Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Nakuhurumia weweeeNakuona mtoto cheupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuhurumia weweeeNakuona mtoto cheupe
Malizaneni mambo yenu nawaachia wenyewe.Half american mwambie ukwel huyu wa kuniita mim black mamba wako cheupe
Nimekuacha kuanzia sasa😕🚶🏾♀️Malizaneni mambo yenu nawaachia wenyewe.
✊✌Nimekuacha kuanzia sasa😕🚶🏾♀️
Ndivyo mnavyotuona mtu akiamua kukuheshimu na kutulia anaonekana mjinga basi tumepata katiba mpyaSio wametulia ni watu flani hivi wajinga wasiojua mambo hata ya maisha ya msingi na ndio huo wnaita utulivu 🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli mkuu… lazima iwe hivyoHapo utaruka ruka ukiona umemkosa wa vigezo vyako unajaa kwa huyu nice man 😂😂😂😂... Kila mwanamke huwa anae mwanamume wa hivi, anawekwa sub kwanza ila zile dakika za jiooooooooni ikiwa bila bila ndio anatambilishwa mchezoni shwaaaaaa, watu tunakula ubwabwa.
OkKaitembeze tuu kwa wahuni achana na hawa wanaojiheshimu hawafai.
Huwezi kusema umetulia halafu ukapata jitu la honyo. Hakuna hiyo kanuni kwenye maisha. Wewe hujatulia ulikua unaigoza tu.Ndivyo mnavyotuona mtu akiamua kukuheshimu na kutulia anaonekana mjinga basi tumepata katiba mpya
Wewe ulikuwa unaigiza kutulia, aliyetulia hana akili Kama zako. Eti umetulia halafu umeamua kuwa mcharuko. Hiyo katiba ya umalaya ni yako usiingize wanawake wanaojiheshimu na wametulia.Ndivyo mnavyotuona mtu akiamua kukuheshimu na kutulia anaonekana mjinga basi tumepata katiba mpya
Poapoa mkuuWewe ulikuwa unaigiza kutulia, aliyetulia hana akili Kama zako. Eti umetulia halafu umeamua kuwa mcharuko. Hiyo katiba ya umalaya ni yako usiingize wanawake wanaojiheshimu na wametulia.
Wewe endelea na hiyo katiba yako na wahuni wataichapà sana na watakuacha pia.