Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

Mkuu, hata ahangaike nayo haya yote uliyo mshauri na akapata majibu chanya, ndoa haipo.
Na kama huyo jamaa ana mwili kama wa Polepole wa ccm hata alale na hivyo vyakula kitandani hanenepi ng'o.
Awaachie tu waoaji wamuoe huyo kisukunuku
[emoji3][emoji3]wabongo mnamaneno
 
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.

Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.

Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi

Nawasilisha

UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.

Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
Unanenepa huko na pesa kwa mfuko. Hapo hakuna mapenzi halafu uenda unaoa mtoto mchunguze. Ya walimwengu ni mazito sana. Kanunue pumba za mahindi kula kila siku rejea mfano wa popi wanavyonenepa wakila pumna.
 
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.

Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.

Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi

Nawasilisha

UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.

Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
Ni kula tu ni kurelax. Mwaka jana nadhani July nilichangia thread flani kuwa mimi nina mwili hauna shukrani, ila napoandika hapa, nimetoka kuwa na 58 kg now nina 71 nimeanza kuwa na ka kitambi.
Shida nachoka haraka
Kitambi sikipendi
Jambo lililonifanya ninenepe ni kula, sipitishi mlo hata mmoja.
 
Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!

Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!

Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!

Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho

Kwenye hiyo diet aongeze na mtori.

Mim namshauri amwambie kuwa akimkubalia tu itamfanya anenepe(sound mingi ). Mpaka hatua hiyo tayari huyo Ke kashakubali ukijiongeza kidogo utakuwa nae bila hata kunenepa.
 
Amwambie mtaalamu kamuelekeza amkubalie kwanza wakiwa wote ile furaha itamnenepesha

Si wanapendwa kudanganywa ampe stahiki yake kuna muda hawa viumbe ni kuwaongopea tu mpaka aingie kingi maana uhalisia hawaoni. Jamaa anaweza kunenepa na bado asiambulie kitu
 
☞ Njia zipi nitumie ili ninenepe?

Ungetoa thread ya [emoji2383]

Lakini mwenzetu umetoa vijisababu visivo na mashiko, umechefua watu ndo maana unakula za uso.

Unaonekana hujapevuka
Unaonekana Mdwanzi aiseh

Acha upewe makavu tu.

Au Wananzengo mnasemaje?
[emoji3]
 
Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!

Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!

Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!

Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho
Asisahau na bia mbili usiku kabla ya kulala..mwezi tu katoka kitambi..atarudi humu kuomba namna ya kupunguza mwili.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paula Paul njoo utoe neno tafadhali! Utasaidia wengi...
Nimekumbuka kitu nimecheka sana.

Mimi sio mtaalam ila kwa uzoefu hapo OP ale vyakula vyenye sukari nyingi kama sodas, cakes kila siku. Ndani ya wiki 2 tu anapata mchumba wake.

file-20191010-188807-uk3y1e.jpg
 
Back
Top Bottom