Nimeacha rasmi kuwa shabiki wa mpira wa miguu na hizi ndizo sababu zangu

Nimeacha rasmi kuwa shabiki wa mpira wa miguu na hizi ndizo sababu zangu

Mashabiki wa mpira unaowasema ni wabongo. Sidhani kama uko duniani huwa hawana akili kama hawa ndugu zetu mashabiki wa Simba na Yanga.

Bongo mashabiki lialia wa mpira wengi wana upungufu wa akili (samahani kwa kusema ukweli). Ndio maana kina Salah, ambaye nimemuona mara nyingi ofisini kwake na kina Soloka na wengine top wa GSM Group of Companies ambao ndio wanaweka hela zao hawafatilii mpira kivile wala hawana pressure nao, Mo na watu wake sijui maana sijawahi kuwa karibu nae. Njaa kali ambao hawana majukumu na mambo mazito ndio wanatilia sana mkazo mpira. Wewe uliwahi ona Roman Abrahmovich anaonesha hata dalili za kusikitika Chelsea ikifungwa? Wamiliki kibao wa klabu hata viwanjani hawajawahi kanyaga.

Ukitaka kujua fatilia michango ya wadau humu kwenye mpira. Ukikutana na Scars kwenye mada za mpira unadhani ni kilaza. Ukimkuta mada nyingine unaona kabisa huyu mtu akili anazo. Ndio maana fake news nyingi ni za mpira kama ile barua ya wachoma vitumbua ya jana ambayo kuna watu na akili zao waliamini imetoka CAF na English yake ya kuchomelea.
Mkuu huu ni mpira na mpira ili unoge lazima kuwe na ushabiki wa kiupinzani baina ya pande mbili, oscaroscar wapo wanamuona tahira kwa tweets zake lakini ndio njia aliyoamua kuitumia kwenye social networks kufikisha ujumbe

Ushabiki ambao mimi siupendi ni ule wa yanga kuwa tayari kuvaa jezi ya timu kutoka taifa la mbali na kuishabikia eti kisa tu inacheza na simba

Kiukweli mimi leo mniwie tu radhi maana hicho kipindi tulichokipitia kuisubiria siku ya leo nilikuwa nakereka sana kuona jina la mayele likitajwa tajwa kama ndio mchezaji kiboko kwa ajili ya simba

Nataka muiue hii dhana tegemezi ili msiirudie katika marudiano ya mzunguko wa pili. Mna wachezaji wengi why mayele kila muda??

Badilikeni bana eboo!
 
Mkuu huu ni mpira na mpira ili unoge lazima kuwe na ushabiki wa kiupinzani baina ya pande mbili, oscaroscar wapo wanamuona tahira kwa tweets zake lakini ndio njia aliyoamua kuitumia kwenye social networks kufikisha ujumbe

Ushabiki ambao mimi siupendi ni ule wa yanga kuwa tayari kuvaa jezi ya timu kutoka taifa la mbali na kuishabikia eti kisa tu inacheza na simba

Kiukweli mimi leo mniwie tu radhi maana hicho kipindi tulichokipitia kuisubiria siku ya leo nilikuwa nakereka sana kuona jina la mayele likitajwa tajwa kama ndio mchezaji kiboko kwa ajili ya simba

Nataka muiue hii dhana tegemezi ili msiirudie katika marudiano ya mzunguko wa pili. Mna wachezaji wengi why mayele kila muda??

Badilikeni bana eboo!
Mimi hata sio shabiki wa mpira na sijaanza kukusoma kwa Mayele tu. Kama ningekuwa mgeni ningeona wewe ni mtu wa kawaida but sio, nakufahamu kwenye mada nyingine uko brilliant
 
Simba mpira umewashinda imebidi wawekeze nguvu zao na maarifa kwenye swala la nembo ya gsm na swala la babra kunyimwa kuingizia familia yake kwenye jukwaa maalumu 😂
 
1. Ushabiki wa mpira ni Aina Fulani hivi ya uwendawazimu, inahitaji akili ya mwendawazimu kuwa shabiki wa mpira wa miguu. Kwa mfano : Mashabiki wa timu kuomba mpira uishe pindi timu Yao inapokuwa inaongoza . Kwanini unataka mechi iishe haraka wakati wewe umeenda kuangalia mpira?


2. Tofauti Kati ya roho ya uchawi na mindset ya shabiki WA mpira wa MIGUU Ni sifuri. Ukitaka kujua wachawi huwa Wana waza Nini kuhusu wewe , wewe jitazame unawaza Nini kuhusu timu yako pinzani.. HII roho ya uchawi miongoni mwa shabiki WA mpira wa MIGUU inafanya mpira usiwe mchezo WA furaha. Kwa mfano shabiki WA Yanga kuchukia Simba kufika robo fainali au shabiki WA Simba kufurahia Yanga kutolewa makundi. I don't want to share my energy with these kind of people.

3. Mashabiki wa mpira kutokuubali ukweli Kwa Sababu ya roho ya KICHAWI inayo fanya Kazi ndani yao. Kwa mfano shabiki WA Yanga anaweza kusema Huyu Mikson au Chama Ni bonge la garasa au kumsikia shabiki WA Simba akisema " Aucho nae mchezaji? Ukitumwa mchezaji unaweza kumpeleka Aucho Kweli? I am not feeling comfortable to stay around people who think this way.

Hivi ndivyo wachawi wanavyo kataaga Kwa maneno mafanikio ya watu wengine... Mwaka 97 Kuna ndugu yangu Fulani alipata nafasi ya kwenda kusoma Scotland mtaani ikawa inasemwa anaenda kusoma Uingereza basi mchawi mmoja WA mtaani akawa anasema " Nyie Uingereza mnapajua au mnapasikia? Huyu mwanafudenge kaenda kusoma Scotland, Scotland sio Uingereza, unafanya mchezo Na Uingereza wewe..

One year later jamaa akamtumia mama Ake picha zake akiwa Scotland, Bahati mbaya picha zikavuja wachawi wakazipata, sikia maneno Yao " Huyu sio xxx ninae mjua Mimi, huyu WA kwenye picha mbona mwarabu kabisa".

Siku zote mindset ya mchawi huwa Ni kuwa around Na watu ambao Wana fit kwenye category ya partners in sufferance. Kwa Bahati mbaya Sana hivi ndivyo ilivyo akili ya shabiki WA mpira wa MIGUU.

Itaendelea
Hahah hoja zako zinafikirisha daaa sijui ntaweza kuachana na simba hahaha
 
Bora hata netball ntafaidi kuona mapaja ya wadada
itakuwa shabiki wa kabwilicious SC bila shaka.

Nunua na kijora kabisa, ila make-up na wanja Ni hiari kupaka.

Nb:hakuna mwanamke anasisimka kwa kuona mapaja ya mwanamke mwenzie. Just utani! Coz nyie Utopolo hamkawii kwenda CAS.
 
Mashabik wa yanga waanza kujistaafisha kwa kukwepa aibuu...na bdo mtakimbia sanaa...hapa ndo mwanzo tu....bdo hao jesemu hawajawaingiza chaka vzur
 
1. Ushabiki wa mpira ni Aina Fulani hivi ya uwendawazimu, inahitaji akili ya mwendawazimu kuwa shabiki wa mpira wa miguu. Kwa mfano : Mashabiki wa timu kuomba mpira uishe pindi timu Yao inapokuwa inaongoza . Kwanini unataka mechi iishe haraka wakati wewe umeenda kuangalia mpira?


2. Tofauti Kati ya roho ya uchawi na mindset ya shabiki WA mpira wa MIGUU Ni sifuri. Ukitaka kujua wachawi huwa Wana waza Nini kuhusu wewe , wewe jitazame unawaza Nini kuhusu timu yako pinzani.. HII roho ya uchawi miongoni mwa shabiki WA mpira wa MIGUU inafanya mpira usiwe mchezo WA furaha. Kwa mfano shabiki WA Yanga kuchukia Simba kufika robo fainali au shabiki WA Simba kufurahia Yanga kutolewa makundi. I don't want to share my energy with these kind of people.

3. Mashabiki wa mpira kutokuubali ukweli Kwa Sababu ya roho ya KICHAWI inayo fanya Kazi ndani yao. Kwa mfano shabiki WA Yanga anaweza kusema Huyu Mikson au Chama Ni bonge la garasa au kumsikia shabiki WA Simba akisema " Aucho nae mchezaji? Ukitumwa mchezaji unaweza kumpeleka Aucho Kweli? I am not feeling comfortable to stay around people who think this way.

Hivi ndivyo wachawi wanavyo kataaga Kwa maneno mafanikio ya watu wengine... Mwaka 97 Kuna ndugu yangu Fulani alipata nafasi ya kwenda kusoma Scotland mtaani ikawa inasemwa anaenda kusoma Uingereza basi mchawi mmoja WA mtaani akawa anasema " Nyie Uingereza mnapajua au mnapasikia? Huyu mwanafudenge kaenda kusoma Scotland, Scotland sio Uingereza, unafanya mchezo Na Uingereza wewe..

One year later jamaa akamtumia mama Ake picha zake akiwa Scotland, Bahati mbaya picha zikavuja wachawi wakazipata, sikia maneno Yao " Huyu sio xxx ninae mjua Mimi, huyu WA kwenye picha mbona mwarabu kabisa".

Siku zote mindset ya mchawi huwa Ni kuwa around Na watu ambao Wana fit kwenye category ya partners in sufferance. Kwa Bahati mbaya Sana hivi ndivyo ilivyo akili ya shabiki WA mpira wa MIGUU.

Itaendelea
Bro we achana na mpira kashabikie tamthilia tu.
Ukiwa shabiki wa mpira halafu ukawa unataka uone logic/reasoning kwenye kila kitu basi mpra haukufai.
Utamu wa mpira ni kutokuwa na reasoning
 
Acha kwani umelazimishwa,endelea na kazi yako ya kufuga majini uliyofundishwa na maalim Abassy.
 
Kama zamani kocha wa Manchester United babu ferguson alimwambia refa maliza mpira muda... mpira una matokeo matatu kushinda draw na kufungwa lolote lazima litokee
Kwako naona uwezi UTANI wa mpira
IMG_3134.png
 
Back
Top Bottom