Nimeamini mjini akili tu

Nimeamini mjini akili tu

Wee baba muogope Mungu jaman khaaa!🤣

419🏃🏃🏃
Kwa akili yako ya kuwaza leo huwezi kunielewa. Umezoea uitwe interview upewe laki 5 gross take-home laki 3 basi umeishia hapo
Na surual yako ya modal unajiona na ww una make....
Wapo ambao wamefunguka vile wanafanya kwa kutumia uvivu wa mtanzania kumake in town hadi laki 7 kwa siku... (wapo juu hapo wameandika)
 
Kwa akili yako ya kuwaza leo huwezi kunielewa. Umezoea uitwe interview upewe laki 5 gross take-home laki 3 basi umeishia hapo
Na surual yako ya modal unajiona na ww una make....
Wapo ambao wamefunguka vile wanafanya kwa kutumia uvivu wa mtanzania kumake in town hadi laki 7 kwa siku... (wapo juu hapo wameandika)
Watanzania kuwen makin na huyu mtu ni tapeli.
Msiseme hamjaambiwa.
419
 
"Wana hela kwa kutumia ujinga wa Watanzania wakiwemo Walimu"

Baada ya kusoma hii statement, sijaona maana ya andiko lote. Imenisikitisha tu

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe una laptop home na una smart phone halafu unaenda stationery kudownlodiwa salary slip kutoka MOF kwa malipo ya sh 3000 had 5000 tukuiteje kama sio mjinga????
 
Ngoja ninyamaze tu nikisikia mtu anaingiza mamilioni huku ameshikilia glass ya wine nakumbuka Ontario
Hahaha me nakufanyia kazi na unaiona na unaridhika. Ishort outcome lazima ionekane...impact ndo sijui maana hiyo ni longterm. Sio mazingahombwe.
 
Hiyo ni mojawapo
Ila me sifanyi hiyo mwaya
Japo badae naweza kufungua goli la ishu hizo pia maana mchongo wangu naweza kuufanyia stationery pia kwa kupanua ofisi kwa kusogeza huduma karibu na wateja
Ila hiyo walimu wanapukutishwa sana mpunga wao yaani!.
 
Fact ya mtu kupata sehemu fulani aidha pesa,mali au cheo haimaanishi wewe ndio unautambua sana mji kuna watu wanamiliki vitu tajwa hapo juu na baadae wanafilisika kwaio wanakua hawaujui mji au ?
Anyway umefanikiwa lengo lako la kutaka kuonekana uko katika hali fulani😂
 
Kwani kila siku watu wanaangalia kuhusu vyuo?
Ndo ujiongezeee huo ni mfano tu...usitake kutafuniwa kila kitu.
Kuna kusambaza madawa ikiwemo chanjo za mifugo vijijini (chanjo ambayo unai mix mwenyewe vifaa unatoa Nairobi). Hii mtaj hauzidi hata milion 1.5. Uliza watu wa arusha wanaijua usiniulze mm maana sifanyi hyo najua tu mtu anafanya.
 
Fact ya mtu kupata sehemu fulani aidha pesa,mali au cheo haimaanishi wewe ndio unautambua sana mji kuna watu wanamiliki vitu tajwa hapo juu na baadae wanafilisika kwaio wanakua hawaujui mji au ?
Anyway umefanikiwa lengo lako la kutaka kuonekana uko katika hali fulani😂
Weee ndo wale unaroga jirani kisa anapika nyama kila siku. Kwa level hyo ya thinking siwezi ku argue na wewe. Nakubali kutofautiana
 
Salama ?
Dah kila siku najifunza hapa duniani....NIMEAMINI MJINI NJOO NA AKILI TU ...HATA USIPOBEBA NGUO UKIWA NA AKILI UTAZIPATIA MJINI.
Sasa basi Kuna mzee mmoja niliunganishwa nae anisaidie ishu moja hivi....sasa bwana nikashangaa sana huyu mzee maisha yake yote anaishi hotelini..I mean kwa siku analipia elf 60 hadi 70 za kulala (inaweza kuwa ndogo kwako ila kwangu kubww sana kwa siku) na muda wote anapiga ulabu wa gharama tena akiwa na kampani ya mtu hadi 6 mpaka jogoo anawika. Nikawa najiuliza huyu dingi anashinda hotel anakesha bar pesa anatoa wapi??

Basi binafsi ishu aliyopaswa anisaidie hakunisaidia badala yake akawa ananikaribisha niwajoin mida ya jioni wakiwa wanapata mambo yao. Katika story zake Alisema ameona nina akili sana so nitampatia utajiri so niwe mpole nimsikilize (najua mtabisha kwakuwa mnaniona kilaza sana humu).

Akawa ananituma kumfanyia kazi zake binafsi kwa kunituma sehemu mbalimbali. Nikaamua kuwa mjinga tu kwamba niwe namsikiliza na kufanya kazi zake bila hata malipo.

Sasa akanipatia mchongo flani ...mwanzoni niliuona mgumu sana kwakuwa hadi umu identify mteja sio kazi rahisi . Huu mchongo unatumia ujinga wa watanzania na utapiga hela ndefu tu.

Basi bwana baada ya kama mwezi hivi nikaanza kupata wateja... Yani salary yangu ya miezi 6 wakat nimeajiriwa nkaipata kwa mwezi mmoja. Inshort ule mchongo unafanya kazi na glass ya wine umerelax kabisaa kikubwa uwe na laptop, simu na data. Of course na connection kidogo. Yani mteja mmoja tu kwa mwezi anatosha unaishi kama mkuu wa idara ngazi ya mkoa.

Nikaamini kwamba mjini inatakiwa akili tu nguvu uache kijijini. Watanzania wengi ni wazito, hawajiamini, waoga sana na wavivu kufanya ishu zao hata zile ndogo sana....sasa wachache wajanja wanatumia huo udhaifu kuishi mjini.

Sijutii kumfahamu yule dingi....
Mwisho Ongea na watu vizuri ....unayedhan hana maana anaweza kuwa wa manufaa kwako. Aliyeni connect na huyu dingi ni bolt driver tu baada ya kuniskia naongea kuhusu ishu flan nikiwa mkoa flani kwa mapumziko.
Uzi tayari

Note: mchongo sitautaja kabisa. So msiniulize sana. Hiyo ni password ya maisha.

Kingine sitaki mtu PM. Nimetoa mfano wa maombi ya vyuo tu.... kwamba ukiutumia vizuri ni fursa. Kwani watu wa stationery wanafanya nini? Hadi kuangalia salary slip ya mwalimu wanachaji buku 3 na wapo Town wana hela kwa kutumia ujinga wa watanzania wakiwemo walimu. So jiongeze

Nyie mlioko PM msijisumbue sitajibu. Acha tu loser waniite tapeli ila ukweli sijawahi kutapeli hata Mia ya mtu. Fee nachaj kihalali kabisa in USD beibee (najua mnasonya ila ndo hvo tafuta ujinga uutumie kama fursa pia ongea na watu vizuri).

Wewe pia umeambiwa
 
Nilikuwa holili juzi kuna watu wa mipakani wale njagu wanaharibu sana bihashara za wakwepa kodi.
Hahaha
Ile unaagiza kwa kulipia kabisa so vat unalipa. Zinaletwa na mabasi njia ya namanga siku ya 3 unapata mzigo na vifaa vyake vya kuchanganyia na kujazia
 
Back
Top Bottom