Nimeacha Kazi Bila Mkataba, Sasa Nadaiwa Kulipa au Kufanya Kazi Bila Malipo – Naomba Ushauri wa Kisheria

Nilimwambia kwa maneno sasa nataka nimwandikie barua
Usiandike barua.

Boss wako kakuficha option ya 3 ya kuondoka kazini. Muajiri anaweza kumuachisha kazi muajiriwa kwa utoro. Piga kimya ionekane kama mtoro na kazi inaishia hapo.


Narudia tena, USIANDIKE BARUA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…