ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Ipi hiyo?Kuna kuibiwa kwa aina nyingi ujue na najua ipo moja ushawahi kuibiwa
SijawahiSema wewe hujawahi kuiba, siyo hujawahi kuibiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi hiyo?Kuna kuibiwa kwa aina nyingi ujue na najua ipo moja ushawahi kuibiwa
SijawahiSema wewe hujawahi kuiba, siyo hujawahi kuibiwa.
Unaijua wewe na mtima wakoIpi hiyo?
Sijawahi
Tangu lini chubby akakosa chura?Tatizo chura hamna
Wewe jamaa usiniambie kumbe ipoTangu lini chubby akakosa chura?
Inaonekana unamjua vizuri mtoa madaFedha unazo?
Simjui hataInaonekana unamjua vizuri mtoa mada
Alafu nishakutafuta sanaSimjui hata
Wapi?Alafu nishakutafuta sana
Ndio nimekwambia sasaWewe jamaa usiniambie kumbe ipo
Kwako na nakuta umefunga haupoWapi?
Chubby uwa watamu nimekumbuka wakina sara jay na vigoNdio nimekwambia sasa
Nimesafiri.Kwako na nakuta umefunga haupo
Ukirudi unambie mdogo wangu mzuriNimesafiri.
Ni watamu sana ila Me mwenye kitambi huwa hamfaidi Chubbylady....Chubby uwa watamu nimekumbuka wakina sara jay na vigo
Ukute umeikarir kumutwekumbe ishu ya kusev nikusev n muhimu kwenye mahusiano,,sasa mimi ambaye nambake sijasev😆😆
Wenye vitambi wanakosa vingi sanaNi watamu sana ila Me mwenye kitambi huwa hamfaidi Chubbylady....
Me kibaumbau ndio huwa anamfaidi sana Chubbylady
Sio wametulia ni watu flani hivi wajinga wasiojua mambo hata ya maisha ya msingi na ndio huo wnaita utulivu 🤣🤣🤣🤣🤣Basi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo.
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Sijawai kabisaaa.Na haujawahi tokea uoe?