Nimeamini mjini akili tu

Wee baba muogope Mungu jaman khaaa!🀣

419πŸƒπŸƒπŸƒ
Kwa akili yako ya kuwaza leo huwezi kunielewa. Umezoea uitwe interview upewe laki 5 gross take-home laki 3 basi umeishia hapo
Na surual yako ya modal unajiona na ww una make....
Wapo ambao wamefunguka vile wanafanya kwa kutumia uvivu wa mtanzania kumake in town hadi laki 7 kwa siku... (wapo juu hapo wameandika)
 
Watanzania kuwen makin na huyu mtu ni tapeli.
Msiseme hamjaambiwa.
419
 
"Wana hela kwa kutumia ujinga wa Watanzania wakiwemo Walimu"

Baada ya kusoma hii statement, sijaona maana ya andiko lote. Imenisikitisha tu

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe una laptop home na una smart phone halafu unaenda stationery kudownlodiwa salary slip kutoka MOF kwa malipo ya sh 3000 had 5000 tukuiteje kama sio mjinga????
 
Ngoja ninyamaze tu nikisikia mtu anaingiza mamilioni huku ameshikilia glass ya wine nakumbuka Ontario
Hahaha me nakufanyia kazi na unaiona na unaridhika. Ishort outcome lazima ionekane...impact ndo sijui maana hiyo ni longterm. Sio mazingahombwe.
 
Hiyo ni mojawapo
Ila me sifanyi hiyo mwaya
Japo badae naweza kufungua goli la ishu hizo pia maana mchongo wangu naweza kuufanyia stationery pia kwa kupanua ofisi kwa kusogeza huduma karibu na wateja
Ila hiyo walimu wanapukutishwa sana mpunga wao yaani!.
 
Fact ya mtu kupata sehemu fulani aidha pesa,mali au cheo haimaanishi wewe ndio unautambua sana mji kuna watu wanamiliki vitu tajwa hapo juu na baadae wanafilisika kwaio wanakua hawaujui mji au ?
Anyway umefanikiwa lengo lako la kutaka kuonekana uko katika hali fulaniπŸ˜‚
 
Kwani kila siku watu wanaangalia kuhusu vyuo?
Ndo ujiongezeee huo ni mfano tu...usitake kutafuniwa kila kitu.
Kuna kusambaza madawa ikiwemo chanjo za mifugo vijijini (chanjo ambayo unai mix mwenyewe vifaa unatoa Nairobi). Hii mtaj hauzidi hata milion 1.5. Uliza watu wa arusha wanaijua usiniulze mm maana sifanyi hyo najua tu mtu anafanya.
 
Weee ndo wale unaroga jirani kisa anapika nyama kila siku. Kwa level hyo ya thinking siwezi ku argue na wewe. Nakubali kutofautiana
 

Wewe pia umeambiwa
 
Nilikuwa holili juzi kuna watu wa mipakani wale njagu wanaharibu sana bihashara za wakwepa kodi.
Hahaha
Ile unaagiza kwa kulipia kabisa so vat unalipa. Zinaletwa na mabasi njia ya namanga siku ya 3 unapata mzigo na vifaa vyake vya kuchanganyia na kujazia
 
Leo umekunywa pombe gani hny...πŸ€” mbona jana haukua hivi...πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…