Nimeamini masharti ya marehemu wakiyasema kabla ya kukata roho

Hakuna, dawa ni kuwa Zombi tu, umuoe mke wangu halafu watoto mnawapeleka kwa bibi, acha zenu ninyi
Hapana watoto tunawalea Tena wanakuwa wangu kabisaaaa ili kuwa sahaulisha Kama hata baba yao hayupo tena.wahisi upo
 
Hamnaga hayo mambo
Watoto wa enzi za Mkapa mmejikuta google ndiye mwalimu wenu basi mnajifanya kujua kila kitu shecsnmzi. Ulizeni bibi na Babu zenu mjifunze Mambo yaliyopo kwenye jamii zenu.
Kaulize kitu kinaitwa "nchweke" kwa wahaya, maiti inaongea!
 
Hii ya kulazimisha kula msibani ndio mwishowe baada ya msiba familiia ya marehemu inakuwa na madeni kibao ya kupikaa msosi.. Maana msibba sio harusi kusema watu wanajipanga, msiba ni ghafla hujui familia imefikwa na msiba ikiwa katika hali gani ya kiuchumi, daftari ya mchango ikipita watu wanaikodolea macho tu.
 
Niliishi miaka ya nyuma huko milambo tulikuwa jirani na huyo jamaa aliyekuwa anafanya hizi kazi za kuandaa mwili wa marehem.yani msiba ukitokea alafu akakusimilia yaliyotokea pale eneo la kazi unaweza usiamini tena hata wanajeshi wanaolinda palepamoja na smg zao walikuwa wakati mwingine wanakimbia kwenda kumuita jamaa aje azitulize maiti
 
hii ya kuweka jiwe ni kweli nimewai ona wanatafutwa watani wanakuja kuweka basi mnafika salama
 
dah....hii yako nimesoma lkn imenifikirisha kidogo kama hauamini nitachokwambia isome tena then utanielewa nini namaanisha....yani umeandika as if umeshaona kwenye watakaokufa karibuni sisi nyote humu kwenye hii thread hatumo maana umekazia kabisa 'WATATUKOMA' wakati sote humu wala hatujui who's next.
 
Dunia ina mengi hii duu
 
Watoto wa enzi za Mkapa mmejikuta google ndiye mwalimu wenu basi mnajifanya kujua kila kitu shecsnmzi. Ulizeni bibi na Babu zenu mjifunze Mambo yaliyopo kwenye jamii zenu.
Kaulize kitu kinaitwa "nchweke" kwa wahaya, maiti inaongea!
Hamnaga hizo mambo za laana ya maiti. Mnaoamini hayo ni ujinga unakuwa unawasumbua kwa kichwa. Eti maiti inaongea! Kama siyo ujinga ni nini?
 
Next si Wewe Ndugu au umesahau leo?
 
Hamnaga hizo mambo za laana ya maiti. Mnaoamini hayo ni ujinga unakuwa unawasumbua kwa kichwa. Eti maiti inaongea! Kama siyo ujinga ni nini?
Kidonge chako cha Kuutibu huo Ugonjwa wako mkubwa wa Akili ulionao na unaokusumbua muda mrefu umekumbuka Kukimeza leo?
 
Uje tuu ukiuke maagizo yake maneno mengi ya nini? Ila usisahau kuleta mrejesho
Nakwambia hivi tusidanganyane!!

Kama maiti zingekuwa na uwezo wa kupingana na walio hai basi maiti ya Osama Bin Laden ingekataa katu katu kutupwa baharini.

Lakini Wamarekani waliitupa baharini na wakarudi kwao salama salmini.
 
Nakwambia hivi tusidanganyane!!

Kama maiti zingekuwa na uwezo wa kupingana na walio hai basi maiti ya Osama Bin Laden ingekataa katu katu kutupwa baharini.

Lakini Wamarekani waliitupa baharini na wakarudi kwao salama salmini.
Kwani osama aliacha maagizo? Hapa wanaongelewa watu ambao wanaacha maagizo kabla ya kufa ebooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…