Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

Una hela za kuchezea wewe kuna wanawake kibao wanatamani kukaa na mtu bila ndoa. Achana na kununua mtu. Mungu kakuepusha na mwizi wa kura huyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeishia hapa.
Umetoa uponyaji mkuu.
Ushauri sahii kabisa.
Huu ushauri umebeba experience za mapenzi.
Binafsi nimeuchukuwa.
 
Kumbe tupo wengi, japo mimi ni tofauti kidogo.
Nina maumivu nimezaa na binti mmoja, mtoto bado ana umri wa miezi 5 juzi ananiambia nikamchukue anataka kuolewa. Kumbuka nina mke ndani hajui chochote na akijua ndoa inayumba. Maumivu x2, kwanza nampenda binti mpaka nikamzalisha. Pili hilo la mtoto sielewi cha kufanya, na anadai nisipoenda kumchukua atamleta mwenyewe kwangu
 
Pole sana mkuu..
 
Anajua mimi ni wakili, tajiri na najielewa.



Sasa Kwa uelewa na exposure walizonazo unazani ukisema wewe ni Wakili watakuelewa?!

Lakini akiambiwa na Mwanaume anafanya kazi bank utaona faster analazimisha ndoa hata ya bomani bila ndugu kujua [emoji1787][emoji1787]

Yaani hawajali huko bank ni Teller wa kawaida au hata mfagizi ilimradi unafanya kazi bank [emoji3][emoji28]
 
Pole sana mkuu ila kiufupi ulikuwa unaishi na jini kwenye chupa😀! Hapo ni kama amechoropoka.
 
Daaaah pole aisee
 
Yaani jumamosi hadi leo jumanne unasema umeachwa. Kwa taarifa yako kuachana sio rahisi kama unavyodhani. Kuachana na demu ni mchakato unaweza kuchukua zaidi ya mwaka au zaidi. Wewe umepumzishwa tu kuachana sijapaona bado. Kwanza hakuna sababu yoyote ya kuachana hapo sema tu unagongewa ambayo sio issue ya kusababisha usipeleke barua. Unagongewa na unaoa hivyo hivyo mambo yatajirekebisha mbele kwa mbele
 
Hivi kuna wanaume malaya ama malaya ni wanawake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…