Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

We

Wenye vitambi wanakosa vingi sana
Mbona Mimi na kitambi Cha kuvalia suti na kuchomekea.

😊☺️ Kuna aina za vitambi Kuna jamaa Alisha wekaga na Uzi upo humu.
Wewe utakua unazungumzia Yale mavitambi ya watu wanene mpaka hawezi kufunga kamba za viatu vyake
 
kumutwe kukariri kawaida ujue,,ila hata wewe uone mwenzio hajakusev kisha akwambie nmekusev kichwani utaelewa kwel,,ila mapenz 😆
Hivi unajua kuna umri ukifika uwa kuna vitu fulani mtu huvizingatii sana na ilo la kuseviwa ye asev lolote tu
 
Hivi unajua kuna umri ukifika uwa kuna vitu fulani mtu huvizingatii sana na ilo la kuseviwa ye asev lolote tu
ishu hata sio umri,ni hulka ya mtu tu,unakuta wewe saved john nyandu,siku unakuta mwenzio saved my sweet........khgfjjhfcjkvfcvjkggcvhhhgfchkjv
 
ishu hata sio umri,ni hulka ya mtu tu,unakuta wewe saved john nyandu,siku unakuta mwenzio saved my sweet........khgfjjhfcjkvfcvjkggcvhhhgfchkjv
😆😆😆😆 kawaida tu na sijali ata nini ila kama ni mke ndo kasave ivyo hapo ni kivumbi
 
Pole sana. Kama unataka kukutana na mtu atakayekupenda for really ni ngumu kidogo.
Kwa huu ulimwengu tunaoishi kwa sasa ni ngumu sana.

NB: Nenda kajiunge na watu wanaitwa Jehovah Witness. Itakugharimu mwaka mmoja mpaka wakuamini na kukubatiza. Huko ndo watu real wanapatikana. Japo jiandae kuishi dunia nyingine maana itikadi zao ngumu sana.
Ila huku mtaani, hamna mapenzi ni kuliwa tu. Tena huku Dar hamna waoaji kabisa
 
Back
Top Bottom