Nimeamini mjini akili tu

Mm nimesoma HKL na ni bodaboda.Nsije nkadunga mifugo ya watu dawa za kuwageuza Mashoga bureee.
Haudungi wewe una mix unauza maduka ya vijijini. Veterinary officer ndo atawadungia.
Ni mchongo mzuri ongea na watu wa arusha kama unae.
 
Kwa nn iwe Arusha tu madamme kwingine hizi dawa hazilipi?
I mean Nairobi ni karibu na arusha ndo maana wengi wanafanya wako arusha. Pia mikoa ya arusha manyara na huko kanda ya ziwa ndo wanapouzia maana kuna wafugaji wengi
 
ur dayz r numbered uncle!
We una lingine
Bye
Endelea kutangaza wawe macho. πŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›Ž
Bye sijibu tena
 
We una lingine
Bye
Endelea kutangaza wawe macho. πŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›ŽπŸ›Ž
Bye sijibu tena
Hata usipojibu nitaendelea ku comment labda nitaokoa wajinga wawili wa tatu
 
I mean Nairobi ni karibu na arusha ndo maana wengi wanafanya wako arusha. Pia mikoa ya arusha manyara na huko kanda ya ziwa ndo wanapouzia maana kuna wafugaji wengi
Mungu akubariki sana mama
 
Mungu akubariki sana mama
Asante
Ningekupa mtu anayefanya hizo mishe lakini yule hana uvumilivu kwenye hela. Atakuliza.
We pambana uliza hizo taarifa. Hela ipo sana kwenye hizo chanjo kutoka Nairobi. Ila unachanganya mwenyewe na kupack.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…