Nimeamini masharti ya marehemu wakiyasema kabla ya kukata roho

Akikataa kuzikwa eneo A, akang'ang'ania kuzikwa eneo B. Na ninyi ndugu kwa sababu za msingi sana mkaona azikwe eneo A msipate shida sana. Kukwepa hayo mabalaa tumeni ndugu mmoja wa Kiume eneo B akachukue udongo kidogo katika kisado aulete eneo A.
Duuh kwann iwe yote haya??

Vip mmoja akikosea?
 
Akikataa kuzikwa eneo A, akang'ang'ania kuzikwa eneo B. Na ninyi ndugu kwa sababu za msingi sana mkaona azikwe eneo A msipate shida sana. Kukwepa hayo mabalaa tumeni ndugu mmoja wa Kiume eneo B akachukue udongo kidogo katika kisado aulete eneo A.
Ndugu popote pale ulipo pokea Saluti yangu ya Kipekee kabisa Kwako kwa Elimu hii nzuri na Kubwa ambayo nakuhakikishia nimeipokea vyema na naamini Watu wengi pia wamefaidika nayo.

Ubarikiwe mno na Asante sana sasa Marehemu wetu Wabishi na wenye Masharti ya Kukomoana watatukoma kwani tumeshapata sasa Dawa yao ya Kuwatuliza Udongoni bila Kututesa na Kutusumbua pia.
 
Kocha wa zamani wa Italia Marcello Lippi alikuwa anapanga kikosi kwa nyota zao za siku hiyo.

Hata uwe mchezaji mzuri vipi unaweza kushangaa siku 1 anakuweka benchi kisa nyota ysko siku hiyo haijang'aa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapa Unanielimisha vyema kama alivyofanya Mbobezi Puppy au Unanisuta? Miswahili bhana....!!!
 
Dooh!
Shida yoote hiyo, si bora tu kutekeleza maelekezo!
 

Dunia ya Leo unakuta kijana anakomaa na mali za Urithi, what a shame
 
Haya ndiyo mambo pekee waafrica tunayaweza
Nani kakudanganya kuwa Wazungu nao hawana Tamaduni zao au Dhania kama hizi? Umewahi Kuishi nao huko Ulaya / Marekani?

Hapo ulipo Umezaliwa Tandale na sasa Unazeekea hapo hapo Tandale leo hii unataka Kutudanganya hapa mambo na Tamaduni za Wazungu wakati umeota kwenda Kutembelea na Kuishi huko huu mwaka wa 40 sasa hujafanikiwa.

Hopeless mkubwa Wewe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…