DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Hawatakua radhi nasi mayahudi na Manaswara mpaka tufuate mila zaoSitobishana na wewe ila usipojionea wewe basi hata kizazi chako kitajionea, kuna sheria za asili zinazobalance huu ulimwengu ni somo refu ila utajionea kama utakuwepo.
Biashara ya silaha ina utajiri mwingi.
Tukutane 2025.
Bring them Home...
Basi sawa,Ndio maana kuna vita so wacha iendelee waliofiwa na wazazi wapigane na wao wapotee tu sawa sawa...umenena yako visasi visasi hadi viishe.. vita zote zinaishiaa same.
Netanyahu ana kashfa ya kuiwezesha Hamas makusudi ili aweze kufanya anachofanya with impunity.Hamas alijichanganganya. Hakujua nini kipo kichwani mwan Bibi. Sidhani hata kama ile two state solution itatajwa tena ktk meza ya mazungumzo.
Hivi ww una akili kweli,wewe sa hivi mtu akija kukufukuza hapo kwako utakubali??Wapalestina waende Jordan, simple
Achana na propaganda zisizo na kichwa wala miguu,eti insu za kidini.kama ni huo udini mbona Tanzania kuna Waislam na wakristo mbona hamjawahi kupigana??Am less concerned....mtoa Uzi ameleta mada yake huku akijiondoa kwenye ishu za kidini.
Hiyo vita mnataka iishe ya nini wakati hamas walianzisha wenyewe na si huwa mnawasifia hamas wako vizuri kijeshi sasa mnataka vita viishe vya nini?Hata wakiachia mateka unadhani vita itaisha?
Ni sahihi kabisa,Ikiwa Insu ni Mafuta ama Gesi IDF ingelikuja kuteka Zanzibar ama Tanzania kwa Raia ambao hawajui hata kurusha jiwe.
Nimeeleza kwa hoja, kuanzia ugunduzi wa gas pale Gaza strip hadi wanaanza ujenzi wa miundombinu kufaidika na gas yao wananchi wa Gaza, Israel inakuja kuzuia ujenzi kwa kusema hio gas inabidi ielekee bandari ya Israel, hapo kuna udini gani> hapo Iran anaingiaje?Andiko zuri sana, lakini wote humu tumeshihudia kilichotokea, tumeona kwa macho yetu, ni kweli dunia huwa inafake matukio ili kufanikisha tukio fulani, lakini kwa hili la Gaza tuachane na hadithi za kutunga uongo kuufanya ukweli, ukweli kuufanya uongo. Sababu inayofanywa vita iendelee huko Gaza ni 1. Dini 2. Iran. Kwa mazingira hayo Israel hana chaguo lingine mbali na kuhakikisha Gaza inarudi nyuma miaka 50 na kutoa funzo kwa Hamas. Israel alishasema siku hamas wakiachia mateka siku hiyo hiyo vita itasitishwa. Wao waendelee kushikilia hao mateka lakini wapalestina watalipa gharama kubwa sana, sasa hizi hadithi za mafuta hazina mashiko 1% . Shida ni moja Hamas wanataka kulazimisha Israel ikubali matakwa yao na wakati hawana uwezo wa kulinda eneo la Gaza.
Hili la Misri kuwa anaendesha vita sina uhakika ingawaje sipingiInawezekana Misri ndie anaendesha vita hii.. yaani hata wakimbizi hawataki hata kuwasikia.. Gazan hawaaminiki pengine... au asili ya arabs wa Gaza ni Misri pia am sure hata mateka wengi wapo upande wa Misri.
Issue ya Israel kwa yeyote Ardhi ni mali ya Waisrael.. and tokea Israel adai uhuru ktoka kwa Uingeleza arabs populations hawakudai huo uhuru and ndio wanadai ni pao pote maeneo ya Westbank judea and samaria kulikuwa na jews ambao walikuwepo karne zote na arabs walifanikiwa kuwa genocide wote wa upande wao...
And mapatano yote ya UN Arabs waliyakataa tokea walipotengenishwa and vita ya kuangamiza Jews ilianza na kusndwa vibaya kwa arabs sasa price ya kutaka kuua ni kupewa zawadi? kwa ardhi ya bab yao MNabii Musa aliyopewa na Allah.. kuchange History kwa lazima ni jambo gumu kwa Wazungu ndio maana washangazwa...
Andiko zuri sana, lakini wote humu tumeshihudia kilichotokea, tumeona kwa macho yetu, ni kweli dunia huwa inafake matukio ili kufanikisha tukio fulani, lakini kwa hili la Gaza tuachane na hadithi za kutunga uongo kuufanya ukweli, ukweli kuufanya uongo. Sababu inayofanywa vita iendelee huko Gaza ni 1. Dini 2. Iran. Kwa mazingira hayo Israel hana chaguo lingine mbali na kuhakikisha Gaza inarudi nyuma miaka 50 na kutoa funzo kwa Hamas. Israel alishasema siku hamas wakiachia mateka siku hiyo hiyo vita itasitishwa. Wao waendelee kushikilia hao mateka lakini wapalestina wat
Sio kweli juzi tu hapa tumeona paka anasema hata kama watapewa mateka bado vita itaendeleaAndiko zuri sana, lakini wote humu tumeshihudia kilichotokea, tumeona kwa macho yetu, ni kweli dunia huwa inafake matukio ili kufanikisha tukio fulani, lakini kwa hili la Gaza tuachane na hadithi za kutunga uongo kuufanya ukweli, ukweli kuufanya uongo. Sababu inayofanywa vita iendelee huko Gaza ni 1. Dini 2. Iran. Kwa mazingira hayo Israel hana chaguo lingine mbali na kuhakikisha Gaza inarudi nyuma miaka 50 na kutoa funzo kwa Hamas. Israel alishasema siku hamas wakiachia mateka siku hiyo hiyo vita itasitishwa. Wao waendelee kushikilia hao mateka lakini wapalestina watalipa gharama kubwa sana, sasa hizi hadithi za mafuta hazina mashiko 1% . Shida ni moja Hamas wanataka kulazimisha Israel ikubali matakwa yao na wakati hawana uwezo wa kulinda eneo la Gaza.
Wewe ni nabii wa mungu yupi huyo..??Mwisho wa Israel utakuwa mbaya sana, naweza nikaushuhudia huo mwisho au nisiushuhudie ila utakuwa ni Mwisho mbaya sana.
Mkuu ni wapi Trump amesema akiingia atasitisha vita Ukraine? Umesikiliza ule mdahalo baina yake na Biden kuhusu mgogoro wa Ukraine na kutoa support Israel?Kila kiongozi ana mazuri yake na mabaya yake. Obama ndiye raisi amepigana vita zaidi ya Clinton. Ameua sana akifatiwa na Bush Jr kwa miaka ya karibuni. Ameipa Iran nafsi ya kujipanga kwa nuclear. Ametetea ushoga kwa herufi kubwa duniani.
Trump ametukana sana watu weusi. Lakini yeye amejali nchi yake zaidi. Yaani amedili na kuongea uchumi kwa njia za kibiashara zaidi. Ameitambua Israel that is okay. Amepunguza gharama za vita kwa nchi kwa kurudisha majeshi nyumbani. Na anasema akiingia vita ya Ukraine itaisha. Kuisha kwa vita ya Ukraine kunaweza kutuliza vita ya hapo Gaza. Hata hivyo Trump ni pro Israel hili ni debatable.
Point yangu ni kila mtu ana kariba yake ya uongozi. Huwa namuona Trump anaongoza usa kifikra za kibiashara zaidi. Na siyo kiprotali za kijeshi na kuwaachia majenerals sijui majaji wamuingoze. Ndiyo maana upinzani kwake ni mkali zaidi.
Safi sana fyeka kizazi chote zen waibie mafuta
Usiongee usichokifahamu,
Mkuu badala yake ungesema biashara ya kuua watu ina utajiri mkubwa sana.Biashara ya silaha ina utajiri mwingi.