Nimeachwa, najikuta natamani kila mwanaume

Nimeachwa, najikuta natamani kila mwanaume

We mdogo wangu sijui hata nikushauri nn wewe huna tatizo la kuhitaji ushauri maana bora ungekuja kusema kuwa umeachana na mpenzi miaka mi 3 iliyopita kwa sababu kadha wa kadha na ungetaman sasa kuanza relationship nyingine ili tukushaur kutokana na mapungufu ya relationship iliyopita
Lakini unakuja kutuambia unatamani kila mwanaume,so what?? Tuamini kuwa ni Pepo?? No
Napata mashaka pia uliachwa iyo past 3yrs kwa sababu ya kutamani kila mwanaume,Mwanamke anayejitambua hawez kutamani kila mwanaume hata kama ameikosa ngono kwa miaka 7! We umeji tune ugonjwa mbaya sana ambao usipoangalia utakuja kukugharimu maisha yako yoote maana hata ukipata mwanaume utaendelea kutamani "wanaume",
 
Tembea na kila mwanaume maana ufalme wa kupata raha na utamu unao katikati ya miguu yako..shake it before..
[emoji15] not the best of advise if you ask me. Ukiufuata huu ushauri mwisho wa siku you will feel used and worthless. Just take it easy, enjoy being single along the way you may discover that being single isn't so bad afterall.
 
Njoo nikushike mkono tu,twenzetu tuka......mpaka usiku wa manane....
 
Good girl aint no lucky, bad girls always lucky but funny girl love to play
 
Baada tu yakuwa single
hii hutokea karibia kwa watu wote pindi mahusiano yaliyokuwa strong yanapokatika gafla hivyo usijihisi unatatizo.

Tatizo lako dogo saana. Bado una create imaginative pictures za mambo aliyokuwa anakufanyia mpenzi wako and that's why unaishia kutamani kila mwanaume.

Ushauri. Kwanza kubali upo single. Then usikubali feeling zikuendeshee jaribu kuzicontrol huku ukijua kwamba wanaume wapo/tupo wanakuona muda ukifika watakutongoza utaanza mambo tena

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Njoo pm mrembo na mimi napendapenda wanawake hovyo hovyoo.
 
hii hutokea karibia kwa watu wote pindi mahusiano yaliyokuwa strong yanapokatika gafla hivyo usijihisi unatatizo.

Tatizo lako dogo saana. Bado una create imaginative pictures za mambo aliyokuwa anakufanyia mpenzi wako and that's why unaishia kutamani kila mwanaume.

Ushauri. Kwanza kubali upo single. Then usikubali feeling zikuendeshee jaribu kuzicontrol huku ukijua kwamba wanaume wapo/tupo wanakuona muda ukifika watakutongoza utaanza mambo tena

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ilichoongea ni kweli kabisa, natumia mda mwingi kuwaza vitu vya previous, by tha way i thnk i hv to b strong jmn
 
Ilichoongea ni kweli kabisa, natumia mda mwingi kuwaza vitu vya previous, by tha way i thnk i hv to b strong jmn
Ni vizuri kugundua chanzo cha tatizo.
NB : usijaribu kuingia kwenye relationship ukiwa na hiyo mihemuko utaishia kufanya maamuzi yasiyo sahihi.
 
Ilichoongea ni kweli kabisa, natumia mda mwingi kuwaza vitu vya previous, by tha way i thnk i hv to b strong jmn
Ni vizuri kugundua chanzo cha tatizo.
NB : usijaribu kuingia kwenye relationship ukiwa na hiyo mihemuko utaishia kufanya maamuzi yasiyo sahihi.
 
Hyo sasa n tamaa na utaangukia pabovu shostito!anza kufanya mambo ambayo yatakuondolea mawazo potofu kama mazoez angalau lisaa,soma stories ingia jamii forums huk kuna forums za kutosha kupunguza stresa zako,ogelea mpaka utazoea hali hyo hapo sasa wanawez jitokeza wazuri zaidi na wenye nia.Upo shost
 
Tuma namba yako kwenye pm yangu nikushauri,ukiona mimi lihuni sawa,ila nakushauri tu,i dont need anything else
 
Habari wana JF,

Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.

Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani

Natanguliza shukrani
jitahidi kuvumilia mummy lasihivyo utaingia kwenye tatizo kubwa zaidi sababu ya mwili kukupush kufanya hvyoo...uvumilivu ni muhimu Allah atakuletea a lie mbora...jitahidi kujikeep busy hyo Hali itapotea jisahaulishe sahaulishe
 
Back
Top Bottom