Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Siyo lazima uizingatie sasa hivi ila majuto ni mjukuu.Mistari yako miwili ya mwisho naona kama hainuhusu saana wala si ya kuzingatia. Hata hivyo ahsante kwa mistari yako tangulizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo lazima uizingatie sasa hivi ila majuto ni mjukuu.Mistari yako miwili ya mwisho naona kama hainuhusu saana wala si ya kuzingatia. Hata hivyo ahsante kwa mistari yako tangulizi
Huo ujinga utaujutia sana.Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
KabsaaaHahahahah sikutaka mkatisha tamaa bana ila mwanamke akianza kukuwekea masharti ya kijinga namna hio huyo ni wa kupiga chini tu! Haina namna
Kipato kinaruhusu mkuu?Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!
Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!
Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!
Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho
Mie sipigwi pipe ila ni mmoja ya wapigajiKwa uzoefu wako huwa unapigwa mara ngapi per week?
Nenda kale ile mishikaki ya 100 pale msamvu moro KWA mwezi mmojaKaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
Kwa mapenzi aliyonayo kwa huyo maraya kerey lazima kipato kitaruhusu tu! Hamna namna ingine 🤓🤓🤓Kipato kinaruhusu mkuu?
Hakuna mwanamke hapo.
Chapa lapa
Hahahahaha kama hayupo Moro?Nenda kale ile mishikaki ya 100 pale msamvu moro KWA mwezi mmoja
Hakika utakuja kunishukuru
Kuna wanawake hawapendi vijamaa vilivyonyooka kama miwa 🤓🤓🤓 wanatumaind sie wenye vitambi vya kufutia simuYeye anatakaga wanene😅😅😅😅
Ajitahidi asijemukosa🤣Kwa mapenzi aliyonayo kwa huyo maraya kerey lazima kipato kitaruhusu tu! Hamna namna ingine 🤓🤓🤓
Ubaya ni kwamba atatokea jamaa mwembamba kama yeye tu na atakuwa anatafuna tunda kirahisi tuAjitahidi asijemukosa🤣
Kuna wanawake hawapendi vijamaa vilivyonyooka kama miwa 🤓🤓🤓 wanatumaind sie wenye vitambi vya kufutia simu
Wanasema ile mishikaki Hadi mikoani wanatuma😂Hahahahaha kama hayupo Moro?
Hahahah ushaelewa 😜Vitambi vya nini vile......😂😂😂😂😂
Hahahah kwa dar ndo iko mingi ile kwenye ma stand stand hukosiWanasema ile mishikaki Hadi mikoani wanatuma😂