Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

Mukiwa kwenye ndoa ndoana akikuambia Sasa hataki mwanaume mnene utasemaje?
Je, ukiugua na kukonda atakwenda kumpa nyapu kidume mnene ili moyo wake ufurahi?
Umri wa huyo binti na namba yake ya WhatsApp naitaka.
 
Njoo PM nikuelekeze na nauza virutubisho vya kugain haraka sana,2 weeks na ni salama sabbu anatumia mpk mtoto kuanzia miaka 4.
 
Njoo PM nikuelekeze na nauza virutubisho vya kugain haraka sana,2 weeks na ni salama sabbu anatumia mpk mtoto kuanzia miaka 4.
Mkuu nitumie namba yako PM. Au kama una namba ya ofisi fanya hvyo naona watu wananivuruga tu
 
Mukiwa kwenye ndoa ndoana akikuambia Sasa hataki mwanaume mnene utasemaje?
Je, ukiugua na kukonda atakwenda kumpa nyapu kidume mnene ili moyo wake ufurahi?
Umri wa huyo binti na namba yake ya WhatsApp naitaka.
Mkuu ntakuroga kuwa makini
 
Tumia balanced diet

Pata muda wa kupumzika,

Tumia Viongeza hamu ya kula km zile product za kuchanganya kwenye chakula ama multi vitamin(vitamin B complex)

Tumia smoothies za kutengeneza mwenyewe(mf maziwa+embe+ndizi)

Ila la mwisho napenda nikuambie utakuja kulia na kusaga meno kwa huyo dada.
 
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.

Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.

Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi

Nawasilisha

UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.

Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
Hahahha kwaiyo akitokea mnenen zaidi yako wewe utakavyonenepa atampa papuchi sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia balanced diet

Pata muda wa kupumzika,

Tumia Viongeza hamu ya kula km zile product za kuchanganya kwenye chakula ama multi vitamin(vitamin B complex)

Tumia smoothies za kutengeneza mwenyewe(mf maziwa+embe+ndizi)

Ila la mwisho napenda nikuambie utakuja kulia na kusaga meno kwa huyo dada.
Mistari yako miwili ya mwisho naona kama hainuhusu saana wala si ya kuzingatia. Hata hivyo ahsante kwa mistari yako tangulizi
 
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.

Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.

Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi

Nawasilisha

UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.

Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
Unapokuja kuomba ushauri maan yake umekubali kupata mawazo mbadala ya yale uliyonayo, kama uko tayari kufa ama uko tayari akuue kwa mapenzi hakuna haja ya kuongeza uzito.
 
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.

Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.

Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi

Nawasilisha

UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.

Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee

Kuna sindano za kuongeza hipsi na makalio mkuu na kitambi kitakuja chenyewe
 
Back
Top Bottom