Nimeamini upendo wa baba una nguvu ya ajabu, nimekuwa nikionyeshwa chuki ya ajabu sana kwa sababu nina wapenda watoto wangu

Nimeamini upendo wa baba una nguvu ya ajabu, nimekuwa nikionyeshwa chuki ya ajabu sana kwa sababu nina wapenda watoto wangu

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kwa sababu nawaonyesha upendo. I take care of them etc, wa Swahili wamekuwa wakinionyesha chuki ya ajabu sana. Plus kuwachukia wanangu pia. Kuna muda niliwahi kuiacha nyumba niliyo Jenga ( uswahilini nje ya jiji) nikarudi kupanga town ili nikae mbali na wa Swahili.

Kwa sababu ambacho kilikuwa kimebaki ni wao kuwadhuru wanangu au hata kuwateka for ransom.. Kungekuwa na dawa ya kuwakuza watoto ningeenda Kuwapa wawe watu wazima overnight.

Upendo huu ninao wapa watoto wangu, hawa wa Swahili hawajawahi kupewa na baba zao ama watoto wao hawapewi na baba zao ( wametelekezwa) ndio maana wanaona wivu.


Sio tu kwamba wanatamani watoto wao ndio wangekuwa watoto wangu ila wanatamani na wao pia wangekuwa watoto wangu.

Yusufu nduguze walitaka kumuua kwa sababu ya upendo huu wa Likud ( Upendo wa baba).

# I will never show love to poor people. Never.


# Those who want me to cry my powers will make them cry blood first.

# Mwafrika kuna kitu amepunjwa kwenye akili yake
 
Hii kitu ina kiukweli nimekuwa nikiwapenda wanangu ,mpaka baadhi ya ndugu wanadai ninawaharibu watoto , sasa nashindwa kuelewa wanaharibika vipi nikiwapenda.
Miafrika ndivyo tulivyo watu wa hovyo Sana wa Afrika kuna nyakati huwa nahisi huenda wa Afrika walikua nyani kweli
 
Back
Top Bottom