Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ningetaka kuwakusanya ningeanza na wanaume wa jf ambao daily wamejaa inbox...
Madame usijudge usichojua
Ngoja nikupe penzi hadi ulewe ufunguke...😋Tafuta wa kukwambia na wewe
Ongea na watu vizurii
Saa ingine wape hata bia wakinogewa watafunguka
Haudungi wewe una mix unauza maduka ya vijijini. Veterinary officer ndo atawadungia.Mm nimesoma HKL na ni bodaboda.Nsije nkadunga mifugo ya watu dawa za kuwageuza Mashoga bureee.
Yote kwa yote nimekuheshimu jins unacheza na Saikolojia.Hahaha
Uzuri sitaki mtu PM na hata ukija sitajibu
Wala siifungi...
ur dayz r numbered uncle!Wewe nshakwambia kalale... umesikika
Mbona kama una genyee??
Hata usipojibu nitaendelea ku comment labda nitaokoa wajinga wawili wa tatuWe una lingine
Bye
Endelea kutangaza wawe macho. 🛎🛎🛎🛎🛎🛎🛎🛎🛎🛎🛎🛎
Bye sijibu tena
Me sina ndugu mkuu
Niko kama moja
Tafuta wa kukwambia na wewe
Ongea na watu vizurii
Saa ingine wape hata bia wakinogewa watafunguka
Mungu akubariki sana mamaI mean Nairobi ni karibu na arusha ndo maana wengi wanafanya wako arusha. Pia mikoa ya arusha manyara na huko kanda ya ziwa ndo wanapouzia maana kuna wafugaji wengi
AsanteMungu akubariki sana mama