Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Tatizo chura hamnaWanaume wa jf sijui wanakwama wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo chura hamnaWanaume wa jf sijui wanakwama wap
Utampa hela akafanye surgeryTatizo chura hamna
Wimbo uligeuka national anthem kila Kona mabodaboda , bajaji unapigwa ndipo nikaujua.Kumbe unasikiliza singeli?
Nataka ile original ambayo haichoshi kwa dogUtampa hela akafanye surgery
Wanaume mnapenda sana michepuko ya Mbagala, Buza, buguruni na Tandale.Wimbo uligeuka national anthem kila Kona mabodaboda , bajaji unaigwa ndipo nikaujua.
Kuna dada mmoja mbagala ndio akaniambiaga jina la msanii ☺️😊
Fedha unazo?Nataka ile original ambayo haichoshi kwa dog
Mimi sina michepuo😀Wanaume mnapenda sana michepuko ya Mbagala, Buza, buguruni na Tandale.
Na haujawahi tokea uoe?Mimi sina michepuo😀
Pesa ya nini na wakati inaonekana hakunwi vizuriFedha unazo?
Una kichwa kigumuPesa ya nini na wakati inaonekana hakunwi vizuri
Kama chako icho 😅Una kichwa kigumu
Ndio maana wahuni walikuibiaKama chako icho 😅
😆😆😆 sa kuibiwa si kawaida tu mdogo wangu yeyote anaibiwa na ata mtoa mada kashaibiwa kwenye mapenziNdio maana wahuni walikuibia
Sahihi mkuuKila mahusiano sio lazima yafikie ndoa mazeee......
Na ndoa hua hailazimishwi, pia ukimpa mwanaume uchi wako haimaanishia kwamba anakupenda.
Sio kawaida! Mbona mimi sijawahi kuibiwa🤤😆😆😆 sa kuibiwa si kawaida tu mdogo wangu yeyote anaibiwa na ata mtoa mada kashaibiwa kwenye mapenzi
Kuna kuibiwa kwa aina nyingi ujue na najua ipo moja ushawahi kuibiwaSio kawaida! Mbona mimi sijawahi kuibiwa🤤
Kaitembeze tuu kwa wahuni achana na hawa wanaojiheshimu hawafai.Basi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo.
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Sema wewe hujawahi kuiba, siyo hujawahi kuibiwa.Sio kawaida! Mbona mimi sijawahi kuibiwa🤤
Hapo utaruka ruka ukiona umemkosa wa vigezo vyako unajaa kwa huyu nice man 😂😂😂😂... Kila mwanamke huwa anae mwanamume wa hivi, anawekwa sub kwanza ila zile dakika za jiooooooooni ikiwa bila bila ndio anatambilishwa mchezoni shwaaaaaa, watu tunakula ubwabwa.Moyo unakataa mkuu