Ahsante sana kaka kqa ushauri Ahsante sana tena sanaJapo nimecheka na sio mazuri ila kuchezea future ya watu sio poa
Kwa hiyo ulitaka akupe mtoto tu ila kuoa aaah, ilipaswa wakati huo uoneshe nia ya kweli na kuwa serious naye
Lazima angekuzingatia tu, miaka miwili unazagamua halafu huoneshi nia ya kujenga kibanda lazima ashtuke
Anyway, tafuta utapata mwengine anaweza asiwe na sifa kama za aliyepita ila ndio hakuna namna zaidi ya kupenda unachopata
Ulishawahi kutolewa roho we mvulana?ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho
Maumivu unayopitia ww sasa hv ndio nami pia nayapitia kwa sasa, tena Mm huyu wangu n single mother Ila alishanitengeneza na nikamuamini na nikampenda kweli.Dah kinachouma ni mda aisee mda wote huo nimepoteza bure
Kwamba jamaa kwenye picha n mzoefu wa kunyongwa 😂
Pole sana but no way out ila kuna ulichojifunza kizingatie sana utakuj kunishukuru baadaeSiku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.
Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.
Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.
Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto now.
Alinyongwa first time dakika za mwisho wakavamiwa huo mji yeye kamba ikakatika akasevu.Kwamba jamaa kwenye picha n mzoefu wa kunyongwa 😂
Mwamba na wewe una achwa.Nimesoma comments zote mana hali anayopitia jamaa ndio nayopitia kwa sasa, nawashukuru wote kwa comments zenu.
Hadi Mpare unamwaga manoti sio POA.Maumivu unayopitia ww sasa hv ndio nami pia nayapitia kwa sasa, tena Mm huyu wangu n single mother Ila alishanitengeneza na nikamuamini na nikampenda kweli.
Nmewekeza muda na pesa nyingi sana kwake, lkn bado akanifanyia mambo ya ajabu.
But soon ntakuwa Sawa, h nahesabu kama nilikosea njia hvy n funzo kwangu.
Unaniangusha Kamanda.Nimesoma comments zote mana hali anayopitia jamaa ndio nayopitia kwa sasa, nawashukuru wote kwa comments zenu.
Huwez amini, tangu nimeanza mambo ya mapenzi sijawahi kuacha zaidi ya kuachwa tuu.Mwamba na wewe una achwa.
Ah sio poa kwel mzee wangu, n vile unamuamni so unaamua kufanya jambo mana unaona itakuwa n kwa manufaa ya wote ila kumbe anakuingiza Shimoni.Hadi Mpare unamwaga manoti sio POA.
Nakubali mkuu, nilikuwa mzembe sana mpaka sasa yamenitokea hayaUnaniangusha Kamanda.
Me sipendi na sintakaa niamini mwanadamu mwenzangu till I die.Nakubali mkuu, nilikuwa mzembe sana mpaka sasa yamenitokea haya
Wajeruhi Kamanda utaugulia maumivu kila siku Hadi lini ?Huwez amini, tangu nimeanza mambo ya mapenzi sijawahi kuacha zaidi ya kuachwa tuu.
Kwa 'muda' uongo, unatudanganya wewe.Dah kinachouma ni mda aisee mda wote huo nimepoteza bure