya ionekane kama mtoro na kazi inaishia hapo.


Narudia tena, USIANDIKE BARUA
 
Back
Top Bottom