Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
- Thread starter
- #21
Ahsante sana kwa ushauriTumia kitimoto kwa sanaa, inanenepesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana kwa ushauriTumia kitimoto kwa sanaa, inanenepesha
Mishikaki yenye mchanganyiko wa tunyama twa mafuta ile!Mishikaki ya nundu ndo mishikaki ya namna gani
Acha aniue tu maana sio kwa kudata huku jamaniUnene ni mwanzo wa magonjwa. Anataka akuue, hakupendi huyo. Usilazimishe mambo.
Hahahah uhakikishe umepewa cheti cha udereva wa hayo mapenzi!Yalishaniendesha tayari imebaki kuniua tu
Acha niforce tu nimeyataka mwenyeweMapenzi gani ya masharti hayo? Shtuka boya ww hupendwi hapo unaforce tu [emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3]wabongo mnamanenoMkuu, hata ahangaike nayo haya yote uliyo mshauri na akapata majibu chanya, ndoa haipo.
Na kama huyo jamaa ana mwili kama wa Polepole wa ccm hata alale na hivyo vyakula kitandani hanenepi ng'o.
Awaachie tu waoaji wamuoe huyo kisukunuku
Unanenepa huko na pesa kwa mfuko. Hapo hakuna mapenzi halafu uenda unaoa mtoto mchunguze. Ya walimwengu ni mazito sana. Kanunue pumba za mahindi kula kila siku rejea mfano wa popi wanavyonenepa wakila pumna.Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
Ni kula tu ni kurelax. Mwaka jana nadhani July nilichangia thread flani kuwa mimi nina mwili hauna shukrani, ila napoandika hapa, nimetoka kuwa na 58 kg now nina 71 nimeanza kuwa na ka kitambi.Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!
Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!
Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!
Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho
Amwambie mtaalamu kamuelekeza amkubalie kwanza wakiwa wote ile furaha itamnenepeshaKwenye hiyo diet aongeze na mtori.
Mim namshauri amwambie kuwa akimkubalia tu itamfanya anenepe(sound mingi ). Mpaka hatua hiyo tayari huyo Ke kashakubali ukijiongeza kidogo utakuwa nae bila hata kunenepa.
Amwambie mtaalamu kamuelekeza amkubalie kwanza wakiwa wote ile furaha itamnenepesha
Mpe ushauri wa kunenepa amesema hata akimuua kashapendaUnene ni mwanzo wa magonjwa. Anataka akuue, hakupendi huyo. Usilazimishe mambo.
Asisahau na bia mbili usiku kabla ya kulala..mwezi tu katoka kitambi..atarudi humu kuomba namna ya kupunguza mwili.Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!
Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!
Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!
Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho
Nimekumbuka kitu nimecheka sana.Paula Paul njoo utoe neno tafadhali! Utasaidia wengi...