Nimeamini USA ni kubwa la Dunia, Tamko la Trump tayari limeonyesha effect kwenye familia Yangu

Nimeamini USA ni kubwa la Dunia, Tamko la Trump tayari limeonyesha effect kwenye familia Yangu

Duuuh! kama ni mwanaume, punguza wivu kwa mkeo,wabaya wako waliokua wanaktamani mkeo,watamnyoosha kinomanoma.Pole sana,ji-adjust mapema kuokoa familia.
Greater thinker wa 2000's huyo.😀😀😀😀
 
Mi naamin anabana kwa muda ataachia japo pia naamin anaweza achia kinamna nyingine..ila akibana kabisa kabisa kitaumana kuna familia baba na mama wote kimewalamba na hawana chanzo kingine chochote cha fedha wanahaha na January hii japo Dec walipata double salary..wengine wameenda vacation laitikama wangejua pengine wangeweka akiba..Mungu awanusuru...
Lakini pia Mungu amewaonjesha ladha ya kuwa jobless kwa muda ili wafeel vile wanawaachisha wenzao kazi kwa zengwe
 
Hali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.

Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!


Trump ni shetani kabisa
Unayopitia yanahudunisha na sio jambo la kufurahia,.......ila mtu hawezi kia shetani kwa kukunyima mali zake
 
UN Global si imetoa tangazo huduma zinaendelea?

Pia, trump si alisema program inahakikiwa kwa kipindi cha miezi 3 siyo kwamba imeisha?
Bora wakumbushe mkuu kwani uhakiki ukiisha wataendelea kama kawaida hata kama watakuja kivingine naamini huduma zitaendelea
 
Sie unapata mradi wa Mana ujenzi unafanyika unakuta contract ni 1-4 yrs muda huo mnaishi Maisha mazuri kinyama , sema mradi unaisha unakabidhi adi taulo ulilopewa unatumia unarudi unakaa home, Tena unaibuka mradi wa Mana Tena unapiga hela, trump anaangalia hela za walipa Kodi wa USA zitumike vizuri.
Weka ng'ombe wa maziwa hapo home ambaye anatoa 30-45lt per day wapo Kenya wanauza like 6M plus za kitanzania Maisha yakasogea usiogope.

Pia future is uncertainty none knows it only God.
Wewe umesimamishwa kazi unaitukana dunia. Kuna wenzako wamelala hospital mwaka wa pili huu hapa,
Wapo wanakula chakula kupitia puani.
Maandiko yanasema shukuru kwa Kila jambo , unakuta hapo utapata kazi ya Mana mpaka Tena ushukuru Muumbaji kuwa ni Bora trump aliingia , unaweza unashangaa unaanzisha biashara inaenda mbali mno unakuja kuwa tajiri mkubwa mno Mana utaanza Kama zali ama kuwa na mahala pa kuzuga yaani jiwe la pembeni likageuka kuwa jiwe juu la ujenzi
You made my day
 
Sina hakika, sababu sasa hivi sio km zamani, inaweza kupita miez 6+ huko hajakucheki, hata salamu ngumu, sasa katukuta sisi maskini jeuri, hatusaidii ili na wao watusaidie kesho la hasha, huwa tunasaidia sababu tunaona watu wetu wa karibu wametingwa(wana shida kushinda shida zetu) tunasaidia sababu sisi mtu akikunyooshea mkono wa kuhitaji, huwezi kuficha mkono wako mgongoni, nawe unamnyooshea kumpa kile kidogo ulichonacho.
Nimeipenda hii expert wangu
 
Wengi walimsifia Trump. Ngoja wale matunda ya sifa zao.
 
Hali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.

Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!


Trump ni shetani kabisa
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu amfanyaye kuwa kinga yake, huyo Trump pumzi yake anaijua ipo lini!
 
Kuna Rafiki angu Nilikuwa namshauru kila siku aje tupambane serkalini Huku Alikuwa hataki Kabisa kafanya kazi huu mwaka wa 18 Ila jana kanipigia Simu analalama sana...

Mambo yanaenda Kuwa magumu sana Sijui kama serkali ilijiandaa kwa Hii Kitu..

Japo tunafanya vikao vya normalise the situation ila Bado ni tight
Vikao mnafanya nanan Dr?
 
Serikali yaMarekani mbona ilishaweka bayana kuwa zuio la USAIDs haligusa misaada ya HIV...

Naona waswahili wanaendelea kukuza huo wasiwasi wa mbaazi kupigwa chini...

Sehemu ya hiki nilichoandika unaweza ukakisoma pia hapa chini...


Hali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.

Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!


Trump ni shetani kabisa
 
Hali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.

Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!


Trump ni shetani kabisa
sasa ujishikilie vizuri kiongozi maana trump kashachukua ajira yake usipokaa sawa utashangaa yule mgeni aliyeimbwa na kepteni komba naye huyu hapa!
 
Wengi sana ukikaa huko kijijini uwezi waona, njoo mjini tukuonyeshe
Wewe achana na huyo Mkwe wako, huyo hawezi kuyaona machungu ya vyeti feki kwa sababu bado unampa kampani.

😁😁😁 Mimi nasemea Shemeji yako aliyekulea ambae analala geto moja na dada yako, kwani hauoni maisha magumu anayepitia kwa sasa tokea ajambishwe kazini kwake ?
 
Hali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.

Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!


Trump ni shetani kabisa
Karibu Basotu tulime vitunguu maji
 
Back
Top Bottom