Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasharudi kaka..Haha, yeye atulie tu huyo dada atarudi, atakuwa amedanganywa na huyo rafiki yake kuwa jamaa chenga!!
Achana na utamu, alikuwa ni mwanamke aliyekidhi vigezo vyangu vyote mkuu.
[emoji28]MUNGU akubariki Katika vita ya kuachana na uzinzi, ukianza vikao vya harusi naahidi kutoa 50,000 Kwa kuanzia.
Mke wangu; tulia[emoji28]Halafu Amicuss kaachwa Leo tu ndio kaamini hajui drama za kina dada?huyu hata hajamuacha na yeye anasikilizia simu huko
Dear learned brother...Kasharudi kaka..
Vijana kinachotuponza ni kutaka penzi, hadi tunajisahau hatutakiwi kulia lia ili mwanamke atupendeMkuu umeongea point sana vijana wanakosea sana mwanamke ndo anatakiwa ndo kulazimisha ndoa ila siyo mwanaume
Pole rafiki yangu.Nikiri tu kwamba huyu ndio mwanamke nilimpenda kwa moyo wangu wote.
Maticha mna vituko, sa itakuwaje nini tena? Imeisha hiyooWalimu nasi tumekengeuka,sa itakuwaje?🤔
Karudi Ila simaanishi namrudia..Dear learned brother...
Na maumivu yameshaisha ama?
Hili tukio limekufundisha nini kuhusu huyu binti hata kama mmesharudiana?
Bado mchakato wa ndoa unaendelea?
I am just curious...halafu nitaandika...
Anajua mimi ni wakili, tajiri na najielewa.Kwani ulimwambia unafanya kazi gani?
Wenzio wanatakaga Wafanyakazi wa banks sijui wanazani zile za bank zitakuwa zenu zote?! [emoji3]
Ndiyo maana wengi huishia kudanganywa na kuachwa single mums.
Nashukuru sana mkuu kwa maono haya.Kiuhalisia; ulikuwa ni back up..
Inawezekana baada ya wewe kutangaza kupeleka posa, alimuhusisha jamaa yake. Kwakuwa anampenda sana jamaa kuliko wewe, jamaa amebidi ajipange.
Wakati jamaa anajipanga, basi wewe ukawekwa pending.
Kwa kifupi, mafanikio au kushindwa kwako kumposa huyo mlimbwende itategemeana na utayari wa huyo jamaa.
Kwa kifupi ulikuwa hupendwi. Pole sana.
[emoji28][emoji28]Maticha mna vituko, sa itakuwaje nini tena? Imeisha hiyoo
Ndoa ni kwa ajili ya watu wazima wenye akili.Lahaulaa, akasema 'SAWA'. Nikaishiwa nguvu.